Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran inadai kuwa, waliitambua hiyo ndege kama ndege ya adui.

Kwa maana hiyo ni kuwa, waliiona hiyo ndege katika radar zao na kisha waliitungua ingawa wanadai ni "kimakosa".
Aaah atleast hii ni feasible explanation... Sio ile wanaosema yale mabom yaliyotumwa Iraq moja lilikosea likaipiga ndege...
Hii explanation though imekaa kisiasa zaidi kwani itakuwaje ndege inaondoka airport yenu na bado inawasiliana na air control wa nchi yenu halafu ikahesabiwa kama ndege ya adui??
 
Nyuzi za Iran/Iraq/Marekani unaweza ukakesha ukizisoma hadi raha, naona Bongo team Iran bado wamekomaa ilhali Iran mwenyewe kakiri kosa.
 
Tambua hiyo mitambo inaongozwa na binadamu kwa hiyo suala la kukosea ni jambo la kawaida.
Hata marekani mnao msifu kuwa na ujuzi wa hali ya juu alisha itungua ndege ya abilia kimakosa sijui na yeye tusemeje.
US alitungua kwakukusudia nandio maana baada ya lile tukio jamaa waloripua walipandishwa vyeo na US awali waligoma kuomba radhi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani hujamwelewa jamaa, mantiki yake ni kwamba ni vigumu kusema umeitungua kimakosa, manake lazima kuna calc uzifanye ili utungue ndege.
Wewe sijui upo dunia ipi??---

Warusi walitungua kwa maksudi ndege ya Ukraine iliyokuwa maelfu ya Feet.

Kuna makombora special kwa kazi ya kutumgulia ndege tu-- they are so eccurate that they deviate a foot in long distances---- ask the Russians.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mbona Iran iliwaua maelfu ya waandamanaji wa nchi yake mwenyewe...nini kinashindikana??ndege ina ina abiria 200 akiwemo Osama wewe kama US unafanyaje?? Its called collateral damage
Kwahiyo hapo lengo la Iran ni kuuwa raia wake ambao ndo wengi waliokufa kwenye ajali hiyo.
 
Akikujibu niambie unajua humu watu wanajuaga iran ndio mwenye makosa watu watu wake hawana thamani.ila wazungu ndio wako sawa kuua kutesa kuharibu nk.shuba miti us na washirika wake wanalipwa walchopanda
Huwez kuhalalisha kosa kwa kufanya kosa acha upumbavu, jitafakar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
That's true brother
Uwezo wa Iran mdogo sana kuliko hata inavyodhaniwa.

Kwanza walishindwa kumlinda General wao, huu ni udhaifu wa hali ya juu, hata Makonda analindwa bongo let alone Mabeyo.

Sasa wamekiri wenyewe kutungua ndege kwa kukosa utaalamu wa kutosha eti bahati mbaya baada ya kujaribu kuficha ila imeshindikana. Ni kwasababu hizi USA haitaki Iran iwe na nuclear sababu wanajua uwezo wao bado mdogo sana.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaah atleast hii ni feasible explanation... Sio ile wanaosema yale mabom yaliyotumwa Iraq moja lilikosea likaipiga ndege...
Hii explanation though imekaa kisiasa zaidi kwani itakuwaje ndege inaondoka airport yenu na bado inawasiliana na air control wa nchi yenu halafu ikahesabiwa kama ndege ya adui??
Kama ni "kimakosa", basi hapo kuna uwezekano mkubwa wa kuwa na tatizo ama udhaifu wa kimfumo katika mtambo uliotumika kufyatua hilo kombora.

Mitambo ya ulinzi wa anga hasa ya kisasa inakuwa na mfumo maalumu wa rada ujulikanao kama IFF (Identification, Friend or Foe) ili kuweza kuzitambua ndege rafiki dhidi ya shabaha za adui.

Sasa kama waliitambua hii ndege kuwa ya adui alafu kisha wakasema ni "kimakosa" basi moja kwa moja ni udhaifu wa kimfumo maana kuna baadhi ya mitambo ya ulinzi wa anga inatumika mpaka sasa lakini ina udhaifu huo katika mifumo yake ya utambuzi na hiyo ni hatari.
 
Sasa uchunguzi wa Kazi gani wakati anajua ndege katungua yeye mwenyewe?

Sent using Jamii Forums mobile app
Haa we mkenya naona unatumia kivuri kutungulia ndege kujifariji baada ya baba yako Trump kuufyata.
Hebu pitia coment zako ulizo kuwa unatoa kabla ya Iran kuiharibu kambi ya marekani uone jinsi ulivyo boya.
 
Back
Top Bottom