Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Hili jeshi dhaifu ndio lilitaka kupigana na US kweli?
Mwanzo walikana katakata, USA na Canada intelligency wakasema wana ushaidi wa picha za satelite kwamba kombora la Iran lilitungua ndege, leo kipo wap
Ndio maana US hataki hawa wamiliki nuclear maana wataangamiza dunia kwa mihemko yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata US walipo Tunguliwa Ile Drone Yao Walikana Kata Kata Lakini Baada Ya Ushahidi wakakubali


Kwani Lini IRAN Walisema Wanataka Kumiliki Nyuklia


Hawana Nyuklia Mnateseka Wakiwanazo C Mtakufa Kabla Hawajazitumia


Poleni Mnooo Kwamateso Muyapatayo [emoji23][emoji23][emoji12][emoji14][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo Marekani naye uwezo wake ni mdogo?Maana alishaitungua ndege ya Iran akauwa abiria wote 290.

Ndiyo ulikua mdogo, makosa ya 1980 hayawezi kutokea leo US wala bongo yanatokea kwenye nchi za hovyo kama Iran.

Pili, Iran imetengua ndege ya Ukraine iliyokuwa na abiria wengi wa Iran wenyewe bila hata mmarekani mmoja, how reckless and dumb can one be kujilipua mwenyewe!
 
Bora wao wamekiri kuliko lingekuwa lile taifa la wanafiki, wanaoshindwa kusemaga ukweli eti taifa lao lisipate aibu!

Kwakuwa Ukraine waliruhusiwa na wenyewe Iran kuwepo katika uchunguzi naimani wataipokea hyo taarifa kuliko wangekataa alafu wenyewe wakaja kujua baadae kungekuwa na mzozo wa kidiplomasia.

Roho za marehemu zipumzike kwa aman.
Si alikuwa ameshupaza shingo kukataa, US alisema toka mwanzo Iran kadungua ndege tena kimakosa Iran wakakataa, lakin sasa Iran inaongea lugha ileile ya US.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata US walipo Tunguliwa Ile Drone Yao Walikana Kata Kata Lakini Baada Ya Ushahidi wakakubali


Kwani Lini IRAN Walisema Wanataka Kumiliki Nyuklia


Hawana Nyuklia Mnateseka Wakiwanazo C Mtakufa Kabla Hawajazitumia


Poleni Mnooo Kwamateso Muyapatayo [emoji23][emoji23][emoji12][emoji14][emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app

Unafananisha drone na maisha ya watu?

Hawa wajinga wanajilupua wenyewe kwa ujinga wao, hawa ni kuendelea kuwawekea vikwazo tu bado hawajitambui.
 
Wewe ndiye umeelewa hili picha. Na ndio maana wenyewe walijua mapema kama "ndege yao" imetunguliwa; likely walikuwa wakiifuatilia. Na kitendo cha kuwahi kukiri pia ni strategy nzuri kwa Iran kwasababu inapunguza "scope" ya uchunguzi ambao ungefanyika ambapo US na washirika wake wangetumia "uchunguzi" huo kuchunguza na vingine visivyohusika.
Kwan Unahisi IRAN Wapuuzi Sana Mpaka Wachunguzwe Mpaka Visivyohusika Waambata Wa IAEA Kila Mara Wanaenda Hapo Wanateseka 2


URAN(IRAN)Sio Wapuuzi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MKWEPA KODI Iran haijakiri kutokana na mashinikizo lakini imekiri baada taratibu za kiniplomasia baina ya mataifa mawili kati yake na Ukraine! Iran ilishatoa tamko kuwa wenyewe Ukraine watakuwepo wakati wa uchunguzi wa tukio ila haitakuwa tayari hyo black box kuipeleka USA au kuwakabidhi Boeing.
Wamekubali sikiliza vizuri BBC, CNN, sky news, na aljazeera
 
us na washirika wake wakifanya uharifu mashariki ya kati au popote duniani mnaona ni sawa wacha itumike sheria ya jino kwa jino tu.

Sheria gani mkononi imetumika zaidi ya upumbavu wa kuua raia wake wenyewe. Ndege ilijaa wairan bila hata raia mmoja wa marekani na ni ndge ya Ukraine, hapo kalipiza nini.

Hawa wairan hata bongo tumewazidi, our radars can do better kama zao haziwezi kutofautisha missile na commercial jet. Tunaweza kumlinda Makonda let alone Mabeyo kam wao walishindwa hata kumlinda General wao.
 
Mm siko hapa kuitetea Iran ninacho taka kusema makosa ya kibinadamu huwa hayaepikiki.
Jana marekani katoka kuuwa watu zaidi 60 nchini Afghanistan baada ya ndege zake kuyalenga kimakosa makazi ya raia wakati wakiwalenga wana mgambo.
Na marekani kaisha uwa maerufu ya watu kama si malaki kwa sitaili hiyo kwa hiyo tunapo jadili jambo mihemuko ya kipumbavu tuwe tuna weka pembeni na kuangalia uhalisia.
Unachofanya, ni eti kisa john aliua basi Edward kuua ni sawa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa umeyumba.
Ni kazi sana kumtetea Iran kwa hili blander kwa kufananisha na la Marekani. Kosa la US halihalalishi kosa kwa Iran.
Halafu unaposema 290 -176 na kumuona Iran sio fala unakosea.
Vita AKILI sio siraha peke yake.
Au hujui Iran kaua zaidi (82)raia wake😄😄😄😄 , kwa hili mimi naona Iran ni fala, ana siraha nzito ila akili kisoda.
Juzi kati pia amerusha kombora 15 zisizo na impact
Yaani Iran aachane kabisa na vita agaist US.
Unasema mashambulizi haya kuwa na impact ?
Hivi unajua ni mabilioni mangapi ya dora yaliyo tumika kuijenga kambi hiyo iliyo haribiwa?
 
Acheni kupost vitu kishabiki, mtu kashaongezewa vikwazo, we unasema negotiations without preconditions

Sent using Jamii Forums mobile app
US Kama Anataka Kumuweza IRAN Vikwazo Sio Njia Sahihi Vikwazo Kwa IRAN Vishakua Meaningless Atafte Njia Mbadala

Kila Siku Anaweka Mavikwazo Yakipuuzi Unahisi Hvyo Vikwazo Vina Natija Gani Toka Alipo Anza Kuviweka Mpaka Sasa


US=PAPER TIGER.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa we mkenya naona unatumia kivuri kutungulia ndege kujifariji baada ya baba yako Trump kuufyata.
Hebu pitia coment zako ulizo kuwa unatoa kabla ya Iran kuiharibu kambi ya marekani uone jinsi ulivyo boya.
Teh tehe teh eti kuharibu kambi,wangapi walikufa na majeruhi pia ni wangapi bila kusahau tuletee hapa hasara ya Mali na vitu iliyotokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BREAKING: Rais wa Ukraine ameitaka Iran kuomba radhi hadharani kwa kuiangusha ndege ya Ukraine, kuanzisha uchunguzi ili kuwafichua wahalifu, kurudisha miili na kisha kulipa fidia kwa familia za waathiriwa. Taarifa hii ni kwa mujibu wa ofisi ya Rais wa Ukraine.

The President of Ukraine demands that Iran should publicly apologise for downing the Ukranian aircraft, open an investigation to bring the culprits to justice, return the bodies and pay compensation to families of victims.
 
Back
Top Bottom