Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nae pia ni gaidi? Neta anasaka magaidi tu, sasa yeye kajishtukiaKatika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
Tulia dawa iwaingie. Muda wa kulea magaidi umekwisha?!Yahudi alikula njama ya kumuua Yesu sasa unadhani akiamua kumuua Ayatollah anashindwa?
Yahudi dhalimu alishaitwa uzao wa Nyoka na watoto wa baba yao Ibilisi ambaye ni muongo na muuaji toka kale
Hii ndo Agenda kipaumbele iliyopo mezani kwa sasa. Ni suala la muda wa utekelezaji tu. Huko walikompeleka mzee wa watu eti ni sirini; wanajidanganya sana. Walichofanya ni kumuandoa kwenye eneo lenye watu raia wasio na hatia ili kitu kizito kishushwe hapo chap'. Tusubiri kidogo kwa uvumilivu na tutasikia paap' mzee wameondoka naye akiwa tayari ameshatawadhwa na tiketi yake mkononi kuwahi mabikra 72 huko.Na ili Israel iwe salama lazima wammalize huyo Hayatolah ndie mfadhili mkubwa sana anae support vikundi vingi vya kigaidi na kuleta machafuko uko mashariki ya kati
Ni mlezi wa magaidi dunianiKwani nae pia ni gaidi? Neta anasaka magaidi tu, sasa yeye kajishtukia
Huduma ya kifo😇Wameshaambiwa popote walipo huduma ya kifo itawafikia..... Au hawajaelewa
Babu Neta anapiga hatari na amedhamiria kulipiza kizazi yaani iran haamini anacho kionaKatika hali isiyo ya kawaida, Iran imeamua kumhamisha Ali Khamenei kutokea makazi yake ya siku zote kwenda sehemu ya siri.
Iran inahofia Israel inaweza muua kiongozi wao muda wowote ule.
Waarabu kazi mnayo, Babu Neta kavurugwa
Correction anaua magaidiNyeta sio babu wanamuita bibi. Anaua watu hovyo hovyo!
Haha sawaCorrection anaua magaidi