Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumpiga Ali Khamenei ni kazi ndogo sana. IDF wanamuonyesha demo tu ya uwezo wao kwa kuwaua viongozi wa juu wa HAMAS na Hezbollah.Katika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
Kuutetea uhai ni jambo la msingi mnoUmeishi duniani mpaka ndevu nyeupe zimekutoka, lakini bado una uoga wa kiboya!
Hana lolote, ameshamponza Naaah wa watu sasa hivi anaishia kupost ujinga ujinga tu twitter akiwa kwenye mahandaki tofauti tofauti.Kuutetea uhai ni jambo la msingi mno
Source ni wewe mwenyewe uliyepo kwenye position ya juu ya uongozi wa Iran?Katika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
Msako ni mkali sana, Netanyahau anatisha 🤣Anakimbia nini huyu kiongozi Mkuu
Na walivyo Israel usishangae kuwa wanajua kila anakohamishiwa na muda ukifika watafanya yaoHana lolote, ameshamponza Naaah wa watu sasa hivi anaishia kupost ujinga ujinga tu twitter akiwa kwenye mahandaki tofauti tofauti.
Source ni Iran wenyeweSource ni wewe mwenyewe uliyepo kwenye position ya juu ya uongozi wa Iran?
Sasa kwani huwa kuna mtu anachukiwa na wote?Yesu aliuawa na viongozi wa dini ya kiyahudi ila wapo baadhi ya wayahudi waliomkubali....
Wamekanusha.Source ni Iran wenyewe