Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Asante kwa kukubali hilo ,wenzako ukiwaambia hivyo wanataka kuku meza na wanasema eti Marekani ndo anaye itegemea Israel.
Wote wanategemeana,Israel ndo mtengeneza silaha mkubwa USA,
Na juzi vita ya Gaza walirudi kwenye ndege km daladala.
Ndio hao wanabondabonda hadi kuku huko.
Wote wanajeshi hao hawako kizembe.
 
Ila kwa kweli bila Marekani, Israel hamna kitu kabisa. Ubabe wao wote ni kwa sababu wanajua Marekani itawapiga tafu.
Unajua watu wengi wanaangalia haya mambo kwa jicho la 'ushabiki'

IDF spokesman Daniel Hagari amethibitisha kwamba wanakabiliana na mashambulizi kwa kushirikiana na 'PARTNER'
Inajulikana Partner ni Israel, TV za Marekani zimethibitisha

Pentagon imethibitisha kwamba '' central commander'' yupo Israel kusaidiana nao.

Defense secretary amesema fleet Carrier zingine zimeongezwa kusaidia Israel na sasa ipo Meditterenean

Uingereza na Ufaransa zinasaidia katika Intelligence na kijeshi.

PM Netanyahu mbele ya TV anashukuru nchi za magharibi ''allies'' kwa msaada hasa Marekani kwa kutoa silaha, pesa na usaidizi wa kijeshi, hakuna siri tena! Netanyahu anasema wazi
- Iron Dome
-David's Sling anti missile system
-Aero Missile defense system

Hizi ni silaha 'ultra modern' na ni Israel pekee iliyopewa zikiwemo F-15 Fighter pamoja na lile ''popo'

Hadi hapo ni wazi vita hii Israel yupo mgongoni hawezi kusimama na Iran peke yake

Miezi 6 tuliaminishwa wana MOSAD na Intelligence kali, hawajawapata mateka. Jana Hamas wamerusha makombora.

Ikumbukwe Iran ina vikwazo kwa zaidi ya miaka 20, ni dhaifu lakini wametengeneza drone zao na cruise missile.

Israel bila mgongo wa Marekani hakuna kitu,. In fact kinachoendelea ni vita ya Iran na nchi za Magharibi ndani ya Israel. Kwa bahati mbaya swengi hawawezi kufanya analysis au kuangalia mambo kwa jicho la weledi.

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Unajua watu wengi wanaangalia haya mambo kwa jicho la 'ushabiki'

IDF spokesman Daniel Hagari amethibitisha kwamba wanakabiliana na mashambulizi kwa kushirikiana na 'PARTNER'
Inajulikana Partner ni Israel, TV za Marekani zimethibitisha

Pentagon imethibitisha kwamba '' central commander'' yupo Israel kusaidiana nao.

Defense secretary amesema fleet Carrier zingine zimeongezwa kusaidia Israel na sasa ipo Meditterenean

Uingereza na Ufaransa zinasaidia katika Intelligence na kijeshi.

PM Netanyahu mbele ya TV anashukuru nchi za magharibi ''allies'' kwa msaada hasa Marekani kwa kutoa silaha, pesa na usaidizi wa kijeshi, hakuna siri tena! Netanyahu anasema wazi
- Iron Dome
-David's Sling anti missile system
-Aero Missile defense system

Hizi ni silaha 'ultra modern' na ni Israel pekee iliyopewa zikiwemo F-15 Fighter pamoja na lile ''popo'

Hadi hapo ni wazi vita hii Israel yupo mgongoni hawezi kusimama na Iran peke yake

Miezi 6 tuliaminishwa wana MOSAD na Intelligence kali, hawajawapata mateka. Jana Hamas wamerusha makombora.

Ikumbukwe Iran ina vikwazo kwa zaidi ya miaka 20, ni dhaifu lakini wametengeneza drone zao na cruise missile.

Israel bila mgongo wa Marekani hakuna kitu,. In fact kinachoendelea ni vita ya Iran na nchi za Magharibi ndani ya Israel. Kwa bahati mbaya swengi hawawezi kufanya analysis au kuangalia mambo kwa jicho la weledi.

JokaKuu Pascal Mayalla
Iran will regret this ww unatafta fair in battlefield Israel ndio elite in tech ambayo ni top in west and the whole world let's see how they respond don't you know that Iran is terrorist sponsor ni muhimu apunguzwe nguvu
 
EU, Uingereza, na nchi zingine eti zimeilaani Iran kwa shambulio lake hili kwa Israel!!!!

Hizi nchi zina unafiki sana.
Kuna unafiki sana, tena Iran ilipeleka suala hili UN Security council, wakakataa kulaani leo nawasikia wanalaani
Ni unafiki ule ule wa Biden kupeleka misaada ya biskuti kwa parachute Palestina wakati anashusha silaha nzito bandarini na airport Israel.

By the way, Iran imewataarifu USA kwamba wanafanya shambulizi kujibu shambulizi la ubalozi.
Hili limewapa muda US na Israel kujiandaa, I can imagine kama wasingetoa tahadhari

Sasa hivi media za west zinawafanya Irankama wahalifu wakati wamechokozwa wao
Hivi makamanda wangapi wa Iran wameuawa na Israel? Baada ya shambulio la Ubalozi kulikuwa na option gani nyingine kwa Iran

Tuangalie haya mambo bila ushaibiki.
 
