Dini ndio zimesababisha huu ujinga wote.
 
kule Ukraine atamwachia nan ? Russia aliamua kuwadivert West kwa kuwaletea mgogoro wa Israel na wao wameamua kumdivert kumletea hili la Iran , achague kufa na ukraine au syria au iran au afrika maana anasema alijipanga na vita
Tuendelee kufuatilia. Muda utajibu utatujibu!
 
Tena ashukuru yule mfalme wa Jordan kamsaidia kuangusha baadhi ya drone za Iran, huyo ni kibaraka siku zote yuko upande wa Israel.
sio kibaraka bali sio zombi wa udini huyo , aliwakaribisha wapalestina wakataka kumgeuka , kwann aendelee kushabikia mazombi
 
kwann Iran asipigane pekee yake bila Yemen , Iraq , Gaza , Lebanon na Syria ?
 
Lini maisha yetu yaliwahi kuwa mepesi? Wenye nchi ndio watatikisika na hali ya dunia ila sisi makapuku tushazoea mihogo yetu na dagaa wala haina tabu.
 
Kwa hiyo speed ya kuchechemea zitatunguliwa mbali huko kabla ya kufika Israel
Inategemea, lakini kwa uelewa wangu mdogo tu, ukiruhusu anga lako litumike kutungua hizo drone ina maana unaruhusu Iran ikuongeze katika list ya target zake, yaani unawekwa katika list ya adui wa Iran.
 
Acha uongo we mlokole drone bado zipo njiani Netanyahu ameshatoroka Jerusalem. Wenyewe wamekadiria drone zitaanza kushusha mabomu kuanzia saa 8 au 9 usiku.
Mkuu mpaka sasa saa moja hii mbona mabomu hakuna? Au 8 za usiku na tisa ni kwa saa za Iran au Israel?
 
We jamaa una mawazo mabaya sana dah 😀
 
..makombora yameweza kufika Israel.

..Na Israel ameweza kutungua makombora ya Iran.

..kila upande utarudi mezani na kujifanyia tathmini.
Mkuu kambi kubwa moja wapo ya anga Israel imeharibiwa na mashambulizi ya jana imeharibiwa hivyo kuna makombora yalipenya na kushambulia.
 
kule Ukraine atamwachia nan ? Russia aliamua kuwadivert West kwa kuwaletea mgogoro wa Israel na wao wameamua kumdivert kumletea hili la Iran , achague kufa na ukraine au syria au iran au afrika maana anasema alijipanga na vita
Sasa Israel na Iran nani anajiweza?😂 Maana Russia na Iran wakiungana ni sekunde chache tu Israel inabakia historia😂 maana atachakazwa fasta.

Na kuna mahasimu wanamtamani huyo Mmarekani kama unavyolitamani tako la Poshyqueen lile. Yani wanaling'atia ulimi na lips kinoma akiwemo kiduku.
 
Mkuu kambi kubwa moja wapo ya anga Israel imeharibiwa na mashambulizi ya jana imeharibiwa hivyo kuna makombora yalipenya na kushambulia.
Hili watalifunika funika sababu hawatotaka Israel aonekane kinyonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…