Iran yakanusha kupeleka drones zake Urusi, hivi wanaogopa nini?

Iran yakanusha kupeleka drones zake Urusi, hivi wanaogopa nini?

Unachokifanya sio Ukristo, eti kisa Vietnam walifanyiwa ukatili kwa hivyo unahalalisha mauaji na ukatili wanaofanyiwa watu wa Ukraine, ndio maana nilisema utakuwa umezungukwa na wavaa makobaz washakuteka akili maana wao huwa majitu fulani ambayo hushabikia kila aina ya mauaji.
Badili pempas ulivyovaa umeanza kuchuruzika nnya muabudu masanamu wewe na mfuasi [emoji304][emoji304][emoji304]
 
Wewe unayeabudu lile lizee la miaka 50 muddy lililokua linabaka katoto huoni aibu.
Kama wewe unavyomuita yule mpenzi wa jinsia moja yesu ni mungu wayahudi makamgongea misumari kwenye mbao
 
Eti unasema nini wewe muabudu lizee muddy lililokua linabaka katoto.
Una muita mpenzi wa jinsia moja mungu tena alikuwa anapigwa mande na watu 12 mnadai eti wanafunzi wake na wayahudi makamgongea misumari kwenye mbao toka lini Mungu gay na anagongewa misumari
 
Kwani wakristo tunajiita na sisi ni waisrael.
Soma samueli 1 sura 15 kuanzia mstari watatu.
Mungu anawaagiza waue kila kitu wanawake na watoto pia.
Nataka hizi kelele uzipige pia kwa syria, palestina mimi ninachopinga ni double standard kwamba wengine kelele zinakuwa kubwa kuliko wengine. Palestinas, syrians na wengine wamekuwa wakiuawa miaka mingi lakini ni kama vile hakuna kinachotokea
Hilo lijamaa la kunyaland ni kilaza
 
Umeanza utabiri wako wa Baba Vanga (sijui kama umewahi kumsikia) ukiambiwa leta source:VoA unategemea nini kutoka source ya his Master's voice kama sio wanaongeza chumvi na kusema/zungumza adithi za kubuni/tunga ili kufurahisha baraza - tumekwisha wazoea hawatupi shida.

Hivi inaingia akilini kwamba Irani inaogopa mtu au Taifa lolote hapa Duniani - kwa kuwa wewe by default ni mbishi sana na unapenda sana kulazimisha mambo.

Hapa nataka nikukumbushe wewe na members wengine wa JF kuhusu umahili wa kiufundi (sayansi na teknolojia) linapo kuja suala la taifa la Kiajemi/Iran ili kudhilisha kwamba Iran haiogopi Taifa lolote - msiwe mnatuletea adithi za vijiweni - la kwanza: Je, unakumbuka mwaka 2011 jinsi Iran ilivyo ishusha kiufundi American Stealth Spy Drone type: RQ-170 Sentinel - US hawakuamini kilicho wapata, mwanzo walisema Wairan ni wazushi, mwishowe USA ilikubali baada ya Wairan kuonyesha picha live - je,Amerika ilichukuwa hatua gani mbona ilikaa kimya na kuiomba Iran iwarudishie Drone yao.

Hilo la kwanza, la pili linahusu Drone tena ya Kimerikani type: RQ-4A Global Hawk, mwaka 2019 Iranian integrated system of air defense ilitungua drone hiyo ya Kimerikani - mbona US ilikaa kimya bila ya kuichukulia Iran hatua yoyote - eti Iran inaogopa!!!

La tatu ambalo ni baya zaidi: miaka kama mitatu iliyo pita Iran ilivurumisha missiles 12 kwenda kushambulia kambi mbili za jeshi la Merikani nchini Iraq, missiles zote zilipiga designated target bila ya kuwa intercepted hata roketi moja licha ya Merikani kujidai kwamba kambi zao za kijeshi ni impregnable ie zinalindwa na ground breaking air defense system, lakini bado missiles za Iran zlifaikiwa kuharibu critical infrastructures pamoja na kujeruhi wanajeshi wengi walio kuwa wamejichimbia kwenye concret reinforced bunkers lakini walihumia na kukimbizwa kwenye Hospitali za Kuwait, Ujerumani na huko Merikani.

Dunia ilitegemea kwamba USA itaishushia Uran mabom kutoka B-52, B-2 nk lakini wapi wapo kimya mpaka sasa - halafu wanakuja waswahili hapa na kudai eti Iran inaogopa, Iran haiwezi kutishiwa Nyau na mifano hipo.

Sasa swali ni:je,missiles za Iran zilijipenyeza vipi kwenye kambi ambazo zinalindwa na teknolojia ya kufa mtu - hii inaleta picha gani kuhusu majigambo ya jamaa hawa,ambao wana kawaida ya kubeza beza teknolojia za Warusi - wakiongozwa na propaganda za MSM, wako very obsessed na everything Russian mpaka unashangaa!!

Tukija kwenye suala la Iran kukanusha kwamba ndio wanawauzia/patia jeshi la Urusi drone za Kamikaze - mbona kidiplomasia hilo ni jambo la kawaida lakini wenye akili wanajua muhusika mkuu ni yupi, hata kulipuliwa kwa bomba za gesi za Nord1 na Nord2 muhusika mkuu anajulikana lakini kwenye Public anakanusha - nyie mnaona ajabu gani Iran kukanusha mkadai eti Iran inaogopa - imuogope nani???
Bila kusahau kama sijakosea around 2012 iran ili jam navigation system za melivita ya marekani na kusababisha kukamatwa kwa meli hiyo na jeshi la iran
 
Back
Top Bottom