Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Bado hawajasema 😂😂😂
Israel said: We have Iran in our finger prints, Iran itajutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado hawajasema 😂😂😂
Urusi kasema ataiunga mkono Iran kama kutazuka vita baina ya Israel na Iran.Jamani mnatakiwa mjue USA haingiagi vitani peke yake bila NATO.Sasa huu mziki wa huko middle East sio mdogo..Iran anatakiwa aangalie sana huu mchezo unaendaje. Mtu ambae NATO wanamhofia ni Lidude Urusi peke yake.😕
Yule msemaji wa IDF mwenye masikio makubwa kama ya sungura anasema Iran imeshambulia kambi ya anga ya jeshi la Israel jana 7 ballist missiles landed lakini kambi haijaumia sana 🤣. Wewe unamuamini?Israel said: We have Iran in our finger prints, Iran itajutia
Yule msemaji wa IDF mwenye masikio makubwa kama ya sungura anasema Iran imeshambulia kambi ya anga ya jeshi la Israel jana 7 ballist missiles landed lakini kambi haijaumia sana 🤣. Wewe unamuamini?
Israel ni strategic ally wa Marekani pale Mashariki ya Kati, hivyo Marekani kuingilia kati kuisaidia Israel ni win-win strategically. Inachokifanya Marekani kwa ajili ya Israel kinaisaidia Marekani pia katika nyanja za kiintelijensia, kijeshi, kiuchumi na geopolitically kwa ujumla.Sijui.Nijuze.
🤣🤣 mimi mkatoliki original ila sivumilii ushenzi wa israeli. Kula chuma hikooKwanza futa hilo jina lako, uitwe Ayatollah au Juma Lokole then uanze kuitetea Iran, hatukuelewi Sir John Roberts wa wapi wewe?
🤣🤣 mimi mkatoliki original ila sivumilii ushenzi wa israeli. Kula chuma hikoo
Kideo tukiona kambi ikiwaka motoIran jana imepiga uwanja wa kijeshi wa israeli kusini mwa israeli huko anapopata kiburi cha kurusha vindege vyake. Sasa ole wake ajibu mashambulizi ndio atajua muajemi hajaribiriwi. Piga mbwa sana haoo.
Siburuzwi na wayahudi kama nyie malofa msiojielewaWewe basi mkatoliki hayawani..!!
Siburuzwi na wayahudi kama nyie malofa msiojielewa
Ingia X utaona mzigo tu umeshuka utasikia na sauti ya mlipuka na moshi ukipaa angani. Kule israeli ni marufuku kupiga video au picha maeneo yote wanayoshambuliwa kwa sababu wanaona aibu.Kideo tukiona kambi ikiwaka moto
Nani kakwambia hivyo vitu wametengeza israeli? Mmedanganywa sana nyie wagalatia wenzangu .Tupa kuanzia simu, TV, internet, GPS, all major chips unazotumia na usiende hosp kutumia vifaa vya Israel, haya wafuate hao wabinua makalio
Ukitazama mambo kwa jicho la weledi utagundua mutual benefits zilizopo kati ya Israel na Marekani. Na ndio sababu inayoifanya Marekani kuingilia kati ili kuisadia Israel.Israel bila mgongo wa Marekani hakuna kitu,. In fact kinachoendelea ni vita ya Iran na nchi za Magharibi ndani ya Israel. Kwa bahati mbaya swengi hawawezi kufanya analysis au kuangalia mambo kwa jicho la weledi.
Jina (dini) ndio vinaamulia mtu upande kwani ni vita vya kidini?Kwanza futa hilo jina lako, uitwe Ayatollah au Juma Lokole then uanze kuitetea Iran, hatukuelewi Sir John Roberts wa wapi wewe?
Shangilia ukikumbuka Spirit hii ya Yahudi!Huwezi kuwaona ninapoongea muda huu Netanyahu ameshatoroka hayupo Jerusalem. Angalia hii
Kula chuma hichoo99% ya makombora yameshushwa. Hakuna tofauti na makombora ya Iraq ya scard.
Mimi siyo mfuasi wa wayahudi kama wewe baki nayo hiyo imani wewe mtumwa wao.Shangilia ukikumbuka Spirit hii ya Yahudi!
Deuteronomy 19:21
[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Samson Option!