Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Kupitia Tv, live nimeona makombora mengi (zaidi ya 100) ya Iran kwenye anga la Tel Aviv, Israel na karibu yote yakionekana kuzuiwa angani kabla ya kutua, hii inatoa picha hii;
1. Iran ametangaza vita kamili dhidi ya Israel.
2. Iran amefanikiwa kupeleka makombora ya masafa marefu na kupenya moja kwa moja ndani kabisa ya Israel.
3. Mifumo ya Israel ya kutungua makombora angani iko imara.
4. Israel imepata sababu ya moja kwa moja kuishambulia Iran.
The supreme terrorist leader of the Islamic Regime in Iran, Ali Khamenei, will not make it to the end of the week.

Mark my words.

GOD BLESS ISRAEL
 
Hivi ni kweli huoni mzigo unavyoshuka na ku hit target?

Au huangalii live unahadithiwa propaganda za Mazayuni?
Madhara ni yapi hayo makombora yameua wangapi, wakuu wangapi wa jeshi la Israel wameuwawa na hayo makombora?
 
WW3 hii hapa.

Irani ilisema itajibu na imejibu. Irani ni wanaume. Pamoja ma Marekani kupiga mkwara kwmaba Iran igakiona cha mtema kuni lakini jamaa bado wamejibu.

Na sasaa muwakilishi wa Iran UN kasema Israel imejibiwa kwa usahihi.

Dunia sehemu kubwa inategemea uongozi wa Marekani, Marekani sasa haina kiongozi madhubuti maana Biden ana mtindio wa Ubongo hivyo ofisi iko kwenye autopilot inajiendea tu. Hii ni hatari sana.

Tusubiri tuone.
 
Sio kuhit target (maana hakuna anayeweza kuthibitisha moja kwa moja kwa sasa) sema kutua ardhini na kulipuka.
Mimi nimeona zaidi ya mabomu kumi kutua ardhini na kulipuka.
Yah umesema vizuri, yah nilimaanisha kufika ardhini.
 
Siyo umerusha makombora. Ni mvua ya missiles, Isrqel nzima ving'ora👇🏾

View attachment 3112453

Wameanza kutubania mpaka Channel mbao zetu, tusione.

Kila unayoibgia unakuts picha tu, hakuna streaming.

Watabana sana tu.

Iran kishaamua, anasema anataka Mmarekani, na NATO yao waingue wazi wazi siyo kwa kujifichaficha kama wanawari wa Kisaudi.

Hapa kama mbwai na iwe mbwai
 
Back
Top Bottom