Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usidhani hapa kuna watoto wenzio mkuu . kamwambie mkeo huu upuziIsarael waliishindwa enzi hizo ikijikusanya watu wake kutoka mataifa mbalimbali, wasahau kabisa kuipiga kwa sasa, inauwezo wa kufanya chochote kwenye taifa lolote hapo mashariki ya kati!
Unajua, Mungu aliyewapa hiyo nchi na hilo jina Israel, nchi hiyo inautisho wa ajabu na kuogofya, jiulize Umoja wa mataifa mbali na veto yao, wamefanya nini sasa?
Bado Israel ameendelea kuwatandika warabu kama watoto
Mpaka sasa Israel na watu wake, ni watu wanaotegemewa mno duniani, DUNIA INAIHITAJI ISRAEL kwa mambo ya technology kuliko watu wowote duniani
Unapokuwa na taifa la watu dizaini hiyo, unategemea Iran afanye nini sasa?
Imekukereketa sana mkuu! Haya ya hapa hapa si ya kupeleka kwa wake zetu tenaUsidhani hapa kuna watoto wenzio mkuu . kamwambie mkeo huu upuzi
Ahsante mkuu nipe na pesa ya pole basi m,aneno mtupu hayapozi kituImekukereketa sana mkuu! Haya ya hapa hapa si ya kupeleka kwa wake zetu tena
Pole sana kukerekwa na ukweli
Kıvamına ofisi za İnalözü katika nchi nyingine ni ughaidi
Shida ya myahud Hana MANENO mengi....ukitest kaingia🤣Israeli Air Force is practicing strikes on sensitive sites in Iran in recent days, a western defense source told Saudi website Elaph; IDF will bomb targets inside Iran in case of Iranian attack on Israel, report says. via @IsraelHayomHeb
Tuliambiwa watapiga ndani ya masaa 48, Israel ikasema thubutu. Sasa naona wameufyata na kuja na mengine.
Msichokijua nyie wavaa makobaz ni kwamba Israel ilipiga hao makamanda wa Iran ikijua inachokifanya na huyo kubwa gaidi lenu Iran amekua makini sana kutonasa kwenye huo mtego.
===============
Iran informed the US that it would refrain from responding to the airstrike in which senior Islamic Revolutionary Guard Corps (IRGC) commanders were killed in Damascus if a ceasefire in Gaza is reached, Jadeh Iran reported on Sunday.
The news outlet cited an anonymous Arab diplomatic source, saying the source spoke to the news outlet two days ago. The source added that "If America succeeds in containing the situation, it will be a great success for the Biden administration and we can build on that."
The report comes as negotiations for a ceasefire and hostage release deal resume between Israel and Hamas in Cairo and as Israel continues preparations for a possible response to the Damascus airstrike that Syria and Iran blamed on Israel.
The airstrike targeted the Iranian consulate in Damascus last Monday, killing IRGC commander Mohammad Reza Zahedi - the main Iranian official responsible for operations in Syria and Lebanon - as well as his deputy and several other IRGC officers.
Iran's Supreme Leader, Ayatollah Ali Khamenei looks at the coffins of members of the Islamic Revolutionary Guard Corps who were killed in the Israeli airstrike on the Iranian embassy complex in the Syrian capital Damascus, during a funeral ceremony in Tehran, Iran April 4, 2024 (credit: Office of the Iranian Supreme Leader/WANA/Handout via Reuters)
Iran threatens 'harsh response' to Damascus airstrike
Since the airstrike, Iran has made repeated threats of a "harsh response" against Israel. US media has reported that US and Israeli intelligence believe that Iran could target Israel directly with cruise missiles and kamikaze drones. The reports indicated that the response could come by the end of the month of Ramadan, which is expected to end on Tuesday or Wednesday, depending on the sighting of the moon.
IDF Chief of Staff Herzi Halevi stressed on Sunday that Israel knows "how to handle Iran."
"We are prepared for this; we have good defensive systems and know how to act forcefully against Iran in both near and distant places. We are operating in cooperation with the USA and strategic partners in the region," said Halevi.
Jerusalem Post
Hi
Shida ya myahud Hana MANENO mengi....ukitest kaingia🤣
Wachambuzi uchwara katika ubora wenu!Tishia nyau ilikuwa, angejaribu tu aone, Iran inaenda kupotea uso wa Dunia like Iraq, Libya, Afghanistan or Syria, ila jua muda si mrefu US & Israel wanaenda kuichakaza Iran sbb bila kufanya hivyo Iran ndio imeharibu Middle East yote kwa ugaidi na kufadhili vikundi vya kigaidi..!!