Mwisho wa Iran unakuja muda mfupi. Iran ilikuwa kikwazo kwa nchi za magharibi hapo middle east sasa naona wamagharibi walishapata sababu ya kuiangamiza Iran.
Iran inaenda kubutuliwa kama Iraq na haitasimama tena pia natural resources zao zitamilikiwa na makampuni ya magharibi.
Magharibi wanaenda kuweka kibaraka wao aiongoze iran
 
Pia kuna airbase pale ya Israel.
Na madhara yametokea japo wanasema ni ya kawaida hivyo baadhi ya makombora yamepita.
Maana wanasema kiasi kikubwa wamelipua kiasi kidogo yamepenya.
Hata likipenya moja ni kipigo na jibu la uchokozi wao
 
Mwisho wa Iran unakuja muda mfupi. Iran ilikuwa kikwazo kwa nchi za magharibi hapo middle east sasa naona wamagharibi walishapata sababu ya kuiangamiza Iran.
Iran inaenda kubutuliwa kama Iraq na haitasimama tena pia natural resources zao zitamilikiwa na makampuni ya magharibi.
Magharibi wanaenda kuweka kibaraka wao aiongoze iran
 
Mara nyingi na mara zote Huwa nawaambia kwamba kinachoitwa Mifumo ya anga ni matakataka.

Umeshindwa Kuzuia drones ,utazuia bomu?
 
kwa vile umejenga hoja kama mtu timamu( maana humu wachambuzi wasio na mihemko wamekuwa adimu), unadhan nani atakuwa mhanga zaid wa hali hii
 
Siyo rahisi hivyo.
Unafikiri walishindwa nini kuivamia au kuibutua miaka yote hiyo?
 
CNN ya bonyokwa? Au Aljazeera ya kwa Mpalange labda
 
Huwa mnashangaza sana mnapotuletea mada

Umeandika kuwa Iran yaishambulia Israel kumbe hata bado hawajafanikiwa na drones hazijakaribia hata kufika katika anga la Israel...

Ukiulizwa walivyoshambulia wameua watu wangapi utajibu nini?

Hapo ni wamejaribu kuishambulia sio Wameishambulia
 
Muajemi hatanii akiahidi ankulipa lazima akulipe ipasavyo.
 

IDF hapo wamesema nini? Kobaz, hiyo CNN yako au hujui Biden kasema atai support Israel hadi mwisho wa vita hii, na akatumia support ya US kwa Israel is Ironclad, unajua maana yake?


View: https://youtu.be/Cg3YMWcjLI4?si=3bqw_BpJY1sB4Y8y
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…