Iran yajitetea na kukana haikuhusika, ila uchunguzi unafanywa, wakae mkao wa kula soon

Iran yajitetea na kukana haikuhusika, ila uchunguzi unafanywa, wakae mkao wa kula soon

Uingereza naye kaungana na Marekani KupelekaMeli ya kivita,yenye ndege za kivita na Makomandoo wa kutosha huko mashariki ya Kati.Kwanini Sasa Ayotollars wasianze kugwaya?[emoji848]
....
Dunia imechangamka sana.
Ila ni amsho usingizini kwamba nchi hazina silaha zakutosha
 
Hamas ni kikundi Cha ukombozi kama Maumau wa Kenya dhidi ya mkoloni so sishangai vichwa vilivyo lishwa propaganda shule za kayumba kuona mkoloni anaonewa.
Huru wao ni lazima na Ardhi ni Yao,
By All means Necessary.

Ardhi sio yao wala sio ya wayahudi wote wavamizi tu.
 
Na wakisha gundua watafanya nn?

Hamas tu ipo inawahangaisha siku ya 7 hii hakuna cha maana zaidi ya kurusha mabomu hovyo kwenye makazi ya watu badala wawafuate hamas wao wanashambulia majengo hiyo ni Inshala ya udhaifu na woga.

Usijitoe akili hamas ndio walianza kushambulia na kuua raia hovyo,tambua hamas ni kikundi cha kigaidi hawana hata sare za kijeshi wanajichanganya na raia,hivyo kinachofanyika sasa ni kuteketeza gaza yote raia wema wamepewa muda waondoke gaza.
 
Niliona yule Ayotollah mkuu akiongea kwa wasiwasi,ikigundulika kahusika bila shaka Israeli wataanza na kulishambulia Kasri lake huko Tehran 🤔
Kila aliyehusika lazima ataonja joto ya jiwe!! Jana viwanja vya ndege viwili vya Syria vilishambuliwa!! Na leo UK, wanapeleka meli la kivita na ndege huko!!!
 
Babkubwa la magaidi ya dini limekana halikuhusika kwenye ugaidi wa juzi wa HAMAS ambao umepelekea Israel kujibu kwa nguvu nyingi hadi dunia imechanganyikiwa, wengi tunasema sasa basi, tosha, hadi hapo Israel inapaswa kupunguza kipigo zaidi maana maafa ya Wapalestina kuna namna yanasababisha moyo unanisuta, kuna mapicha ukiyaangalia yanatia huruma kishenzi.

=========

In a statement to Amwaj.media, Iran’s Mission to the United Nations also strongly dismissed the notion of Quds Force involvement in decision making on the Hamas offensive.

“The decisions made by the Palestinian resistance are fiercely autonomous and unwaveringly aligned with the legitimate interests of the Palestinian people,” the Mission said, “We emphatically stand in unflinching support of Palestine; however, we are not involved in Palestine's response, as it is taken solely by Palestine itself.” It continued, “They [Israel] are attempting to justify their failure and attribute it to Iran's intelligence power and operational planning.”
Hawana uwezo wa kuigusa Iran.kwanza Iran wanasilaha za kisasa kuliko wao.alafu wanajitegezea wakati Israel anamtegemea USA.
 
Zamu hii, akithubutu tu kuingilia mchakato unaoendelea Gaza, lazima tu yamkute!! Juzi Biden amempa ONYO.
Ben akiwatakia kila la heri wateule wenzake kwenda kuwasafisha Hamas.
 
Kama Tanzania iliipiga Uganda baada ya Uganda kufanya mauaji ndani ya Tanzania why Israel isiikung'ute Gaza na magaidi ya Hamas?
Hamas walifikiri vita ni lelemama hawakuhesabu kuwa kwa vyovyote vile matokeo ya mauaji yao yatajibiwa vikal mno na Israel na hasara kubwa isiyo na mfano wataipata, kenge huwa hasikii mpaka akung'utwe huku damu zikimtoka masikioni na kwingine na still hatosikia [emoji1787][emoji23][emoji1787].
Ijumaa leo wapambania mabikira 70 na mito ya pombe watasoma visomo, albadil, dua, dunia nzima but as usual iron dome ya damu ya Yesu itapangua vyote.
Mkuu shetani siku zote damu ikimwagika ndio raha kwake,walijua kabisa wana watoto,wanawake,wazee...ila kiu ya damu ndio kipaumbele kwao.
 
Ye
Kama Tanzania iliipiga Uganda baada ya Uganda kufanya mauaji ndani ya Tanzania why Israel isiikung'ute Gaza na magaidi ya Hamas?
Hamas walifikiri vita ni lelemama hawakuhesabu kuwa kwa vyovyote vile matokeo ya mauaji yao yatajibiwa vikal mno na Israel na hasara kubwa isiyo na mfano wataipata, kenge huwa hasikii mpaka akung'utwe huku damu zikimtoka masikioni na kwingine na still hatosikia 🤣😂🤣.
Ijumaa leo wapambania mabikira 70 na mito ya pombe watasoma visomo, albadil, dua, dunia nzima but as usual iron dome ya damu ya Yesu itapangua vyote.
Yesu kaingiaje hapo?!
 
Bab kubwa wa magaidi ya dini ni mataifa ya magharibi hususan US. Ukizitazama siasa za dunia kupitia propaganda za Magharibi utakua unadili na vitu visivyo sahihi
 
Iran nae maneno tu vitendo hamna
Si amfute Israel kwenye ramani ya Dunia
Kama anavosemaga tokea enzi na enzi?

Anasubiri nini sasa? Huu ndo wakati wake.
Usikute anamuogopa!

Adolf Hitler ndo aliwanyoosha
 
Back
Top Bottom