Usiwai siti ya mbele tume ilisema pia mtambo ulivushwa toka russia.Sasa umepinga nini? Hizo siraha zilitekwa na waasi walipovamia maghala ya silaha uko Donbass sasa Russia anahusika vipi. Yani unataka kusema Russia alifyatua makombora kutungua ile ndege, au unadhani crew ilikuwa imekunywa mbege kama walivofanya U.S mwaka 1988.
Walibomoa ukuta tu pale teh! teh! Ni hasara iliyoje, kutumia makombora ya mabilioni kubomoa ukuta wa laki mbili!! Huku kombola lingine likienda kuua wairan 145 Kwa kweli Iran kaanza mwaka vibaya.
1. General na wenzake chali.
2. Raia 56 chali kwa kukanyagana msibani.
3. Wairan 145 chali kwenye ndege.
4. Makombora ya gharama kuambulia kubomoa ukuta wa laki mbili.
5. Kombora lililogharamikiwa kwa kodi ya wairan kutumika kuua walipa kodi wenyewe.
Ukiangalia hii hasara yote ya Iran imesababishwa na drone ya US iliyokuwa operated na mwanamke. Mwanamke wa kimarekani kaleta kilio kikuu kwa taifa la Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe kwa maoni yako waliidungua kwa makusudi au?Makosa Ya Kibinadamu? Kwani nani alisema hayo mabomu yanalindwa na Ngamia.Kwanza watu wengi waliokuwemo umo ni karibu wote Wairan,Ata wale Wakanada wanaowasema ni Wairani Wakimbizi wanaoishi Kanada
Kweli wewe ni juha,Wanajeshi wa Ujerumani,Spain,UK na Canada wapo Iraq kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa Jeshi la Iraq na si vinginevyo.Uko temeke ndani huko na to tochi yako una eti unawaza kuwa kwanza uwezo wa Iran ni mdogo, wakati NATO walitoroka Iraq bila kutaka Acheni mahaba mnapocomment View attachment 1319509
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasubiri majibu yake.Kwa hiyo wewe kwa maoni yako waliidungua kwa makusudi au?
Yaani kama hujui kitu wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi. Yaani kwa akili ya chini kabisa majasusi ya Marekani 170 wapande ndege moja?huenda kwenye ile ndege Iran iligundua kuna majasusi "high profilewa Isrsel, Marekani na nchi hasimu waliokuwa wakisepa na taarifa nyeti kuhusu Iran ikaamua kuwatungua
Thinking aloud!
mara nyingi nasikia hii story. je huyo jasusi alifariki au alipona?Hiki kitu kinafanana na kile kilichopelekea MV bukoba ikazamishwa.... Mle ndani alikuepo zaidi ya mtu katika ulimwengu wa ujasusi na ugaidi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Usisahau hii ilishushwa na vijana wa iran waliokua wanafanya internship pale Tehran.Walibomoa ukuta tu pale teh! teh! Ni hasara iliyoje, kutumia makombora ya mabilioni kubomoa ukuta wa laki mbili!! Huku kombola lingine likienda kuua wairan 145 Kwa kweli Iran kaanza mwaka vibaya.
1. General na wenzake chali.
2. Raia 56 chali kwa kukanyagana msibani.
3. Wairan 145 chali kwenye ndege.
4. Makombora ya gharama kuambulia kubomoa ukuta wa laki mbili.
5. Kombora lililogharamikiwa kwa kodi ya wairan kutumika kuua walipa kodi wenyewe.
Ukiangalia hii hasara yote ya Iran imesababishwa na drone ya US iliyokuwa operated na mwanamke. Mwanamke wa kimarekani kaleta kilio kikuu kwa taifa la Iran.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni kaule ya Kutabe kutoka kwa MbabeCompare this statement to George H.W. Bush, after the US shot down Iran Air 655:
"I won't apologize for the United States, I don't care what the facts are."
Sent using Jamii Forums mobile app
No comment!Na mimi ninalo la kwangu hypersonic Missile nimelitengeneza mwenyewe nitali test hivi karibuniππππππ€£π€£π€£
Naona unashoboka wewe. CNN nayo channel ya kuangalia, yani unataka taarifa isiyokuwa biased unachagua mainstream media. Na aliyekwambia waasi wa Ukraine ni vilaza kama wewe ni nani. Wale ni watu wana elimu zao tatizo la magugu maji kama nyie mkisikia watu wanaitwa waasi mnajua ni kama wale wakaa misitu ya Congo. Na huu ni mwisho wa kujibizana na wewe, jaza akili kwanza afu uje.Usiwai siti ya mbele tume ilisema pia mtambo ulivushwa toka russia.
Mtambo haiwezekani waasi wakauteka w toka ukraine halafu wakajua kuutumia siku hiyo hiyo,unadhani mtambo ule pikipiki ya boxer.
Waliofyatua ni wa russia wenyewe wakiwa donbass.
Kama lugha haipandi usiangalie CNN angalia TBC1 na Star TV
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan ww mkenya nadhani ukipitia coment zako ulizo kuwa unatoa kabla ya Iran kuiharibu kambi ya marekani unajiona boya kweli.Kweli wewe ni juha,Wanajeshi wa Ujerumani,Spain,UK na Canada wapo Iraq kwa ajili ya kutoa mafunzo kwa Jeshi la Iraq na si vinginevyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha dogo mitambo ile inachukua miaka kuijua ndio maana Syria mpaka leo wako sbule kutumia S300 ya Urusi unadhani hawataki kumtungua Israel. Iran nao wanazo wako shule.Naona unashoboka wewe. CNN nayo channel ya kuangalia, yani unataka taarifa isiyokuwa biased unachagua mainstream media. Na aliyekwambia waasi wa Ukraine ni vilaza kama wewe ni nani. Wale ni watu wana elimu zao tatizo la magugu maji kama nyie mkisikia watu wanaitwa waasi mnajua ni kama wale wakaa misitu ya Congo. Na huu ni mwisho wa kujibizana na wewe, jaza akili kwanza afu uje.
Kuharibu ukuta wa laki mbili kwa kombora la Mamilioni ni akili au ujuha?Yaan ww mkenya nadhani ukipitia coment zako ulizo kuwa unatoa kabla ya Iran kuiharibu kambi ya marekani unajiona boya kweli.
Hivi ulidhani vita ni lele mama eti,kikundi cha alishababu ambacho hata watu wake hawafiki 7000 kipo kinawatoa makamasi alafu uje kuidharau Iran.
Kwa hiyo wewe unataka tumuamini marekani ambaye meli yake yenye sailors 900 ilizamishwa halafu akasema hamna kifo chochote kilichotokea halafu wiki 2 baadae yakatokea yale ya hiroshima na nagasaki.
Sent using Jamii Forums mobile app