Fake news
Zinatumia masaa kufika?ππTulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem
Akimbie drones?!!!Huwezi kuwaona ninapoongea muda huu Netanyahu ameshatoroka hayupo Jerusalem. Angalia hii
Siyo makombora, ni dronesMkuu sidhani kama makombora yanahitaji masaa kutoka Iran mpaka Israel.
kwa akili yako kisoda hujui kama madege yale ya maraisi yana sehemu za kufanyia press conference netanyahu ameenda marekaani kubembeleza msaada acha uboyaa unaadhaani shambulio la iran ni sawa na hamasiAkimbie drones?!!!
Hii ni propaganda uchwara.
Netanyahu yupo nchini na katoka kuhutubia taifa lake muda mfupi uliopita..
View: https://twitter.com/MOSSADil/status/1779234102660448460?t=ETriA6LsgmNR3vc4ljd5Rg&s=19
Hali mbayaaaa ππππhali sio hali
Hizo ni ndege zisizo na rubani ila zimebeba mabomu.umbali wa kutoka Iran mpaka Israel ni karibu km 2500 na zaidi ila zina teknolojia ya juu kukwepa rada na some airdefences. Ballistic missiles pia zitaachiwa muda huu kutoka Iraq na Yemen kuelekea kwa Israel na mabwana zake USAZinatumia masaa kufika?ππ