antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Tusubiri basi apate kuvuliwa hilo dera.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3W2QjB8SBuk&ab_channel=HindustanTimes
Sawa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri basi apate kuvuliwa hilo dera.
View: https://www.youtube.com/watch?v=3W2QjB8SBuk&ab_channel=HindustanTimes
Jamaa amenishangaza sana yaan site hata verification hainaHi
Hichi ndio chanzo chako? Pole sana
Myahudi mweusi unajidanganya unadhani Iran ni Burundi itishwe na Israel ambayo ipo overrated kumbe hamna kitu zaidi ya kutegemea bwana wake Marekani amsaidie.Ayatollah Khomeini amejiingiza kingi. Asubiri kuvuliwa dera.
Njia pekee ya kukomesha ugaidi mashariki ya kati ni kushughulikia Iran kikamilifu, maana ndiyo wamiliki na wafadhili wa magaidi wote
Mvaa vipedo na vijola tuliza mshono wako kahaba mkubwa wee.Iran jana imepiga uwanja wa kijeshi wa israeli kusini mwa israeli huko anapopata kiburi cha kurusha vindege vyake. Sasa ole wake ajibu mashambulizi ndio atajua muajemi hajaribiriwi. Piga mbwa sana haoo.
Hii siyo siri nenda X huko habari zipo live live makombora yanashuka ndani ya israeli raia wamepaniki wanakimbia hovyo. Tatizo mmejifungia hapa jfLeta credible source ya kussuport habari yako
Mimi mkristo mwenzako ila sipendi ubabe wa marekani na israeli. Tumsifu yesu kristoMvaa vipedo na vijola tuliza mshono wako kahaba mkubwa wee.
Subiri mumeo. Israel aanze kujibu mapigo ndipo utajua mwanaume ni mwanaume tu
Ebu acha upumbavu kama Israel mwenyewe amekili kambi yake kuharibiwa ww ni nani mpaka ubishe.Hiyo site hata haina verification unaiaminije yaana unaokota matango pori huko mtandaoni ili ujifurahishe
ITR
Israel hawezi kuingia vitani na Iran moja kwa moja hadi bwana wake Marekani amhakikishie atamsaidia silaha,wanajeahi navkila aina ya msaada na bado hatomuweza Muajemi.Sawa mkuu
ana maana kwamba kwenye Vita mtu mmoja anaruhusiwa kuua mtu mmoja Kwa hiyo 88-9.5=¶ hivyo wairan lzm washinde Kwa margin kubwa.Unaruhusiwa kuchekea chooni.Wachambuzi wetu bana, sasa hapa ndiyo umeelezea kitu gani?
Leta credible source acha kupiga maktaimu mbona unahamisha magoliEbu acha upumbavu kama Israel mwenyewe amekili kambi yake kuharibiwa ww ni nani mpaka ubishe.
Dunia ya sasa ipo wazi hakuna kitu kinacho jificha nenda tweeter kuna video kibao.
Na wewe unafurahia israel kushambuliwaMnaumia nini israeli akipigwa ? Mbona anauwa watu Gaza daily hamuongei pumbavuu
Oooh, kumbe!? Basi sawa mkongwe!Wewe kumbe hujui hivi vita viko planned, Russia hawezi kabisa pigana vita vingine kwa sasa zaidi ya Ukraine, kumbuka ni NATO wako Ukraine under USA, EU sasa walipigana na Russia muda wote huo kupitia Ukraine ili kumvunja nguvu asiweze saidia nchi yoyote hapo middle East sbb NATO walijua kabisa walichokiona Syria kwani Russia wakati ule alikuwa na nguvu akasaidia Syaria isipigwe na USA, sasa hv Russia hana nguvu kabisa kupigana vita nyingine au kutoa msaada hata Russia sasa hv anaomba msaada wa vifaa vya jeshi nchi marafiki zake sbb hali ni mbaya
So Iran akianza kupigwa hakuna wa kumsaidia kwa sasa ni kuchakazwa tu toka angani na habarini, lakini kumbuka vita vya USA akija full kama Iraq, Libya au Afghanistan hakuna nchi dunia hii itaingilia, utaachwa upigwe ufe na vizazi vyako, tumeona Gaza pia hakuna nchi imeingilia sbb Marekani aliweka ulinzi wa meli kubwa kubwa na warplanes kuzunguka bahari ya Mediterrean na hakuna mtu aliweza zuia Gaza kupigwa
So akili ya kumtegemea Russia sahau hiyo kwa sasa, mjiandae kupigwa na kupotezwa
Niko x na sijaona mahali popote uwanja wa israel umeshambuliwa na iran ndo nimeona kwakoHii siyo siri nenda X huko habari zipo live live makombora yanashuka ndani ya israeli raia wamepaniki wanakimbia hovyo. Tatizo mmejifungia hapa jf
Sawa mkuu ijapo swali langu linahitaji kujua ikulu ya Israel iko mji gani kati ya hiyo miwili ambayo iko mataifa mawili tofauti.Netanyahu hakai ikulu anakaa kwenye handaki Jerusalem
Shida hata mihogo itapanda bei maana mafuta yakipanda wafanya biashara fursa utasikia mafuta bei juu na mihogo juu 😛Lini maisha yetu yaliwahi kuwa mepesi? Wenye nchi ndio watatikisika na hali ya dunia ila sisi makapuku tushazoea mihogo yetu na dagaa wala haina tabu.
zile rocket 5000 ulikuwa hujazaliwa ?na saizi unaambiwa israeli zinavutwa bangi wazee kwa vijana kauze bangi kule amezoea kujipigia syria bila majibu leo amejibiwa