Iran yaishambulia Israel kwa makombora
ttzo huwa mnasahau kuwa Israel anapigana na zaid ya mataifa 5 ila mnataka Israel apigane pekee yake , hapo unasiki yupo Yemen + Iran + Gaza + Lebanon + Iraq
Hana ubavu wa kupigana pekeyake. Kuna Command centres za mmarekani zinampa tips😂
 
l
watu kama nyinyi ndo mlikuwa mnasema kila maiti muionayo imeuliwa na Jiwe , watu mnapenda kuropoka bila ushaidi , hata Netanyau hujawai kumuona ila upo hawa kumsimulia kama mnaishi nyumba moja
leo wazaayuni mmechanganyikiwa subirini dawa iwaiingie kuku nyie, mmeua watoto wangapi hamjajibiwa leo zamu yenu kukaa kama panya kwenye mahandaki na tunasubiri mjibu tuwakimbize tena mchaka mchaka.
 
acheni kupiga mkwara wazayani wenye laana, nasikia na bangi zimeadimika huko telaviv, wazayuni hawawezzi kukaa kwenye mahandaki bila bangi.
Baada ya kumaliza kuchapa watu viboko wanaokula mchana. Unaona wazayuni wanalaana kuliko wewe. Hongera
Ingekuwa hivyo, nchi zote za kiislamu zingekuwa mifano ya kuigwa na watu wengi wangeenda kuishi huko. Hapo Sudan Waarabu wanaua waislamu weusi km kuku
 
kwann Iran asipigane pekee yake bila Yemen , Iraq , Gaza , Lebanon na Syria ?
tulia dawa ikuiingie wewe mara ngapi israel anapiga anapotaka ndani ya syria, na lebanon kichapo ni kichapo tu mtasema yote leo,
 
Wacha weeeeh!
Russia atakuwa anamuangalia tu USA kipindi anafanya hiki unachokisema?

Wewe kumbe hujui hivi vita viko planned, Russia hawezi kabisa pigana vita vingine kwa sasa zaidi ya Ukraine, kumbuka ni NATO wako Ukraine under USA, EU sasa walipigana na Russia muda wote huo kupitia Ukraine ili kumvunja nguvu asiweze saidia nchi yoyote hapo middle East sbb NATO walijua kabisa walichokiona Syria kwani Russia wakati ule alikuwa na nguvu akasaidia Syria isipigwe na USA, sasa hv Russia hana nguvu kabisa kupigana vita nyingine au kutoa msaada wa kijeshi hata Russia sasa hv anaomba msaada wa vifaa vya jeshi nchi marafiki zake sbb hali ni mbaya

So Iran akianza kupigwa hakuna wa kumsaidia kwa sasa ni kuchakazwa tu toka angani na baharini, lakini kumbuka vita vya USA akija full kama Iraq, Libya au Afghanistan hakuna nchi dunia hii itaingilia, utaachwa upigwe ufe na vizazi vyako, tumeona Gaza pia hakuna nchi imeingilia sbb Marekani aliweka ulinzi wa meli kubwa kubwa na warplanes kuzunguka bahari ya Mediterrean na hakuna mtu aliweza zuia Gaza kupigwa, nchi zote zikabaki zinabweka bweka wakati Gaza inaangamizwa sbb USA aliweka mguu pale uelewe hilo.

So akili ya kumtegemea Russia sahau hiyo kwa sasa, mjiandae kupigwa na kupotezwa
 
Back
Top Bottom