Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajidanganya wairan sio waarabu, si wayahudi wala caucasus..Iwe waajemi au mabaniani ndio hao hao tu Bibi yao mmoja
Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta
Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiteketeza dunia alafu wenyewe wanaenda wapi ?Marekani baba lao,ikiamua kuiteketeza dunia ni dakika sembuse iran kama kamdudu fulan,ingekuwa Urus au China angalau marekani wangehaha,waulize Iroshma na Agaski kilichowakuta
Israeli tu ina uwezo wa kuwasimamisha waarabu wote Mashariki ya kati na kuwalagaza kwa kila upande,Iran yenyewe inajua kwa marekani vita ya anga na majini hawatawaweza,wana technolojia ambazo hazijawahi kuonekana mahali popote duniani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana mnaambiwa acheni kudandia vitu msiovijua.
Anaefuatia kudedishwa saiz ni ayatollah, dawa ya jeuri ni kuwa jeuri zaidi yakeKatika hali isiyo ya kawaida na isiyotarajiwa Iran imepandisha bendera nyekundu ikiashiria ishara ya vita kuu.
Kikosi cha mapinduzi ya kiislam kimeapa kulipa kisasi na kutoa jibu kali kwa Marekani. Tujiandae kushuhudia moto ukiwaka.
===
IRGC yaahidi hatua kali ya kulipiza kisasi baada ya kuuawa shahidi Soleimani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu limetuma salamu za rambirambi kufuatia kuuawa shahidi Meja Jenerali Qassem Suleimani Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) na mashahidi wengine katika jinai ya Marekani Ijumaa asubuhi mjini Baghdad na kusisitiza kuhusu kulipiza kisasi kufuatia jinai hiyo.
Katika taarifa siku ya Ijumaa, IRGC imelaani hujuma ya angani ya vikosi vamizi na vya kigaidi vya Marekani ambayo imelenga gari lililokuwa limembeba Meja Jenerali Soleimani, wenzake na makamanda wa Harakati ya Al Hashd al Shaabi ya Iraq akiwemo mpigana jihadi mkubwa, Abu Mahdi al Muhandes ambaye alikuwa akitekeleza mpango wa kukabiliana na njama mpya ya Marekani ya kuhuisha ISIS na makundi mengine ya magaidi wakufurishaji sambamba na kuvuruga tena usalama wa Iraq.BTaarifa hiyo imesema waliouawa shahidi wamepata fahari kubwa.
IRGC imesisitiza kuhusu kuendeleza njia ya mashahidi na kuongeza kuwa, Meja Jenerali Suleimani hakuwa tu shakhsia bali alikuwa ni fikra kamili na kuanzia sasa maadui wataweza kushuhudia upeo mkubwa zaidi wa fikra hizo katika maeneo ambayo wameeneza satwa yao kinyume cha sheria duniani.
Taarifa hiyo aidha imesisitiza kuwa Meja Jenerali Suleimani na wengine ambao wamelelewa katika fikra za Utawala wa Faqihi na Mapambano ya Kiislamu, wamefungua ukurasa mpya katika mapambano na muqawama dhidi ya Wazayuni na katika kukabiliana na magaidi pamoja na Wamarekani wavamizi katika eneo.
Meja Jenerali Qassem Solaimani na naibu mkuu wa kikosi cha kujitolea cha wananchi wa Iraq, al Hasdul Shaabi, Abu Mahdi al Muhandes waliuawa shahidi mapema jana Ijumaa katika shambulizi la roketi lililofyatuliwa na helikopta ya Marekani katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Baghdad nchini Iraq.
Wizara ya Ulinzi ya Marekani imetangaza kuwa, Rais Donald Trump wa nchi hiyo ametoa amri ya kuuliwa shahidi Jenerali Qassem Soleimani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahindi, Pakistani pai waarabu??Kurdish si warabu pia ,hizo ni jamii za kiarabu tu,Oman ipo ghuba ya uajemi lakini tunajua ni nchi ya kiarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawaita Persian Jews Hawa wanatoka katika uzao wa mfalme Suleyman wa Babel wana asili ya uyahudi walikuwa na lengo la kumuondoa muisrael tokea enzi za yesu hawa jamaa.Wairan asilimia kubwa,ni zao la Wayahudi
fuatilia historia ya nasaba zao,utagundua hili Chief
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wameweka Bendera nyekundu ni sawa inaweza kuwa ni mashabiki wa Simba.
Anaefuatia kudedishwa saiz ni ayatollah, dawa ya jeuri ni kuwa jeuri zaidi yake
Wanawaita Persian Jews Hawa wanatoka katika uzao wa mfalme Suleyman wa Babel wana asili ya uyahudi walikuwa na lengo la kumuondoa muisrael tokea enzi za yesu hawa jamaa. Sijui kwa sababu walikuwa wanatoka kwa uzao wa mfalme Suleyman Ndio maana wakawa wanamuamini sana meja jenerali Qassem Soleiman
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio inaweza kufanya kazi kwa waarabu wanyonge tu, lakini wafursi ni habari nyingine ndugu. Yetu macho very soon wakicharuka nitaki tag.Hao waarabu wajue kabisa kwa Sasa kila wanachopanga kukitekeleza jicho Kali la tai linawafatilia kwa ukaribu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Washington Chips Kuku pale KiluvyaWe need peace. Kama vita itokee basi ikapiganwe Washington.