Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Jeshi la Iran limekuwa likikanusha kutungua ndege ya Ukraine toka ilipoangushwa na kuua watu 176, Sasa wanatakiwa kulipa fidia, inasikitisha sana
Hili jeshi dhaifu ndio lilitaka kupigana na US kweli?
Mwanzo walikana katakata, USA na Canada intelligency wakasema wana ushaidi wa picha za satelite kwamba kombora la Iran lilitungua ndege, leo kipo wap
Ndio maana US hataki hawa wamiliki nuclear maana wataangamiza dunia kwa mihemko yao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ndio mambo ya kupanda vita visivyoeleweka
 
Hawa ni wauaji tangu kuumbwa kwa Dunia, bila kuwepo mbabe dhidi yao Dunia ingeshihidia unyama kila sehemu.

Sent using Jamii Forums mobile app
acha ushamba ushawahi ona nchi ya mashariki ya kati inaleta vurugu bili kumuanza hao mnaowaita superpower ndio chanzo cha matatizo hapa duniani.alafu tambua kila jamii inatamaduni zake
 
Ile ndege ilibadili route bila taarifa,wakati huo Iran anapiga base ya USA,kwa hiyo kwanza Iran alikuwa na tension ya anga lake kuingiliwa na USA.Ifahamike kwenye rada unaona object tu kujua civil plane mpaka mawasiliano inawezekana Iran hawakutaka kupoteza muda kuuliza kwanza...
 
Na usisahau jana 'TAIFA KUBWA US' limeua raia 60 wasio na hatia.
MAREKANI NI TAIFA KUBWA, ALISEMA JUZI KUWA IRAN IS RESPONSIBLE FOR "DOWNFALL" OF BOEING, ONLY SCORNIFUL RESPONSE WERE PRESENTED FROM TEHERAN LOVING ......
Screenshot_2020-01-11-08-29-27-1.jpeg


dodge
 
Bora wao wamekiri kuliko lingekuwa lile taifa la wanafiki, wanaoshindwa kusemaga ukweli eti taifa lao lisipate aibu!

Kwakuwa Ukraine waliruhusiwa na wenyewe Iran kuwepo katika uchunguzi naimani wataipokea hyo taarifa kuliko wangekataa alafu wenyewe wakaja kujua baadae kungekuwa na mzozo wa kidiplomasia.

Roho za marehemu zipumzike kwa aman.
Wamekiri baada ya kuwekewa ushahidi wa wazi usio na Shaka yoyote Ile lakini mwanzoni walikanusha
 
Ndio shida ya elimu za kusoma physics kwa kutumia vitini vya Nyambari Nyangwine.
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao

dodge
 
Hili jeshi dhaifu ndio lilitaka kupigana na US kweli?
Mwanzo walikana katakata, USA na Canada intelligency wakasema wana ushaidi wa picha za satelite kwamba kombora la Iran lilitungua ndege, leo kipo wap
Ndio maana US hataki hawa wamiliki nuclear maana wataangamiza dunia kwa mihemko yao
Sent using Jamii Forums mobile app
US =Wauaji wa raia wasio na hatia.
Screenshot_2020-01-11-08-29-27-1.jpeg


dodge
 
USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
Hapa somo ni Iran kujipiga wenyewe na wa Iran kuweka box la data kwapani na kukanusha vikali na kutukana USA.

Na leo wamekubali wao ndio wamesababisha ajali na kuua.

Kumbuka ni walitakiwa wasitishe ndege za abiria za kawaida zisiruke lakini wao wakarusha makombora nchi nyingine huku wakijua ndege za abiria zinaruka kama kawaida wala hawakuzisitisha.

Sasa anzia hapo ujinga wa USA mada tofauti kabisa mkuu, punguza. hasira

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..makombora ya Iran hayakuua askari hata mmoja wa marekani.

..badala yake makombora hayo yameua watu wasiokuwa na uhusiano wowote na Marekani ikiwemo raia wa Iran yenyewe.

..huu ni UZEMBE uliopitiliza. Wahusika wanapaswa kuchukuliwa hatua kali kwa uzembe wao. Kwanini waliruhusu ndege kuruka wakati jeshi lilikuwa likifyatua makombora ya masafa marefu?
 
Ile ndege ilibadili route bila taarifa,wakati huo Iran anapiga base ya USA,kwa hiyo kwanza Iran alikuwa na tension ya anga lake kuingiliwa na USA.Ifahamike kwenye rada unaona object tu kujua civil plane mpaka mawasiliano inawezekana Iran hawakutaka kupoteza muda kuuliza kwanza...
Sasa mbona hiyo Ndege ilikuwa imetokea Tehran

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom