Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Update.....
Giza nene MDA huu jijini tell Aviv,....

Inasemekana Hackers wa Iran wamefanya yao
 

Attachments

  • Screenshot_20240414-002346.png
    Screenshot_20240414-002346.png
    398.8 KB · Views: 5
Updates:

Iran yafanya shambulizi la cyberattack kwenye mfumo ulinzi wa IDF

Iran yathibitisha kuishambulia Israel

Jeshi la Israel ( IDF) limeanza kuyatungua makombora hayo yaliyoingia kwenye anga ya Jordan na Syria

Msemaji wa IDF Jenerali Daniel Hagari amethibitisha Iran Kufanya shambulizi hilo

Itachukua takribani masaa 9 makombora hayo ( drones) kuifikia Israel

Tayari makombora hayo yameshaingia kwenye anga ya Iraq

Mfumo wa GPS "wavurugwa" kuiwezesha Israel kuyanasa au kuyatungua makombora hayo

Ving'ora vya tahadhari vitapigwa mara TU makombora hayo yatakapoingia anga la Israel


Wadau hamjamboni nyote?

Hatimaye Serikali ya Iran imeamua kulipiza kisasi Kwa Israel kwa kuanza kurusha makombora ambayo yapo njiani na yanayorajiwa kuchukua masaa kadhaa kabla ya kutua nchini humo

Taarifa kamili hapo chini

Times of Israel

LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF SATURDAY, APRIL 13, 2024

Report: Iran begins attack on Israel, launching dozens of drones that’ll take hours to arrive​

Today, 10:48 pm
Illustrative: Iranians attend the funeral procession for seven Islamic Revolutionary Guard Corps members killed in a strike in Syria, which Iran blamed on Israel, in Tehran on April 5, 2024. (Atta Kenare/AFP)
Illustrative: Iranians attend the funeral procession for seven Islamic Revolutionary Guard Corps members killed in a strike in Syria, which Iran blamed on Israel, in Tehran on April 5, 2024. (Atta Kenare/AFP)
Iran has launched an attack against Israel with dozens of drones, according to the Axios news site.
Drones are assessed to take several hours to cover such a distance.

There is no immediate statement from the IDF on the attack.

Iran has threatened to attack Israel over the killing of seven IRGC members, including two generals, in Syria’s Damascus last week

Mungu ibariki Israel
Live

.
April 13, 2024 at 19:53
Iranian Drones En Route To Israel, Take Hours To Arrive
Iran has launched an attack against Israel with dozens of drones, according to the Axios news site.

Drones are assessed to take several hours to cover such a distance.

There is no immediate statement from the IDF on the attack.

Tunaenda mwishoni wakuu
 
Israel yaanza kutungua Drone kadhaa zilizowahi kuingia anga ya Israel around 12:00am. Jordan nayo yasema itatungua Drone yeyote itakayokatiza kwenye Angalake
Acha uongo we mlokole drone bado zipo njiani Netanyahu ameshatoroka Jerusalem. Wenyewe wamekadiria drone zitaanza kushusha mabomu kuanzia saa 8 au 9 usiku.
 

Attachments

  • Screenshot_20240414_001804_X.jpg
    Screenshot_20240414_001804_X.jpg
    399.2 KB · Views: 5
Kama distance btn them ni sio chini ya 2500km basi hii itakukuwa a mechanical war na sio a physical one. Hii ni mbaya sana. Makombola, drones na airforce kwa ujumla vyote vitachangia tuikaribisha vita ya3 ya dunia. Iran atapondwa, nchi za mashariki n kati na sehemu nyingine za kiislamu zitaungana n kuwa kitu kimoja. Hapa Israel, USA n washkaji zake watachapwa kama vita ya bubu n kipofu. Yote kheri, tungojee masjid al alqasa ibomolowe, Jews watengeneze hekalu lao kwa ajili ya nabii wao ndio kinuke kibadbad
 
Asante kwa kukubali hilo ,wenzako ukiwaambia hivyo wanataka kuku meza na wanasema eti Marekani ndo anaye itegemea Israel.
sisi ma mtu meusi huwa nasema hatuna akili. huwa tuna ushabiki wa kijinga. mimi kwanza naomba sana hiyo vita isitokee. ikitokea makima meusi ndio yatateseka wala hayawazi hilo. kima weusi kila kitu tunategemea nchi za dunia ya 1 na ya 2. athari kwa dunia ya kima ni kubwa kuliko wao huko.
facts kadhaa
a) Israel ni kibaraka wa US bila US Israel ni mweupe
b) kwa wanaoishabikia Iran watamponza. Iran vita hawezi atapigika aharibu uchumi wake bure. aache ujinga kwani Israel hatopiganaa peke yake.

kima wengi wanashabikia hii vita sababu za upande wa kiimani. unaona kabisa namna hatuna akili hapa mahaba ya kidini yanatufanya kuwa mafala.

mwisho kabisa tusiombee vita. ni wazi Iran atachapika sababu Israel lazima atasaidiwa na basha wake US na washirika akina France, UK n.k
 
Back
Top Bottom