permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Mkuu saa nyingine kuna watu wako huku ni viazi mbatata kabisa, ni kuwaacha , hoja za ni zao za kitoto sana, kikubwa ni kuwapotezea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo kati ya aliyepoteza watu milioni 4 na nchi kuharibiwa, na aliyepoteza watu elfu 58, aliyekula kipigo heavy ni aliyepoteza watu elfu 58?
Sent using Jamii Forums mobile app