Iran yaishambulia Israel kwa makombora
..Israel population ni 9.5 mil. ..Iran population ni 88 mil.
Pia ukubwa wa nchi na majirani. Israel inahitaji msaada kufika Iran
Kitakachotokea kwasasa ni Israel kutumia Marekani kama kawaida. Marekani ina base zake Jordan, Saudi Arabia na Iraq. Tatizo ni kwamba Iraq hawataki Marekani, wanatak waondoke lakini pia katika mpaka na Israel kuna Shia wanaoweza kushambulia.
..Israel haiwezi kupigania vita vya wazi na Iran.
Haiwezi isipokuwa kwa msaada wa Marekani, EU na UK kama ilivyotokea leo
..Wanachoweza kufanya Israel dhidi ya Iran ni mashambulizi ya kuvizia ya hujuma.
Na Marekani itawasaidia kama ilivyosaidia Israel kumuua kamanda wa Iran Qassam Suleiman na Mtaalaam wa Nuklia. Kazi yote inafanywa na Marekani kwa kujificha nyuma ya kivuli cha Israel.

Mashambulizi ya Marekani kwa Houth kule Yemeni yanasemwa kufanyika kutoka Texas, huo ni uongo
Shambulizi lilifanywa kutoka Israel lakini Marekani ilijificha ili kutochochea vita ya Gaza

..ktk tukio hili kila upande umemsoma mwenzake.

..wataalamu wa kijeshi wa Israel na Iran wote wamepata mafunzo kutokana na tukio hili.

..Iran alitaka kujua kama makombora yake yatafika Israel.
Amethibitisha yanafika mahali popote kuanzia Haifa, Tel Aviv hadi Jerusalem. Hii ni disadvantage ya Israel kwasababu ni nchi ndogo. Makombora ya Iran ya leo ni SEJJIL inayoweza kufika KM 2500 umbali kupita Israel na Shahed.
..Israel nao walitaka kupima namna ambavyo mifumo yao ya ulinzi itakabiliana na makombora toka Iran.
Lakini somo kubwa pia ni kwamba kama Israel inakabiliwa na changamoto ikipambana na Mataifa kama Iran.
Israel itawasikiliza Marekani na EU kuliko wakati mwingine kwasababu bila wao ingekuwa tabu
 
huruma gani wewe unadhani iran ni syria subiri uone kam israel ataruka anavyotaka kwenye anga la iran na figher jets zake
IMG_20240414_044943.jpg
 
Pia ukubwa wa nchi na majirani. Israel inahitaji msaada kufika Iran
Kitakachotokea kwasasa ni Israel kutumia Marekani kama kawaida. Marekani ina base zake Jordan, Saudi Arabia na Iraq. Tatizo ni kwamba Iraq hawataki Marekani, wanatak waondoke lakini pia katika mpaka na Israel kuna Shia wanaoweza kushambulia.

Haiwezi isipokuwa kwa msaada wa Marekani, EU na UK kama ilivyotokea leo

Na Marekani itawasaidia kama ilivyosaidia Israel kumuua kamanda wa Iran Qassam Suleiman na Mtaalaam wa Nuklia. Kazi yote inafanywa na Marekani kwa kujificha nyuma ya kivuli cha Israel.

Mashambulizi ya Marekani kwa Houth kule Yemeni yanasemwa kufanyika kutoka Texas, huo ni uongo
Shambulizi lilifanywa kutoka Israel lakini Marekani ilijificha ili kutochochea vita ya Gaza


Amethibitisha yanafika mahali popote kuanzia Haifa, Tel Aviv hadi Jerusalem. Hii ni disadvantage ya Israel kwasababu ni nchi ndogo. Makombora ya Iran ya leo ni SEJJIL inayoweza kufika KM 2500 umbali kupita Israel na Shahed.

Lakini somo kubwa pia ni kwamba kama Israel inakabiliwa na changamoto ikipambana na Mataifa kama Iran.
Israel itawasikiliza Marekani na EU kuliko wakati mwingine kwasababu bila wao ingekuwa tabu
Kuna jambo ambalo hamjui historia ya israel tokea mfalme saul mpaka sedekia haijawah kuwa nchi ya aman ni nchi inayopigana vita mda mwingi sana

Swala la israel kupigana vita halijaanza leo ni la historia
 
mabom pekee iran anaweza kurusha ni yale yanayorushwa mtu akila mayai mengi ya kuchemshwa. hayo anaweza.(utani tu), unfortunately, ni kweli, iran wamesharusha ndege zisizo na rubani nyingi kweli kweli kuelekea israel, netanyahu na mawaziri wake wameanticipate kwamba zinaweza kufika israel kesho asubuhi, na wanazimonitor. pia anga la marekani inasemekana kuna madege yameshaanza kuja middle east kupiga sapoti myahudi. vita imeanza, dunia imeshachafuka tena, though tunajua huu ndio utakuwa mwisho wa iran. mark my words, "mwisho wa iran".
Mwisho wa Iran kivipi mtumishi!?
Kwanini isiwe mwisho wa Israel, ama dunia kabisa?
Hivi unajua hii vita inaweza kusababisha Jumapili ijayo ukabadilisha utaratibu wa ibada kanisani kwako!?
 
