FRANC THE GREAT
JF-Expert Member
- May 27, 2016
- 5,500
- 8,060
- Thread starter
-
- #41
Kiukweli, ushahidi ulikuwa mwingi mno usio na kificho na wala hakukuwa na haja ya kuutafuta sana kwa kufanya uchunguzi wa muda mrefu.Baada ya kuwekewa ushahidi wa video ulio wazi kabisa wameshindwa kuendelea kubisha, wamekiri ilikuwa bahati mbaya, nimesikitishwa sana na tukio hilo
Hivi mbona mnakuwa wapumbavu mmeshaambiwa ni makosa ya kibinadamu, vipi na marekani ilipo idungua ndege ya abilia na kuuwa raia miambili na uchafu ilikuwa ni mihemuko?
Kwa hiyo kwa sababu ya hili tukio basi waache kutengeneza mfumo ya ulinzi kwa ajili ya kuilinda nchi yao? Kwa akili hizi CCM itatawala milele.Mwishoe kakubali!!
Tukiwaambia waachane na mabomu wanaona tunawabania!!
Siku hizi Kuna mabomu yanafuata ndege popote inapokuwa, e.g heat seaking missilesDynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
290-176=.............huyu ndio kidume ukimpiga kofi anakupiga zachembe kama 8 hivi Iran sio fala
Hata Ukraine ilishawahi kuilipua ndege ya Russia na kuua raia 78.Mjinga kweli wewe yaani unataka kuhalalisha upuuzi walioufanya kwa kutumia suala hili, maana naona Kila sehemu unajibu kwa kutumia upuuzi huu.
Wamepunguza gharama za kulipa fidia ingawa bado ni kubwa sanaKiukweli, ushahidi ulikuwa mwingi mno usio na kificho na wala hakukuwa na haja ya kuutafuta sana kwa kufanya uchunguzi wa muda mrefu.
Akikujibu niambie unajua humu watu wanajuaga iran ndio mwenye makosa watu watu wake hawana thamani.ila wazungu ndio wako sawa kuua kutesa kuharibu nk.shuba miti us na washirika wake wanalipwa walchopandavipi kuhusu 290
Kwa hiyo wameamua kukubali kujibu kama Trump alivyokuwa ana wateteaHatimae Iran imekubali kwamba ilitungua Ndege ya Ukraine kimakosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wataiga kama walivofanya Usa.Wamepunguza gharama za kulipa fidia ingawa bado ni kubwa sana
Maneno meeeeengiUwezo wa Iran mdogo sana kuliko hata inavyodhaniwa.
Kwanza walishindwa kumlinda General wao, huu ni udhaifu wa hali ya juu, hata Makonda analindwa bongo let alone Mabeyo.
Sasa wamekiri wenyewe kutungua ndege kwa kukosa utaalamu wa kutosha eti bahati mbaya baada ya kujaribu kuficha ila imeshindikana. Ni kwasababu hizi USA haitaki Iran iwe na nuclear sababu wanajua uwezo wao bado mdogo sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm siko hapa kuitetea Iran ninacho taka kusema makosa ya kibinadamu huwa hayaepikiki.Hahahaha, Leo unahangaika Sana kuwatetea hao wapuuzi wenzio. Kila sehemu unacoment wewe
Iran imetangaza kuwa jeshi lake "bila kukusudia" liliitungua ndege ya Ukraine, iliyoanguka na kuua watu wote waliokuwemo ndani yake.
Taarifa hiyo mnamo Jumamosi asubuhi inalaumu "kosa la kibinadamu" lililofanyika katika tukio hilo.
Habari zaidi zitafuata.
====
Iran admits it 'unintentionally' shot down Ukrainian plane
Kama nilivyofikiria.My thoughts were Logic.
Government statement blames 'human error' for the incident that left 176 people killed many of them Iranian citizens.
Iran has announced that its military "unintentionally" shot down a Ukrainian jetliner, killing all 176 on board.
The statement Saturday morning blames "human error" for the incident.
The jetliner, a Boeing 737 operated by Ukrainian International Airlines, went down on the outskirts of Tehran during takeoff just hours after Iran launched a barrage of missiles at US forces.
Iran had denied for several days that a missile downed the aircraft. But then the US and Canada, citing intelligence, said they believe Iran shot down the aircraft.
The plane, en route to the Ukrainian capital of Kyiv, was carrying 167 passengers and nine crew members from several countries, including 82 Iranians, 57 Canadians and 11 Ukrainians, according to officials.
More details to follow.
Source: Al Jazeera