Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Iran haiwezi kushambuliwa na nchi za West isipokuwa kama itafanya makosa ya kimahesabu katika kushambulia targets.

Haiwezi kufanya makosa kwasababu imetoa taarifa kwa USA mapema kabisa leo kwamba itashambulia Israel na shambulo hilo litakuwa ''limited' kwa maana wanajibu mapigo hawataki vita.

Tatizo litakuwa kwamba nchi za Magharibi zimepata sababu baada ya vikwazo kushindwa.
Iran imeonya nchi itakayotoa ' base' itakuwa imeingia katika Vita. Hapa Iran inawalenga Saudi Arabia

In fact kuna pressure kubwa sana kutoka Saudi Arabia kuishambulia Iran pengine kuliko Iran
Nchi za Kiislama za mrengo wa Sunni , Wahabia na Sufi zinaiona Iran ya Shia kama tishio kubwa kwao

Kwasasa Iran ndiyo inaonekana super power baada ya Sadam kuondolewa na ni tishio kwa nchi hizo, Israel na nchi za magharibi zenya masilahi.

Kilichotokea leo ni kwamba inaweza kuwa 'damage' ya mashambulizi haipo kwa maana kwamba makombora yamezuiliwa lakini wachunguzi wa mambo ya vita wanasema Irana ime achieve goal kwa kuweza kufika ndani ya Israel na Miji yake kwa precision ya makombora. Precision ni jambo muhimu sana kuliko makombora ya Hamas yanayoruka. Hivyo, hata leo vita ikisimama Israel itatambua kwamba usalama wake unazidi kuwa na utata
 
Haiwezi kufanya makosa kwasababu imetoa taarifa kwa USA mapema kabisa leo kwamba itashambulia Israel na shambulo hilo litakuwa ''limited' kwa maana wanajibu mapigo hawataki vita.

Tatizo litakuwa kwamba nchi za Magharibi zimepata sababu baada ya vikwazo kushindwa.
Iran imeonya nchi itakayotoa ' base' itakuwa imeingia katika Vita. Hapa Iran inawalenga Saudi Arabia

In fact kuna pressure kubwa sana kutoka Saudi Arabia kuishambulia Iran pengine kuliko Iran
Nchi za Kiislama za mrengo wa Sunni , Wahabia na Sufi zinaiona Iran ya Shia kama tishio kubwa kwao

Kwasasa Iran ndiyo inaonekana super power baada ya Sadam kuondolewa na ni tishio kwa nchi hizo, Israel na nchi za magharibi zenya masilahi.

Kilichotokea leo ni kwamba inaweza kuwa 'damage' ya mashambulizi haipo kwa maana kwamba makombora yamezuiliwa lakini wachunguzi wa mambo ya vita wanasema Irana ime achieve goal kwa kuweza kufika ndani ya Israel na Miji yake kwa precision ya makombora. Precision ni jambo muhimu sana kuliko makombora ya Hamas yanayoruka. Hivyo, hata leo vita ikisimama Israel itatambua kwamba usalama wake unazidi kuwa na utata
Halafu sidhani kama İran imetumia makombora yote yaliyopo kwenye arsenal yake.

Pia, sidhani kama imetumia drones zote zilizo advanced ambazo inazo.

Kwenye operations kama hizi, kikawaida, hutumii zana zako zote ulizonazo.

Which means, kama wana uwezo wa kuipiga Israel kwa zana walizozitumia, imagine ambazo hawakuzitumia ambazo ziko advanced zaidi…..
 
Halafu sidhani kama İran imetumia makombora yote yaliyopo kwenye arsenal yake.

Pia, sidhani kama imetumia drones zote zilizo advanced ambazo inazo.

Kwenye operations kama hizi, kikawaida, hutumii zana zako zote ulizonazo.

Which means, kama wana uwezo wa kuipiga Israel kwa zana walizozitumia, imagine ambazo hawakuzitumia ambazo ziko advanced zaidi…..
Unajua hili limewapa Iran confidence kwasababu wameweza kujaribu umbali wa masafa.
Walikuwa wanajua lakini sasa wana uhakika kwamba wanaweza kufika eneo lolote la Israel

Wametumia ballistic missile, wanasema hawakutumia SAM au Long range missile
Hizo drones wanazo katika idadi ya maelefu, nadhani walitumia ndogo

Iran iliweza kuteremsha drone ya USA wakati wa Obama bila kuibomoa, nzima kama ilivyo
Mwaka huu tena wakarudia kuitungua drone moja ingawa haikutangazwa, kwahiyo si wachovu kihivyo

Kama uluvyosema sidhani kama wametumia 'arsenal' zao zote wakijua inaweza ku escalate
 
Haiwezi kufanya makosa kwasababu imetoa taarifa kwa USA mapema kabisa leo kwamba itashambulia Israel na shambulo hilo litakuwa ''limited' kwa maana wanajibu mapigo hawataki vita.

Tatizo litakuwa kwamba nchi za Magharibi zimepata sababu baada ya vikwazo kushindwa.
Iran imeonya nchi itakayotoa ' base' itakuwa imeingia katika Vita. Hapa Iran inawalenga Saudi Arabia

In fact kuna pressure kubwa sana kutoka Saudi Arabia kuishambulia Iran pengine kuliko Iran
Nchi za Kiislama za mrengo wa Sunni , Wahabia na Sufi zinaiona Iran ya Shia kama tishio kubwa kwao

Kwasasa Iran ndiyo inaonekana super power baada ya Sadam kuondolewa na ni tishio kwa nchi hizo, Israel na nchi za magharibi zenya masilahi.

