Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaenda mwishoni wakuuUpdates:
Iran yafanya shambulizi la cyberattack kwenye mfumo ulinzi wa IDF
Iran yathibitisha kuishambulia Israel
Jeshi la Israel ( IDF) limeanza kuyatungua makombora hayo yaliyoingia kwenye anga ya Jordan na Syria
Msemaji wa IDF Jenerali Daniel Hagari amethibitisha Iran Kufanya shambulizi hilo
Itachukua takribani masaa 9 makombora hayo ( drones) kuifikia Israel
Tayari makombora hayo yameshaingia kwenye anga ya Iraq
Mfumo wa GPS "wavurugwa" kuiwezesha Israel kuyanasa au kuyatungua makombora hayo
Ving'ora vya tahadhari vitapigwa mara TU makombora hayo yatakapoingia anga la Israel
Wadau hamjamboni nyote?
Hatimaye Serikali ya Iran imeamua kulipiza kisasi Kwa Israel kwa kuanza kurusha makombora ambayo yapo njiani na yanayorajiwa kuchukua masaa kadhaa kabla ya kutua nchini humo
Taarifa kamili hapo chini
Times of Israel
LIVE UPDATEFROM THE LIVEBLOG OF SATURDAY, APRIL 13, 2024
Report: Iran begins attack on Israel, launching dozens of drones that’ll take hours to arrive
Today, 10:48 pm
Illustrative: Iranians attend the funeral procession for seven Islamic Revolutionary Guard Corps members killed in a strike in Syria, which Iran blamed on Israel, in Tehran on April 5, 2024. (Atta Kenare/AFP)
Iran has launched an attack against Israel with dozens of drones, according to the Axios news site.
Drones are assessed to take several hours to cover such a distance.
There is no immediate statement from the IDF on the attack.
Iran has threatened to attack Israel over the killing of seven IRGC members, including two generals, in Syria’s Damascus last week
Mungu ibariki Israel
Live
.
April 13, 2024 at 19:53
Iranian Drones En Route To Israel, Take Hours To Arrive
Iran has launched an attack against Israel with dozens of drones, according to the Axios news site.
Drones are assessed to take several hours to cover such a distance.
There is no immediate statement from the IDF on the attack.
![]()
Acha uongo we mlokole drone bado zipo njiani Netanyahu ameshatoroka Jerusalem. Wenyewe wamekadiria drone zitaanza kushusha mabomu kuanzia saa 8 au 9 usiku.Israel yaanza kutungua Drone kadhaa zilizowahi kuingia anga ya Israel around 12:00am. Jordan nayo yasema itatungua Drone yeyote itakayokatiza kwenye Angalake
fresh tu acha tufe watakaobaki wataheshimiana.Dunia ya leo ni kuoneana kifala.acheni kushabikia vita uzao wa kima mtakufa kama kuku wa kideli hawa watu wakitwangana
Asante kwa kukubali hilo ,wenzako ukiwaambia hivyo wanataka kuku meza na wanasema eti Marekani ndo anaye itegemea Israel.Ila kwa kweli bila Marekani, Israel hamna kitu kabisa. Ubabe wao wote ni kwa sababu wanajua Marekani itawapiga tafu.
Yes. Nimechungulia zinashukaje. Ila fa ni mtumwa wa ta. Always ta leads fundamental. USA30 nili sell ikiwa around 40050 imeshuka ndani ya wiki mbili Jana umefunga ikiwa 37982 na L ilikuwa 38883.coin zote mda huu
Huo ndo ukweli!Asante kwa kukubali hilo ,wenzako ukiwaambia hivyo wanataka kuku meza na wanasema eti Marekani ndo anaye itegemea Israel.
sisi ma mtu meusi huwa nasema hatuna akili. huwa tuna ushabiki wa kijinga. mimi kwanza naomba sana hiyo vita isitokee. ikitokea makima meusi ndio yatateseka wala hayawazi hilo. kima weusi kila kitu tunategemea nchi za dunia ya 1 na ya 2. athari kwa dunia ya kima ni kubwa kuliko wao huko.Asante kwa kukubali hilo ,wenzako ukiwaambia hivyo wanataka kuku meza na wanasema eti Marekani ndo anaye itegemea Israel.
tuliwapongezaga hamas hivihivi baadae ikawa free palestine ngoja tuoneTulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem
Unafahamu ni kwanini Marekani inaingilia?Ila kwa kweli bila Marekani, Israel hamna kitu kabisa. Ubabe wao wote ni kwa sababu wanajua Marekani itawapiga tafu.
Sijui.Nijuze.Unafahamu ni kwanini Marekani inaingilia?
Netanyahu akimbie kwenda wapi? Mna ufala mwingi sana.Bora mwenzake zelesnky hajakimbia,
Netanyau Ni bonge la fala kukimbia nchi
Unajua hiyo ndege unayoisema imeruka saa hizi Jerusalem?...inaitwa DOOMSDAY unajua kazi ya hiyo ndege?Tulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem