Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv,Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Mimi ninaona wote wanaogopana. Iran Karusha drones na Ballistic missiles ambazo anajua zitatumai almost za tisa kufika Israel ambayo iko 700 miles away from Iran ikiwa ina maana alijua watajiandaa kuzidungua. Angekuwa ana lengo la kusababisha hasara kwa Israel angempiga shambulizi la ghafla. Sasa wewe unarusha kitu kinifikie masaa tisa, Israel na wapambe wake wakasema wanatrack kila drone na kila missile kabla ya kuingia kwenye anga ya Israel.
Upande wa pili ngoja tuone ila sidhani kama Israel naye atajibu kwa kurusha makombora au ndege kwenye anga ya Iran labda kama atapiga proxy wa Iran.
Ila la msingi naombea hawa watuw asiingie vitani maana dunia naona inaanza kuchanganyikiwa. Nikisoma comments za raia wa Marekani, wanaomba serikali yao iache Israel apambane na matatizo yake maana wanadai serikali iko busy na Israel wakati mambo yao ndani yanaharibika uchumi unayumba china anasonga kwa sababu ya kujifanya wanatia mkono kwenye mambo yasiyo wahusu.
 
Hivi wanadhani Netanyahu atakaa tu bila lipiza kisasi? Hataki kuonekana mzembe hapo lazima kiwake leo, yeye atampelekea ndege kabisa sio drones, cruise na ballistic
Bado upo kwenye fikra za mwaka 47..vita ni Mipango sio unapigana Tu kama mjinga angalia Toka Israel wameua Yule kiongozi wa Iran ni zaidi ya wiki mbili ndiyo tinaona wanajibu.
 
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv,Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
Endelea kunywa mtori chief nyama bado zipo chini
 
Huyo Edorgan hana lolote, mbwa wa kubweka, anajua maisha yake atapotezwa na USA dak moja, hana lolote huyo
USA ndio anampooza Turkiye kama anavyoipooza Egypt kutokua na misimamo mikali dhidi ya Israel.
 
Hivi wanadhani Netanyahu atakaa tu bila lipiza kisasi? Hataki kuonekana mzembe hapo lazima kiwake leo, yeye atampelekea ndege kabisa sio drones, cruise na ballistic
Hata Iran amepeleka rasharasha tu amesema Isreal ikijibu tu basi atapeleka full dose wainywe vizuri.

Isreal hana ubavu wa kupigana uso kwa uso na Iran huwa anategemea support ya mabwawa zake USA na UK.
 
Mimi ninaona wote wanaogopana. Iran Karusha drones na Ballistic missiles ambazo anajua zitatumai almost za tisa kufika Israel ambayo iko 700 miles away from Iran ikiwa ina maana alijua watajiandaa kuzidungua. Angekuwa ana lengo la kusababisha hasara kwa Israel angempiga shambulizi la ghafla. Sasa wewe unarusha kitu kinifikie masaa tisa, Israel na wapambe wake wakasema wanatrack kila drone na kila missile kabla ya kuingia kwenye anga ya Israel.
Upande wa pili ngoja tuone ila sidhani kama Israel naye atajibu kwa kurusha makombora au ndege kwenye anga ya Iran labda kama atapiga proxy wa Iran.
Ila la msingi naombea hawa watuw asiingie vitani maana dunia naona inaanza kuchanganyikiwa. Nikisoma comments za raia wa Marekani, wanaomba serikali yao iache Israel apambane na matatizo yake maana wanadai serikali iko busy na Israel wakati mambo yao ndani yanaharibika uchumi unayumba china anasonga kwa sababu ya kujifanya wanatia mkono kwenye mambo yasiyo wahusu.
Makombora yametua ndani ya ardhi ya Israel pamoja na drones. Na zimepiga kambi za kijeshi na kuleta athari kwenye miji ya Tel Aviv na Jerusalem.

Hapo Iran katuma salamu tu ameonya endapo Israel atajibu basi Iran atatuma full dose kwenda Israel.

Na Iran ameonya nchi yoyote itakayoisaidia Israel na Marekani kutumika kama kambi ya kurushia makombora basi Iran ataishambulia nchi hiyo kwakuwa makombora yanatokea huko.
 
Mwisho wa Iran unakuja muda mfupi. Iran ilikuwa kikwazo kwa nchi za magharibi hapo middle east sasa naona wamagharibi walishapata sababu ya kuiangamiza Iran.
Iran inaenda kubutuliwa kama Iraq na haitasimama tena pia natural resources zao zitamilikiwa na makampuni ya magharibi.
Magharibi wanaenda kuweka kibaraka wao aiongoze iran
Hizi bhangi huwa unavutia wapi
 
Ujasiri wa kurusha makombora hewa!! Wangetuma wanajeshi tuone huo ujasiri! Hatushabikii vita ila hawa waarabu na waajemi waliokuzwa ktk imani ya chuki ya kidini dhidi ya wanaowaita makafiri wanadekezwa sana na wayahudi na wazungu, dawa yao ingekuwa kuwajibu wanachokifanya kutofuata sheria za kivita ndiyo wataacha ujinga wa kubagua dini za wenzao na kuwaona wenye imani tofauti hawapaswi kuishi duniani au wakiishi wawe watumwa wao tu.
 
Back
Top Bottom