mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani umeandika ukweli kwa 100%Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu
Wanajua kutawadha na kujitoa mhanga tu.Acha kuwa mlemavu wa akili, Iran ina uwezo gani juu ya US? Hv hz akili mnakodishiwa au? Eti red flag, hiyo wanajitisha wenyewe, Iran has nothing, huelewi au? Atafutika kama Iraq, Libya, Afghanistan, au Syria ashukuru Mungu Russia nchi ya kikristo imeisaidia.. Maana kama sio Russia nchi ya Kikristo kusaidia Syria leo ingekuwa majivu, tokea lini nchi yoyote ya kiislam ina nguvu ya kivita au technology umeona wapi? Sbb uwezo wao kiakili ni mdogo sana, wanajua kujilipua tu
Ipi aliyoshindwa?Wadau:
Hivi ktk historia ya Marekani (USA), ni vita gani aliyo pigana nje ya nchi yake na akashinda?
Wanajeshi 58,000 kwa watu karibia milioni 4 bado uharibifu wa miundombinuWanajeshi 58,000 wa US walikufa.
Mabilioni ya USD yalitumika kwenye hio vita,in return US ilipata nini?
Wa vietcong hawakujali suala la wao kufa na walifanikiwa kutetea taifa Lao.
Mmarekani akakimbia baada ya kuona mziki ni mnene.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapambana na USA uku unatumia Twitter, Facebook, Google, iPhone, window, Visa, Master card, Symbian, Instagram, Android, Wikipedia, internet na wakati izo zote ni silaha kwa USA anaweza akaanza kutrace account zote kukutafuta
Huyu Javad zarifu namuonea huruma na iyo Twitter wazungu wanamuinjoi tuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah daah nimecheka sana aisee hahah, washukuru busara za nixon au usema wananchi wa US walichoka kupokea majeneza yenye miili ya ndg zao.
Wanajeshi wa Us 58,000 walikufa,150,000 walijeruhiwa mbaya kabisa na kama unavyojua US wanajeshi wake ni mchele mchele.Wananchi wake hawakuzoea kuona ndg zao wakiletwa hawajiwezi.
So communism status yake ilibadilishwa na vita vya Vietnam sio?
Inawezekana hata ukomunist pale North Korea 'umeisha' siku hizi sababu ya 'ushindi' wa US kule Korea,hahah.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wairan siyo Waarabu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Wanajeshi 58,000 kwa watu karibia milioni 4 bado uharibifu wa miundombinu
Hizo bilioni sio kitu kwa Marekani ikilinganishwa na uharibifu walioufanya
USA alishindwa kutimiza lengo lake kweli, lakini alimuumiza Vietnam vibaya mno.
Yaani kitendo tu cha vita kupiganwa kwenye nchi yako tayari wewe ndio mwenye hasara.
Iran ningemuona atamshinda USA endapo ataenda kumpiga kwenye ardhi yake na kuiharibu na kumfanya Marekani aondoke Mashariki ya kati, ila Iran ikivamiwa na kupigwa hata kama USA hatatimiza lengo lake, still Iran ndio mwenye loss
Basi na waisrael ni waarabu maana huwezi watofautisha na ndugu zao wapalestinaUarabu sio race, ni utamaduni. So Iran ni mwarabu kwa kuwa ana tamaduni za Kiarabu.
Tuwekee hapa hizo 4 alizoshindwa please.Mkuu:
Mimi ninazo zifahamu ni zaidi ya nne (4) lkn
ni vyema na wewe ukafanya home work kidogo.
Umesema Westerners wanapika data halafu umeniwekea link ya hao hao westerners nisome , unajielewa kweli wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
We huonagi Rambo na Anord wanavyowaua wavietnam? [emoji23][emoji23][emoji23] American propagandaWadau:
Hivi ktk historia ya Marekani (USA), ni vita gani aliyo pigana nje ya nchi yake na akashinda?
Nilitaraji ulaani kitendo cha Marekani lakini umekuja kuandika upupu, hii ni sawa Marekani atume drone ije kumlipua jiwe akiwa mapumzikoni BurigiKafa mmoja wanataka waongezeke watu watakaokufa kwanini kutangaza vita na watakaoathirika ni wasio na hatia IRAN ijitafakari kama imepandisha bendera nyekundu ni kuzidisha hofu kwa wananchi wake na si ajabu saizi wakimbizi wameshaanza huko