Kilichotokea leo ni kwamba inaweza kuwa 'damage' ya mashambulizi haipo kwa maana kwamba makombora yamezuiliwa lakini wachunguzi wa mambo ya vita wanasema Irana ime achieve goal kwa kuweza kufika ndani ya Israel na Miji yake kwa precision ya makombora. Precision ni jambo muhimu sana kuliko makombora ya Hamas yanayoruka. Hivyo, hata leo vita ikisimama Israel itatambua kwamba usalama wake unazidi kuwa na utata
Inawezekana wewe ndio yule jamaa anayechambuaga vita Azam TV kwani umeeleza vizuri sana.
 
Unajua watu wengi wanaangalia haya mambo kwa jicho la 'ushabiki'

IDF spokesman Daniel Hagari amethibitisha kwamba wanakabiliana na mashambulizi kwa kushirikiana na 'PARTNER'
Inajulikana Partner ni Israel, TV za Marekani zimethibitisha

Pentagon imethibitisha kwamba '' central commander'' yupo Israel kusaidiana nao.

Defense secretary amesema fleet Carrier zingine zimeongezwa kusaidia Israel na sasa ipo Meditterenean

Uingereza na Ufaransa zinasaidia katika Intelligence na kijeshi.

PM Netanyahu mbele ya TV anashukuru nchi za magharibi ''allies'' kwa msaada hasa Marekani kwa kutoa silaha, pesa na usaidizi wa kijeshi, hakuna siri tena! Netanyahu anasema wazi
- Iron Dome
-David's Sling anti missile system
-Aero Missile defense system

Hizi ni silaha 'ultra modern' na ni Israel pekee iliyopewa zikiwemo F-15 Fighter pamoja na lile ''popo'

Hadi hapo ni wazi vita hii Israel yupo mgongoni hawezi kusimama na Iran peke yake

Miezi 6 tuliaminishwa wana MOSAD na Intelligence kali, hawajawapata mateka. Jana Hamas wamerusha makombora.

Ikumbukwe Iran ina vikwazo kwa zaidi ya miaka 20, ni dhaifu lakini wametengeneza drone zao na cruise missile.

Israel bila mgongo wa Marekani hakuna kitu,. In fact kinachoendelea ni vita ya Iran na nchi za Magharibi ndani ya Israel. Kwa bahati mbaya swengi hawawezi kufanya analysis au kuangalia mambo kwa jicho la weledi.

JokaKuu Pascal Mayalla

..Israel population ni 9.5 mil.

..Iran population ni 88 mil.

..Israel haiwezi kupigania vita vya wazi na Iran.

..Wanachoweza kufanya Israel dhidi ya Iran ni mashambulizi ya kuvizia ya hujuma.

..ktk tukio hili kila upande umemsoma mwenzake.

..wataalamu wa kijeshi wa Israel na Iran wote wamepata mafunzo kutokana na tukio hili.

..Iran alitaka kujua kama makombora yake yatafika Israel.

..Israel nao walitaka kupima namna ambavyo mifumo yao ya ulinzi itakabiliana na makombora toka Iran.
 
..Israel population ni 9.5 mil.

..Iran population ni 88 mil.

..Israel haiwezi kupigania vita vya wazi na Iran.

..Wanachoweza kufanya Israel dhidi ya Iran ni mashambulizi ya kuvizia ya hujuma.

..ktk tukio hili kila upande umemsoma mwenzake.

..wataalamu wa kijeshi wa Israel na Iran wote wamepata mafunzo kutokana na tukio hili.

..Iran alitaka kujua kama makombora yake yatafika Israel.

..Israel nao walitaka kupima namna ambavyo mifumo yao ya ulinzi itakabiliana na makombora toka Iran.
Mpaka sahivi hakuna kombora lililofika au ku-targert israel
 
Israel, US, UK na Jordan kwa pamoja kuungana kudungua drones za Iran ni ushahidi tosha kuwa sifa wanazopewa IDF huwa hazina mashiko.

Bila hao NATO Israel hatoboi hata kwa Al Shabab. Ni kitendo cha siku chache tu watafutiliwa mbali.
Hakuna vita vya pekee yako acha fikra potofu hata urussi anasaidiwa na iran na china kule ukraine

Ukisoma historia ya vita dunian kulikua na alliance waafrika tuna-safari ndefu sana kifikra

Hata vita vya Tanzania vs uganda
Tanzania ilisaidiwa na algeria huku uganda ikisaidiwa na libya
 
Anyezuia missile ni mmarekani. Hivi wewe huangalii habari? Pentagon, IDF wanasema wazi . Upo duniani gani
Hivi unajua Iron dome , David's sling na aero system zinatengenezwa wapi...
Ukisoma hizo taarifa unazitafsiri utakavyo ili angalau ufarijike.
 
..Israel population ni 9.5 mil.

..Iran population ni 88 mil.

..Israel haiwezi kupigania vita vya wazi na Iran.

..Wanachoweza kufanya Israel dhidi ya Iran ni mashambulizi ya kuvizia ya hujuma.

..ktk tukio hili kila upande umemsoma mwenzake.

..wataalamu wa kijeshi wa Israel na Iran wote wamepata mafunzo kutokana na tukio hili.

..Iran alitaka kujua kama makombora yake yatafika Israel.

..Israel nao walitaka kupima namna ambavyo mifumo yao ya ulinzi itakabiliana na makombora toka Iran.
Wachambuzi wetu bana, sasa hapa ndiyo umeelezea kitu gani?
 
Back
Top Bottom