Iran will regret this ww unatafta fair in battlefield Israel ndio elite in tech ambayo ni top in west and the whole world let's see how they respond don't you know that Iran is terrorist sponsor ni muhimu apunguzwe nguvu
Anyezuia missile ni mmarekani. Hivi wewe huangalii habari? Pentagon, IDF wanasema wazi . Upo duniani gani
Hivi unajua Iron dome , David's sling na aero system zinatengenezwa wapi?

Commander anayeongoza vita Israel ni kutoka pentagon, unaishi dunia gani? Mbona wanasema wazi hili

Iran itashambuliwa na nchi za Magharibi, Israel bila mgongo wa EU, US na UK hakuna kitu.
By the way mwezi wa 6 wanapigana na wanamgambo ije iwe Iran! ni nchi za mgaharibu.
 
Iran will regret this ww unatafta fair in battlefield Israel ndio elite in tech ambayo ni top in west and the whole world let's see how they respond don't you know that Iran is terrorist sponsor ni muhimu apunguzwe nguvu
Terrorist ni kitu gani? hebu define
Halafu weka ushahidi wa sponsor kisha tujadili nani ni sponsor mkubwa wa ugaidi.
 
mabom pekee iran anaweza kurusha ni yale yanayorushwa mtu akila mayai mengi ya kuchemshwa. hayo anaweza.(utani tu), unfortunately, ni kweli, iran wamesharusha ndege zisizo na rubani nyingi kweli kweli kuelekea israel, netanyahu na mawaziri wake wameanticipate kwamba zinaweza kufika israel kesho asubuhi, na wanazimonitor. pia anga la marekani inasemekana kuna madege yameshaanza kuja middle east kupiga sapoti myahudi. vita imeanza, dunia imeshachafuka tena, though tunajua huu ndio utakuwa mwisho wa iran. mark my words, "mwisho wa iran".
Tatizo lako ni kwamba unachukulia hili suala kiushabiki.

Baada ya Israeli kushambulia na kuvunjavunja jengo la ubalozi kule Damascus, Iran wameketi na kuwa na plan ya ni targets zipi watazishughulikia.

Nyuma ya pazia Iran, Marekani, Jordan na Syria wote wazungumza na kuambizana namna ufanisi wa makombora na UAVs za Iran zitakwenda Israeli bila kuharibu targets zisizokusudiwa. Ukumbuke kwamba Iran bila kutumia anga za Iraq na Syria hana uwezo wa kuishamblia Israeli na ndo sababu ya kuwa vikosi vya Hezbollah, wahuthi na vingine ndani ya Syria na Iraq.

Ndo maana Israeli amekuwa akishambulia kambi na vituo vya kijeshi vya vikundi hivi bila mafanikio na ndo sababu kubwa ya kushambulia jengo la ubalozi wa Iran pale Damascus kwani majasusi wa CIA, Mossad na wa Jordan waligundua kuwa wale majenerali wa Iran ambao ndo wamekuwa wakitoa mafunzo kwa Hezbollah na vikundi vingine, siku ile walikwenda pale ubalozini kufanya kikao.

Nimesema mara nyingi hapa kwamba vita ya hawa jamaa wakubwa wa ulimwengu si vita ya kule Congo, bali ni vita iliyo na matumizi makubwa ya teknolojia na zana za kisasa kabisa ambazo hata nchi moja ya Afrika haiwezi kuwa nazo kutokana na gharama zake.

Hivyo basi, majasusi wa Iran tayari waliandaa mashambulizi dhidi ya targets ndani ya Israeli na hichi ndicho wanokifanya kwa sasa.

Marekani pamoja na kuisaidia Israeli kujilinda kwa ile "Iron Dome" hapohapo wafanya analysis ya ni aina zipi za UAVs Iran ametumia, umbali zilotumia na "impact" yake zifikapo chini. Kisha baadae watakuja na mbinu mpya za kuboresha "mitigation" juu ya mashambulizi mengine.

Ukumbuke pia kwamba hizo UAVs za Shaheed pia zasadia kuweka cover kwa makombora hivyo kuwezesha makombora hayo kukwepa mfumo wa kujilinda, hivyo analysis pia itaangalia kitu hichi.

Iran leo wametoa sababu za kufanya mashambulizi yake na wametumia Article 51 ya UN charter ambayo inaipa uwezo nchi kujibu mapigo pale inaposhambuliwa ndani ya eneo lake. Kwa maana hiyo ni kwamba kushambuliwa jengo la ubalozi wa Iran mjini Damascus ni sawa na kuishambulia Iran yenyewe.

Israeli walifahamu kuwa Iran itajibu mapigo na ndo maana wametumia muda mwingi kujiandaa.

Hivyo basi, tunapojadili haya masuala tuepuke ushabiki na tuombe wakubwa hawa wa dunia akili zitulie ili wasilete vita ambayo itagharimu maisha ya watu wengine ambao hawahusiki.
 
Anyezuia missile ni mmarekani. Hivi wewe huangalii habari? Pentagon, IDF wanasema wazi . Upo duniani gani
Hivi unajua Iron dome , David's sling na aero system zinatengenezwa wapi?

Commander anayeongoza vita Israel ni kutoka pentagon, unaishi dunia gani? Mbona wanasema wazi hili

Iran itashambuliwa na nchi za Magharibi, Israel bila mgongo wa EU, US na UK hakuna kitu.
By the way mwezi wa 6 wanapigana na wanamgambo ije iwe Iran! ni nchi za mgaharibu.
Iran haiwezi kushambuliwa na nchi za West isipokuwa kama itafanya makosa ya kimahesabu katika kushambulia targets.
 
Back
Top Bottom