adrenaline
JF-Expert Member
- Jun 17, 2015
- 3,152
- 4,843
Kuna pahala watu wataangusha Ka Nyuklia kuweka mambo sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana ubavu wa kupigana pekeyake. Kuna Command centres za mmarekani zinampa tips😂ttzo huwa mnasahau kuwa Israel anapigana na zaid ya mataifa 5 ila mnataka Israel apigane pekee yake , hapo unasiki yupo Yemen + Iran + Gaza + Lebanon + Iraq
acheni kupiga mkwara wazayani wenye laana, nasikia na bangi zimeadimika huko telaviv, wazayuni hawawezzi kukaa kwenye mahandaki bila bangi.hatutak kuja kusikia Pray for Iran
Natamani hiko kidude kiangushwe mji mkongwe wa Israel.Kuna pahala watu wataangusha Ka Nyuklia kuweka mambo sawa.
Msije mkaanza kulalamika kuwa Israel anauwa wanawake na watoto.Tulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem
Nionyeshe kombora la iran lilliloishambulia israelUna uhakika na unacho kiongea au upo hapa kwa ajili ya kufanya ushabiki?
leo wazaayuni mmechanganyikiwa subirini dawa iwaiingie kuku nyie, mmeua watoto wangapi hamjajibiwa leo zamu yenu kukaa kama panya kwenye mahandaki na tunasubiri mjibu tuwakimbize tena mchaka mchaka.watu kama nyinyi ndo mlikuwa mnasema kila maiti muionayo imeuliwa na Jiwe , watu mnapenda kuropoka bila ushaidi , hata Netanyau hujawai kumuona ila upo hawa kumsimulia kama mnaishi nyumba moja
Si alikuwa anajazwa ili arushe, kifuatacho sasa ayatollah atafute hifadhi nje ya iran.Mliosema Iran haitarusha hata jiwe mpo wapiiiiiii
Baada ya kumaliza kuchapa watu viboko wanaokula mchana. Unaona wazayuni wanalaana kuliko wewe. Hongeraacheni kupiga mkwara wazayani wenye laana, nasikia na bangi zimeadimika huko telaviv, wazayuni hawawezzi kukaa kwenye mahandaki bila bangi.
Hiyo ndiyo furaha yako. Hongera!Natamani hiko kidude kiangushwe mji mkongwe wa Israel.
tulia dawa ikuiingie wewe mara ngapi israel anapiga anapotaka ndani ya syria, na lebanon kichapo ni kichapo tu mtasema yote leo,kwann Iran asipigane pekee yake bila Yemen , Iraq , Gaza , Lebanon na Syria ?
Hiyo ndiyo furaha yako. Hongera sana[QUOTE="Masikio Masikio, post:
49959730, member: 705855"
Nionyeshe kombora la iran lilliloishambulia israel
Embu tuonyeshe hizo kambiKambi za jeshi la anga zipo zinateketea ww una hapa unafanya vichekesho?
Msije mkaanza kuandamana tena kuwa Israel anaua wanawake na watototulia dawa ikuiingie wewe mara ngapi israel anapiga anapotaka ndani ya syria, na lebanon kichapo ni kichapo tu mtasema yote leo,
Wacha weeeeh!
Russia atakuwa anamuangalia tu USA kipindi anafanya hiki unachokisema?
tulieni dawa iwaaingia nasikia f35 huko zimewaka moto, moshi wa bangi tu umetawala israeli mahandaki yanatoa moshi kama wanachoma mkaaMtaanza kulia mkishirikiana na Aljazeera
Tumechoka na huu wimbo msije mkaanza msije mkaanza aah tumechoka si muanze.Msije mkaanza kulalamika kuwa Israel anauwa wanawake na watoto.