Iran yajitetea na kukana haikuhusika, ila uchunguzi unafanywa, wakae mkao wa kula soon

Dunia imechangamka sana.
Ila ni amsho usingizini kwamba nchi hazina silaha zakutosha
 
Hamas ni kikundi Cha ukombozi kama Maumau wa Kenya dhidi ya mkoloni so sishangai vichwa vilivyo lishwa propaganda shule za kayumba kuona mkoloni anaonewa.
Huru wao ni lazima na Ardhi ni Yao,
By All means Necessary.

Ardhi sio yao wala sio ya wayahudi wote wavamizi tu.
 
Na wakisha gundua watafanya nn?

Hamas tu ipo inawahangaisha siku ya 7 hii hakuna cha maana zaidi ya kurusha mabomu hovyo kwenye makazi ya watu badala wawafuate hamas wao wanashambulia majengo hiyo ni Inshala ya udhaifu na woga.

Usijitoe akili hamas ndio walianza kushambulia na kuua raia hovyo,tambua hamas ni kikundi cha kigaidi hawana hata sare za kijeshi wanajichanganya na raia,hivyo kinachofanyika sasa ni kuteketeza gaza yote raia wema wamepewa muda waondoke gaza.
 
Niliona yule Ayotollah mkuu akiongea kwa wasiwasi,ikigundulika kahusika bila shaka Israeli wataanza na kulishambulia Kasri lake huko Tehran πŸ€”
Kila aliyehusika lazima ataonja joto ya jiwe!! Jana viwanja vya ndege viwili vya Syria vilishambuliwa!! Na leo UK, wanapeleka meli la kivita na ndege huko!!!
 
Hawana uwezo wa kuigusa Iran.kwanza Iran wanasilaha za kisasa kuliko wao.alafu wanajitegezea wakati Israel anamtegemea USA.
 
Zamu hii, akithubutu tu kuingilia mchakato unaoendelea Gaza, lazima tu yamkute!! Juzi Biden amempa ONYO.
Ben akiwatakia kila la heri wateule wenzake kwenda kuwasafisha Hamas.
Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu shetani siku zote damu ikimwagika ndio raha kwake,walijua kabisa wana watoto,wanawake,wazee...ila kiu ya damu ndio kipaumbele kwao.
 
Ye
Yesu kaingiaje hapo?!
 
Bab kubwa wa magaidi ya dini ni mataifa ya magharibi hususan US. Ukizitazama siasa za dunia kupitia propaganda za Magharibi utakua unadili na vitu visivyo sahihi
 
Iran nae maneno tu vitendo hamna
Si amfute Israel kwenye ramani ya Dunia
Kama anavosemaga tokea enzi na enzi?

Anasubiri nini sasa? Huu ndo wakati wake.
Usikute anamuogopa!

Adolf Hitler ndo aliwanyoosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…