Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Sijaona cha maana cha kushanikia toka comment namba 1 hadi hii kwa kuwa wasiobna hatia watakufa sana na huku kwetu maisha yatakuwa magumu zaidi
 
Ayatollah Khomeini amejiingiza kingi. Asubiri kuvuliwa dera.

Njia pekee ya kukomesha ugaidi mashariki ya kati ni kushughulikia Iran kikamilifu, maana ndiyo wamiliki na wafadhili wa magaidi wote
Myahudi mweusi unajidanganya unadhani Iran ni Burundi itishwe na Israel ambayo ipo overrated kumbe hamna kitu zaidi ya kutegemea bwana wake Marekani amsaidie.
 
Iran jana imepiga uwanja wa kijeshi wa israeli kusini mwa israeli huko anapopata kiburi cha kurusha vindege vyake. Sasa ole wake ajibu mashambulizi ndio atajua muajemi hajaribiriwi. Piga mbwa sana haoo.
Mvaa vipedo na vijola tuliza mshono wako kahaba mkubwa wee.

Subiri mumeo. Israel aanze kujibu mapigo ndipo utajua mwanaume ni mwanaume tu
 
Hiyo site hata haina verification unaiaminije yaana unaokota matango pori huko mtandaoni ili ujifurahishe
ITR
Ebu acha upumbavu kama Israel mwenyewe amekili kambi yake kuharibiwa ww ni nani mpaka ubishe.

Dunia ya sasa ipo wazi hakuna kitu kinacho jificha nenda tweeter kuna video kibao.
 
Ebu acha upumbavu kama Israel mwenyewe amekili kambi yake kuharibiwa ww ni nani mpaka ubishe.

Dunia ya sasa ipo wazi hakuna kitu kinacho jificha nenda tweeter kuna video kibao.
Leta credible source acha kupiga maktaimu mbona unahamisha magoli
 
Wewe kumbe hujui hivi vita viko planned, Russia hawezi kabisa pigana vita vingine kwa sasa zaidi ya Ukraine, kumbuka ni NATO wako Ukraine under USA, EU sasa walipigana na Russia muda wote huo kupitia Ukraine ili kumvunja nguvu asiweze saidia nchi yoyote hapo middle East sbb NATO walijua kabisa walichokiona Syria kwani Russia wakati ule alikuwa na nguvu akasaidia Syaria isipigwe na USA, sasa hv Russia hana nguvu kabisa kupigana vita nyingine au kutoa msaada hata Russia sasa hv anaomba msaada wa vifaa vya jeshi nchi marafiki zake sbb hali ni mbaya

So Iran akianza kupigwa hakuna wa kumsaidia kwa sasa ni kuchakazwa tu toka angani na habarini, lakini kumbuka vita vya USA akija full kama Iraq, Libya au Afghanistan hakuna nchi dunia hii itaingilia, utaachwa upigwe ufe na vizazi vyako, tumeona Gaza pia hakuna nchi imeingilia sbb Marekani aliweka ulinzi wa meli kubwa kubwa na warplanes kuzunguka bahari ya Mediterrean na hakuna mtu aliweza zuia Gaza kupigwa

So akili ya kumtegemea Russia sahau hiyo kwa sasa, mjiandae kupigwa na kupotezwa
Oooh, kumbe!? Basi sawa mkongwe!
Mimi na vijana wenzangu wa WEMA KIJIKO UBAYA GUNIA ZIMA CAMP tupo tunafuatilia mtanange huu kwa karibu sana. Tupo tunasubiria kuona Iran ikichapika kama Iraq, ila pia tupo tukisubiria kuona Israel akionjeshwa shubiri anayoendelea kuwalisha vijana wenzetu pale Gaza.
Yote kwa yote tunaomba Iran, USA na Israel wasituangushe katika hii sinema, tunatarajia kusikia milio mikali kutoka pande zote!!!
 
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.

Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.

Baada ya mashambulio ya jana mpaka kwenye kambi za jeshi za Tel Aviv, Iran imesema mpaka hapo imefunga ukurasa wake wa mwanzo wa vita.

Inasubiri iwapo Israel itajibu na wao waendeleze ukurasa mwengine mpana zaidi
 
Back
Top Bottom