Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao

Ni rahisi sana kutungua ndege ya abilia kama unavifaa ata vya zaman
Ata sisi watanzania tulitungua ndege za Uganda za kutosha tu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yap ilitokea Tehran kwenda Ukrain na ndege ilipewa direction ya kupita ila inasemekana rubani alibadiri uelekeo na alikuwa anarudi alikotoka mfano ndege inatoka Dsm inaeleke mbeya ghafla inageuzia morogoro kurudi Dsm ,na haikutunguliwa na makombora yaliyoelekwezwa Iraq ni makombora ya ulinzi wa anga.
Hahahaha duh kweli mnajua kujilisha mavi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iran imetangaza kuwa jeshi lake "bila kukusudia" liliitungua ndege ya Ukraine, iliyoanguka na kuua watu wote waliokuwemo ndani yake huku wengi wao wakiwa ni raia wa nchini Iran.

Taarifa hiyo mnamo Jumamosi asubuhi inalaumu "kosa la kibinadamu" lililofanyika katika tukio hilo.

Ndege ya Ukraine ilianguka muda mchache tu baada ya kuondoka kutoka katika uwanja wa ndege wa mjini Tehran.

Iran ilikuwa ikipingana vikali kwa siku kadhaa na madai ya kutunguliwa kwa ndege hiyo na moja ya makombora yake ambapo Marekani na Canada kupitia vyanzo vyao vya kijasusi zilidai kuwa wanaamini Iran iliitungua ndege hiyo.

Taarifa zaidi zitafuata.

====

Iran admits it 'unintentionally' shot down Ukrainian plane

Government statement blames 'human error' for the incident that left 176 people killed many of them Iranian citizens.

Iran has announced that its military "unintentionally" shot down a Ukrainian jetliner, killing all 176 on board.

The statement Saturday morning blames "human error" for the incident.

The jetliner, a Boeing 737 operated by Ukrainian International Airlines, went down on the outskirts of Tehran during takeoff just hours after Iran launched a barrage of missiles at US forces.

Iran had denied for several days that a missile downed the aircraft. But then the US and Canada, citing intelligence, said they believe Iran shot down the aircraft.

The plane, en route to the Ukrainian capital of Kyiv, was carrying 167 passengers and nine crew members from several countries, including 82 Iranians, 57 Canadians and 11 Ukrainians, according to officials.

More details to follow.

Source: Al Jazeera


waajemi walipokataa tu kukabidhi kale kaboksi mchezo uliishia palepale, vizungu havidanganyi kwenye suala la teknolojia wapo vizuri kiukweli
 
Teh teh eti walikuwa Makomando,so walikuwa wanaenda Iraq kuvamia kambi za U.S?wala sikushangai kuna mwenzako Elungata baada ya missile za Iran kurushwa kwenda Iraq alikuja hapa na kudai eti Iran katungua ndege Moja ya Kivita ya Marekani F-35 iliyokuwa inaenda Iran kushambulia kumbe Iran kajitia kidole yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Me nakuletea theories tu mkuu.
Theory ya pili inasema inawezekana ndege ilibeba sensitive information kwa usiri/usalama wa yanayoendelea Iran/Iraq. Hasahasa kwenye ile timing ya missile walizorusha.. Iran had no choice but to bring it down.
 
Walijaribu kuficha ushahidi imeshindikana, jana Ukraine walilalamika Iran anaondoa mabaki ya ndege kabla wachunguzi wake hawajafika eneo la tukio
MKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh teh teh uchunguzi wa Kazi gani hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uchunguzi ni lazima ufanyike thou hautakuwa sawa na kama wasingekiri. Uchunguzi wa mwanzo ulikuwa unapanua scope ya kinachochunguzwa kwa sasa umekuwa narrowed kwasababu chanzo kimeshajulikana. Hivyo uchunguzi ni je kweli imetunguliwa kwa bahati mbaya au kulikuwa na makusudi?
 
Uko sahihi kabisa mkuu US kwasasa anaelekea kukosa ushawishi tena ulimwenguni hususan nchi za magharibi ambao ndo washirika wake wakuu
USA ni kubwa jinga la dunia, siku zote linahangaikia kulinda ukubwa wake "by hooks or crooks"--- limeshikwa na taharuki na kuweweseka baada ya China kuja juu kiuchumi linaona ukubwa wake sasa unaelekea "finito".
 
MKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.

..wakati wa vita makosa hutokea.

..Tz tulitungua ndege yetu wenyewe wakati wa vita vya Kagera.

..pia tulifanya makosa ya kurubuni ndege ya mizigo ya Wabelgiji itue Mwanza badala ya Entebe tukidhani tulikuwa tumerubuni ndege ya kijeshi ya mizigo ya Walibya.

..makosa hutokea.
 
Yap ilitokea Tehran kwenda Ukrain na ndege ilipewa direction ya kupita ila inasemekana rubani alibadiri uelekeo na alikuwa anarudi alikotoka mfano ndege inatoka Dsm inaeleke mbeya ghafla inageuzia morogoro kurudi Dsm ,na haikutunguliwa na makombora yaliyoelekwezwa Iraq ni makombora ya ulinzi wa anga.
Mkuu unaisimulia ndege utafikili ni gari lile, rubani anaamua tu sasa hivi naua route napitia kwa mtogole, 🤣🤣🤣
 
Hivi kwanini watu wanajidanganya eti USA anatafuta visingizio vya kuingia vitani na Iran wakati miaka yote Hana muda wakutafuta sababu wala visingizio akitaka kuvamia popote anavamia bila hata idhini/kibali cha UN.Ukweli ni kwamba anaihofia sana Iran anajua sio mtu wa mchezo mchezo wala hatanii akienda kichwa kichwa atatolewa kamasi.
Sasa ni wakati muafaka wakuunganisha dots,game limakaribia kumalizika,
 
Kwahiyo hapo lengo la Iran ni kuuwa raia wake ambao ndo wengi waliokufa kwenye ajali hiyo.
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
 
President Trump has changed the world! 10 years ago they could celebrate on the streets that we have killed kafiri! To distance themselves from this barbarism...it seems we are getting somewhere!!
 
Me nakuletea theories tu mkuu.
Theory ya pili inasema inawezekana ndege ilibeba sensitive information kwa usiri/usalama wa yanayoendelea Iran/Iraq. Hasahasa kwenye ile timing ya missile walizorusha.. Iran had no choice but to bring it down.

HAHAHAHA
WE JAMAA KIBOKO!!
 
Wairan wa kwa Mtogole leo wanahaha mno kutetea hili,aibu kubwa sana hii, unaua raia wako 82,na wale 63 wa Canada wenye asili ya Iran,maana yake kaua karibu raia wake wote
Ha ha 83+63 iran Yaani hata wakati wa vita vya Idi Amin kuna wakati Tanesco walikuwa wanazima umeme usiku kwa ajili ya operation za kijeshi pale Morogoro, Big Up sana TPDF Wapiganaji wakati ule sikuwaelewa nili laani sana.

Mihemuko na kujichanganya wanakuta manati wanageuza nyuma mbele, mbele nyuma halafu wanaanza kushangaa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom