Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Iran yapandisha Bendera Nyekundu katika msikiti wa Jamkarān kuashiria vita inakuja

Hebu weka walau wapi nimebishia Washington Times.

Sent using Jamii Forums mobile app
.
Screenshot_2020-01-06-10-08-32-1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu
Yaani umeandika ukweli kwa 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu
Wanajua kutawadha na kujitoa mhanga tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanajeshi 58,000 wa US walikufa.

Mabilioni ya USD yalitumika kwenye hio vita,in return US ilipata nini?

Wa vietcong hawakujali suala la wao kufa na walifanikiwa kutetea taifa Lao.

Mmarekani akakimbia baada ya kuona mziki ni mnene.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajeshi 58,000 kwa watu karibia milioni 4 bado uharibifu wa miundombinu
Hizo bilioni sio kitu kwa Marekani ikilinganishwa na uharibifu walioufanya

USA alishindwa kutimiza lengo lake kweli, lakini alimuumiza Vietnam vibaya mno.
Yaani kitendo tu cha vita kupiganwa kwenye nchi yako tayari wewe ndio mwenye hasara.

Iran ningemuona atamshinda USA endapo ataenda kumpiga kwenye ardhi yake na kuiharibu na kumfanya Marekani aondoke Mashariki ya kati, ila Iran ikivamiwa na kupigwa hata kama USA hatatimiza lengo lake, still Iran ndio mwenye loss
 
Kama sio vita basi Marekani uchumi wake ungekuwa sio wa kukaribiwa na China.Vita ni gharama sana wala hakuna faida yoyote inayopatikana kutokana na vita.

Vita ya Iraq na Afghanistan pekee imewa cost Marekani zaidi ya dola trillion 2.yani ni ela ya bajeti yetu kwa miaka zaidi ya 80.yani hata wachukue mafuta ya Iraq na afghanistan zaidi ya miaka 10 bado ela yao itakuwa haijarudi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa wachache ndio watakuelewa mkuu
Unapambana na USA uku unatumia Twitter, Facebook, Google, iPhone, window, Visa, Master card, Symbian, Instagram, Android, Wikipedia, internet na wakati izo zote ni silaha kwa USA anaweza akaanza kutrace account zote kukutafuta
Huyu Javad zarifu namuonea huruma na iyo Twitter wazungu wanamuinjoi tuuuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah daah nimecheka sana aisee hahah, washukuru busara za nixon au usema wananchi wa US walichoka kupokea majeneza yenye miili ya ndg zao.

Wanajeshi wa Us 58,000 walikufa,150,000 walijeruhiwa mbaya kabisa na kama unavyojua US wanajeshi wake ni mchele mchele.Wananchi wake hawakuzoea kuona ndg zao wakiletwa hawajiwezi.

So communism status yake ilibadilishwa na vita vya Vietnam sio?

Inawezekana hata ukomunist pale North Korea 'umeisha' siku hizi sababu ya 'ushindi' wa US kule Korea,hahah.





Sent using Jamii Forums mobile app

Source!!!??? Kwasababu vyanzo nivijuavyo mimi vinasema total casualities ilikuwa 58,220.
 
Wairan siyo Waarabu.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?

Acheni utumwa
Watu wa mabara mengine wasipojua races za Africa ni fresh
Ila waafrica wasipojua races za wazungu au waarabu ni ujinga

Kite do cha kumuona mtu huyo ni mjinga wa kutupwa inaonesha jins gan ulivyo mjinga


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Usisahau na wanajeshi zaidi ya 150,000 waliourudishwa US wakiwa Vilema.

Lengo la vita ni kushinda full stop,hizo nyingine ni story tu kujipa moyo.

Wavietnam suala la kuumizwa kwao halikua inshu ndio maana walikufa kwa mamilioni na wala hawaoni kama kwao ni big deal.

Coward Marekani alikimbia baada ya kuona mziki mnene huu,hajazoea kusulubishwa namna ile.

Ndio manaa sa hivi nchi kibao zinataka ma nuke kama yale ya Russia ili Marekani aje aonjeshwe utamu wa kupigania ndani ya ardhi yake.

Kwani US akienda kupigana Iran anaenda kwa Lengo gani?

Wanajeshi 58,000 kwa watu karibia milioni 4 bado uharibifu wa miundombinu
Hizo bilioni sio kitu kwa Marekani ikilinganishwa na uharibifu walioufanya

USA alishindwa kutimiza lengo lake kweli, lakini alimuumiza Vietnam vibaya mno.
Yaani kitendo tu cha vita kupiganwa kwenye nchi yako tayari wewe ndio mwenye hasara.

Iran ningemuona atamshinda USA endapo ataenda kumpiga kwenye ardhi yake na kuiharibu na kumfanya Marekani aondoke Mashariki ya kati, ila Iran ikivamiwa na kupigwa hata kama USA hatatimiza lengo lake, still Iran ndio mwenye loss



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kafa mmoja wanataka waongezeke watu watakaokufa kwanini kutangaza vita na watakaoathirika ni wasio na hatia IRAN ijitafakari kama imepandisha bendera nyekundu ni kuzidisha hofu kwa wananchi wake na si ajabu saizi wakimbizi wameshaanza huko
Nilitaraji ulaani kitendo cha Marekani lakini umekuja kuandika upupu, hii ni sawa Marekani atume drone ije kumlipua jiwe akiwa mapumzikoni Burigi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom