min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Dini ndio zimesababisha huu ujinga wote.Unafikiri hatujui haya yote unayosema mkongwe?
Tunajua sana, ila mahaba yetu hayapo Tanzania, yapo kwa Israel, USA, Iran na Russia, uzalendo wetu upo huko. Kitakachotokea Tanzania wala hatujali, sisi tunajali kinachoendelea kwenye nchi ambazo uzalendo wetu upo, Tanzania tunaishi tu, lakini akili zetu hazipo Tanzania.
Jifunze kutuelewa, wala hautapata shida na sisi!