Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Iran yakiri kuitungua "kimakosa" ndege ya Ukraine

Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao
Sisi Tanzania tunaweza kutungua ndege ya wapi? Usije ukanijibu ya ufipa tu
 
Hata marekani alishatugua ndege ya abiria ya Iran flight 655 mwaka 1988 walikufa watu wote 290 waliokiwepo kwenye ndege
Dynamics ya mpaka uje utungue ndege ni ngumu sana...kumbuka ndege inamove,inaincrease altitude and also horizontal coverage... Yani kuitungua ndege hata kwa makusudi sio rahisi inahitaji kaufundi....sasa kama makusudically ni ngumu sembuse kwa bahati???
Yani ni sawa na mtu abahatishe kutengeneza application ya simu bila kukusudia..haiwezekani
Hiyo sio mistake,nchi zinatungua ndege zikiwa na lengo lao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello.

Kwenye Twitter yake ya Rais wa Iran ndugu Rouhan kakiri kuwa waliidungua kimakosa ndege ya abiria ya Ukraine hivyo kupelekea vifo vya abiria 176.

Kaomba radhi na kuahidi uchunguzi unafanyika na atatoa adhabu stahiki kwa wote wanao husika.

Sina cha ziada

Screenshot_20200111-074819.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hitimisho ni kuwa:

Yale yote yaliyokuwa yakizungumzwa na vyanzo mbalimbali hususani vya magharibi kuhusiana na hili kwa namna moja ama nyingine yalikuwa SAHIHI.

Pia pitia hapa;
 
Back
Top Bottom