Iran yaishambulia Israel kwa makombora
Ujasiri wa Iran umeifanya Israel inywee kiaina tofauti na wengi tulivyotaraji kuwa ikipigwa kweli na Iran itarusha mvua ya makombora Tehran papo kwa papo.
Kitisho cha vita vikubwa zaidi kiko wazi baada ya Iran kuiambia Marekani ikae mbali katika vita vyake na Israel.
Bado kuna maneno au tafsiri yake inakusumbua.
-kuufyata,
-kunywea
Nitaongeza mengine pindi nionapo unatatizika.
 
Tulia dogo kamikaze drones zaid ya 100 zipo hewani saahizi zinaelekea Tel aviv subiri majibu. Hizo hazitunguliwi na kima yeyote .saahizi ndege ya Netanyahu imeondoka Jerusalem
Acha kujidanganya. Kuna umbali mkubwa kati ya Iran na Israel, so kwa uwezo wa Marekani yanaweza kushushwa hayo kabla ya kuingia anga la Israel. Hii ni tofauti ya Russia na Ukraine ,ambazo ni majirani.
 
hizo nchi nmelist huzion ? au kwa waarab kushirikiana ni sawa ? ila myaudi sio sawa ? jipime akili mkuu kuna ttzo sehem
Hana ubavu wa kupigana pekeyake. Kuna Command centres za mmarekani zinampa tips😂
 
Leta credible source acha kupiga maktaimu mbona unahamisha magoli
Mwanzo ilikuwa Iran hawezi kujaribu kuishambulia Israel moja kwa moja, kwamba Iran ni paper tiger.
Baada ya Israel kushambuliwa moja kwa moja mnabadilika, mnazungumzia kuzuia mashambulizi.
😂😂😂

Hata kama hakuna sehemu imepata mlipuko huko Israel, ila kitendo cha Iran kujibu mashambulizi kwa kuishambulia Israel moja kwa moja kimepokelewa vizuri sana na wakataa unyonge duniani.
 
Bado upo kwenye fikra za mwaka 47..vita ni Mipango sio unapigana Tu kama mjinga angalia Toka Israel wameua Yule kiongozi wa Iran ni zaidi ya wiki mbili ndiyo tinaona wanajibu.
Najua sana.Lakini kwa vile mnavyotuaminisha kuhusu manguvu ya Israel na wenyewe walisema hivyo,tulidhani muda huu moto umeshawaka kote Iran.
 
Bado upo kwenye fikra za mwaka 47..vita ni Mipango sio unapigana Tu kama mjinga angalia Toka Israel wameua Yule kiongozi wa Iran ni zaidi ya wiki mbili ndiyo tinaona wanajibu.
Najua sana.Lakini kwa vile mnavyotuaminisha kuhusu manguvu ya Israel na wenyewe walisema hivyo,tulidhani muda huu moto umeshawaka kote Iran.
 
Asubuhi ya leo ama Alfajiri ya leo Iran imefanya shambulio la drones,cruise na ballistic missiles kuelekea kambi moja wapo ya anga ya Israel.
Ila hayo mashambulizi yanasemekana kuleta minor damage yani uharibu wa kawaida kwenye kambi hiyo ya jeshi la anga la Negev.

Tusubiri Israel atajibu kwa lipi,Maana Israel akirushiwa hata jiwe hulipiza kisasi kwa mara dufu.
Mathalan aliposhambuliwa na Hizbollah alilipa kwa kuua makamanda wakubwa wa Hizbollah Beirut.
Screenshot_2024-04-14-08-12-23-63_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-04-14-08-12-38-13_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Najua sana.Lakini kwa vile mnavyotuaminisha kuhusu manguvu ya Israel na wenyewe walisema hivyo,tulidhani muda huu moto umeshawaka kote Iran.
Marekani wamesihi Israel isijaribu kulipa kisasi kwasababu wakifanya hivyo mzozo utakuwa mkubwa mashariki ya kati.. natamani hii vita iishe maana kama kutatokea malipizi dhidi ya Iran huku Africa ndiyo waathirika wa kilakitu kwenye vita hii
 
Back
Top Bottom