Hakuna vita vya pekee yako acha fira potofu hata urussi anasaidiwa na iran na china kule ukraine

Ukisoma historia ya vita dunian kulikua na alliance waafrika tuna-safari ndefu sana kifikra

Hata vita vya Tanzania vs uganda
Tanzania ilisaidiwa na algeria huku uganda ikisaidiwa na libya
Kwenda huko. Hiyo alliance ya Russian China na Iran ilithibitishwa au ni tetesi na speculations tu?

NATO hawajaweza kuthibitisha kuwa Russia ana mkono wa pembeni. Ila hako ka Israel hao allies wake wametokea waziwazi.
 
Oyaa Kubaaaake hawa wala Halua na Tende ndio wamefungua kwa dizaini hii chafu tuko pale yani watapigwa kipigo cha mbwa koko alafu wataanza tafuta public sympath km wapaka hina wenzao wa palestina kwa kweli naona km andiko laenda kutimia ila kamwe hawataudondosha mji Mtakatifu siyo mimi nimesema ASEMA "BWANA WA MAJESHI"
 
Kwenda huko. Hiyo alliance ya Russian China na Iran ilithibitishwa au ni tetesi na speculations tu?

NATO hawajaweza kuthibitisha kuwa Russia ana mkono wa pembeni. Ila hako ka Israel hao allies wake wametokea waziwazi.
Tumia akili na sio hisia
Na zile drone za kamikaze alizopewa na iran

Kama ulikua hujui russia hasaidiwi na nchi nyingine pole sana, hata kwenye usipane vita na mtu ukadhani yuko peke yake wengine wana watu nyuma yao wewe huwezi waona
 
Bahati mbaya sana sisi wa Tanzania tunachukulia haya mambo ya kishabiki na zaidi kidini ni ujinga kupitiliza. Hizi nchi zote hawana habari na sisi wala hawataki kujuwa hali zetu, leo tukichinjana ndio watafungua Google kutaka kujuwa Tanzania ni kina nani.

Maafa yoyote ya kivita aina kama hii ya Irani, Israel na USA kama tunavyojuwa Israel ni USA maana hawezi kupigana yeye kama yeye, hii vita itatuletea maafa makubwa ya kiuchumi sana kwenye hali yenyewe ni mbaya kwenye inflation. Vita havijawahi kuwa kitu kizuri kabisa na gharama tutalipa huku maisha yatapanda.
 
Mkuu tusubirie ila Ayatollah kakubali kuingia kwenye mfumo wa westerners
Safari hii Israel amejichanganya, kulipua ubalozi wa Iran ilikuwa ni maamuzi mabaya sana. Kushambulia ubalozi wa Iran ni sawa na kushambulia ardhi ya Iran, hata wewe ungekuwa Ayatollah usingeweza kupuuzia. Hao westerners unaowazongumzia wazichange karata zao vizuri, usiamini kuwa mataifa mengine yenye akili timamu yatawaangalia tu hao westerners wakimzuia Iran kutimiza haki yake.
 
Safari hii Israel amejichanganya, kulipua ubalozi wa Iran ilikuwa ni maamuzi mabaya sana. Kushambulia ubalozi wa Iran ni sawa na kushambulia ardhi ya Iran, hata wewe ungekuwa Ayatollah usingeweza kupuuzia. Hao westerners unaowazongumzia wazichange karata zao vizuri, usiamini kuwa mataifa mengine yenye akili timamu yatawaangalia tu hao westerners wakimzuia Iran kutimiza haki yake.
Mbona wanamzuia kwa ku-intercept drone zake mpaka sahivi hakuna drone yeyote iliyofanikiwa kushambulia ardhi ya israel
 
Safari hii Israel amejichanganya, kulipua ubalozi wa Iran ilikuwa ni maamuzi mabaya sana. Kushambulia ubalozi wa Iran ni sawa na kushambulia ardhi ya Iran, hata wewe ungekuwa Ayatollah usingeweza kupuuzia. Hao westerners unaowazongumzia wazichange karata zao vizuri, usiamini kuwa mataifa mengine yenye akili timamu yatawaangalia tu hao westerners wakimzuia Iran kutimiza haki yake.
Mfano mataifa gani? Hiii vita itapigwa kiakili sana


#prayforiran
 
Bahati mbaya sana sisi wa Tanzania tunachukulia haya mambo ya kishabiki na zaidi kidini ni ujinga kupitiliza. Hizi nchi zote hawana habari na sisi wala hawataki kujuwa hali zetu, leo tukichinjana ndio watafungua Google kutaka kujuwa Tanzania ni kina nani.

Maafa yoyote ya kivita aina kama hii ya Irani, Israel na USA kama tunavyojuwa Israel ni USA maana hawezi kupigana yeye kama yeye, hii vita itatuletea maafa makubwa ya kiuchumi sana kwenye hali yenyewe ni mbaya kwenye inflation. Vita havijawahi kuwa kitu kizuri kabisa na gharama tutalipa huku maisha yatapanda.
Unafikiri hatujui haya yote unayosema mkongwe?
Tunajua sana, ila mahaba yetu hayapo Tanzania, yapo kwa Israel, USA, Iran na Russia, uzalendo wetu upo huko. Kitakachotokea Tanzania wala hatujali, sisi tunajali kinachoendelea kwenye nchi ambazo uzalendo wetu upo, Tanzania tunaishi tu, lakini akili zetu hazipo Tanzania.
Jifunze kutuelewa, wala hautapata shida na sisi!
 
Back
Top Bottom