Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Ni kweli at times kuwa vita vinategemea kuhadaa, lakini vitu vingine ni obvious. Maspy unakuta yamepandikizwa karibia kila mahali na wakiwa na taarifa za msingi karibia za kila kitu. Mawazo yake kwa ile "traditional way of fighting " ilikuwa sawa ila kwa sasa mengi yamebadilika.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta kitabu cha The Art of War usome mkuu. Ukiniambia yaliyoandikwa na Sun Tzu ni "traditional way of fighting" wakati kitabu hujasoma na recently miaka ya 70s US alipigwa na Vietnam kwa mbinu zilizoainishwa na Sun Tzu mwaka 500 BC utakuwa unafurahisha umati na hujafanya tafiti yoyote au hujawahi hata kumsikia Sun Tzu. Soma ndio ubishane kwa hoja sio mihemko.
 
Tell you what.. jellyfish are creature without brain and they've managed toq exists for over billions of years.

That's good news to dumb like me.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah man, that's the reason no sane man has ever asked a jellyfish for an opinion. I didn't know you are a jellyfish, it's so shameless of me to argue with an innocent brainless creature, poor jellyfish, i am so sorry.
 
Unajidanganya wairan sio waarabu, si wayahudi wala caucasus..
Hawa wameelezwa kama persians kwenye biblia, na mafursi katika biblia hiyohyo( swahili version).
Unaposema hivi ni kama vile kusema hata waturuki ni waarabu.. Far from true..
Rudi vitabuni, mitandaoni soma

Sent using Jamii Forums mobile app
Waajemi ambalo ndilo kabila lenye idadi kubwa ya Wairani chimbuko lao ni pande za India huko miaka mingi kurudi nyuma.

Wali-migrate yaani walihama kutoka huko mpaka kufikia mahali walipo hivi sasa. Tukio hilo katika historia linajulikana kama Aryan Migration.
 
Yeah man, that's the reason no sane man has ever asked a jellyfish for an opinion. I didn't know you are a jellyfish, it's so shameless of me to argue with an innocent brainless creature, poor jellyfish, i am so sorry.
Worry out! Apology accepted. [emoji3]

Sincerely.

Jellyfish,
Indian ocean,
In the ocean.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Iran's Stealth fighter-jets Qaher f-313
 
Unapambana na USA uku unatumia Twitter, Facebook, Google, iPhone, window, Visa, Master card, Symbian, Instagram, Android, Wikipedia, internet na wakati izo zote ni silaha kwa USA anaweza akaanza kutrace account zote kukutafuta
Huyu Javad zarifu namuonea huruma na iyo Twitter wazungu wanamuinjoi tuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hujui unaweza tengeneza kitu halafu mwingine akikielewa mitego yake yote,soma habari waliifanya jana kwenye website ya govt ya marekanj
 
Mbwembwe za kijinga tu! Waingie front tuonw kama wataambulia hata sare. Wajifunze kwa Sadam, Gadaffi nk. Wasidhani USA ilifanya hivyo bila ku-calcurate possible impacts

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaweza kuwa ndo mwisho wa ukubwa wao,kumbuka kulikuwa kuna falme zenye nguvu sana lakini uzembe kidogo wa watawala wao leo zimefutika
 
ww unaamini nchi kama hzo wanatumia smartphone kupanga mikakati???utakuw chizi
kuna simu encrypted,,untraceable wanatumia viongoz wa mataifa wengi sana

na sio tu simu kuna means kibao za communication
mf jamaa waliolipua bomu france uwanjan walikuwa wanatumia PS3 kucommunicate
Unapambana na USA uku unatumia Twitter, Facebook, Google, iPhone, window, Visa, Master card, Symbian, Instagram, Android, Wikipedia, internet na wakati izo zote ni silaha kwa USA anaweza akaanza kutrace account zote kukutafuta
Huyu Javad zarifu namuonea huruma na iyo Twitter wazungu wanamuinjoi tuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ubaya wa vita ni wale wanaounga mkono
itategemeana na nan atamuunga nan mkono
kuna nafasi kubwa russia,north korea wakamuunga mkono iran

Sent using Jamii Forums mobile app
Russia waondoe ni wanafiki wakubwa tena sio wakuwategemea ukiwa na vita walimdanganya gadafi mwanzoni alivyoanza kupigwa wakakaa kimya Kama hawamuoni vile

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Marekani alipigwa na vikundi vya vibaka kule Afghanstan naweza kusema Iran anaweza kumkalisha vizuri tu japo dunia itaambiwa kuwa US amempiga Iran kwa data na reports za kupikwa kama hizi.


Tunaposa alipigwa, tuwe tunayoa ratio basi
Afghanistan waliua US Soldiers ndio, lakini hao Wa Afghan waliuawa wangapi? Nchi yao ina hali gani ukiilinganisha na USA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta

Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Itakuwa wewe ni mmarekani wa buza
Iroshma na Agasaki ndo nini mkuu=...?
kuwalagaza=...?
Marekani kuiteketeza dunia are you serious mkuu au genye zimekupanda ghafla
NB:Irani sio mwarabu
 
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta

Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuwapa bichwa kubwa wamarekani wewe ameshindwa mzee wa panki sembuse dunia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom