Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Tatizo umetumia makalio kufikiri. Unachofikiria ni kwamba Google wabebe silaha wakapigane vita na China. Ndivyo hivyo unavyowaza? Pole sana. Google inauwezo wa kuitetemesha nchi yoyote ile inayotumia teknolojia yake kiuchumi. China ipo vizuri kwenye masuala ya teknolojia na inazalisha sana vifa vya mawasiliano hasa simu. Na kodi kubwa ya china anaipata kwenye vifaa vya mawasiliano kwahiyo Google wakizuia teknolojia yake isitumike kwenye nyanja ya mawasiliano. China hana jipya tena kwenye vifaa vya mawasiliano na uchumi wake utashuka kwa asilimia 30%.
Usitumie makalio kufikiri. Unamiliki simu ya kichina halafu teknolojia yake ni ya Google.
Usiwe unaropoka kabla ya kujibu kwanza comment. Huwa naandika comment ambazo wenye akili kubwa tu wataweza kunielewa. Huawei alipozuiwa na Google unajua uchumi wa China ulishuka kwa % ngapi? Una akili fupi kama wavaa visuruali vinavyoshia kwenye ugoko.
Usilolijua mpaka kesho kutwa kuna vita ya kiuchumi ambayo hii inapigwa kwa sasa. Usione Marekani amebeba silaha anaingia vitani, hapo hapigani vita vya hasara, anapigana vita vya faida ili kukuza uchumi wake.
Siku nyingine usitumie makalio kufikiri kwasababu utaandika utumbo kama ulioandika kwenye comment yako.
Kampuni ya google imshughulikie China!? Hivi kweli shule ulienda kusomea ujinga wewe eeh


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa lengo lao wala sio utajiri


Jamaa wana deal na waislam Na Uislam 2 sema waislam Ndio Hvyo Cjui Hawajaelewa Ama nn..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16]wewe mbona muongo sana... yaani USA anaweza kuiteketeza dunia.... ? Sasa biashara wanayofanya ili taifa lao liweze kukua kiuchumi watakuwa wanafanya nanani...??... then mataifa mengine makubwa yatakuwa wapi wakati USA anaiteketeza dunia....JF now days imekua kama Fb
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi naipenda iran..kwasababu sifurahishwi na utawala wa saudia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…