The supreme terrorist leader of the Islamic Regime in Iran, Ali Khamenei, will not make it to the end of the week.Kupitia Tv, live nimeona makombora mengi (zaidi ya 100) ya Iran kwenye anga la Tel Aviv, Israel na karibu yote yakionekana kuzuiwa angani kabla ya kutua, hii inatoa picha hii;
1. Iran ametangaza vita kamili dhidi ya Israel.
2. Iran amefanikiwa kupeleka makombora ya masafa marefu na kupenya moja kwa moja ndani kabisa ya Israel.
3. Mifumo ya Israel ya kutungua makombora angani iko imara.
4. Israel imepata sababu ya moja kwa moja kuishambulia Iran.
🇮🇱🇮🇱All the best middle East
Muisrael mweusi anaripoti kutoka SHAMWENNGO😀Sio kuhit target (maana hakuna anayeweza kuthibitisha moja kwa moja kwa sasa) sema kutua ardhini na kulipuka.
Mimi nimeona zaidi ya mabomu kumi kutua ardhini na kulipuka.
Madhara ni yapi hayo makombora yameua wangapi, wakuu wangapi wa jeshi la Israel wameuwawa na hayo makombora?Hivi ni kweli huoni mzigo unavyoshuka na ku hit target?
Au huangalii live unahadithiwa propaganda za Mazayuni?
Aisee. Moto umewaka. Viongozi wa jeshi Israel wamejichimbia kwenye hand handaki wanapima madhara yaliyotokea.
Yah umesema vizuri, yah nilimaanisha kufika ardhini.Sio kuhit target (maana hakuna anayeweza kuthibitisha moja kwa moja kwa sasa) sema kutua ardhini na kulipuka.
Mimi nimeona zaidi ya mabomu kumi kutua ardhini na kulipuka.
Kwa makombora aliyopiga Iran ni tishio hilo!Hii ni habari mbaya lolote linaweza tokea hasa kwa Israel kujibu mashambulizi mabaya zaidi.
Siyo umerusha makombora. Ni mvua ya missiles, Isrqel nzima ving'ora👇🏾
View attachment 3112453
Wameanza kutubania mpaka Channel mbao zetu, tusione.
Kila unayoibgia unakuts picha tu, hakuna streaming.
Watabana sana tu.
Iran kishaamua, anasema anataka Mmarekani, na NATO yao waingue wazi wazi siyo kwa kujifichaficha kama wanawari wa Kisaudi.
Ijapokuwa naandika kama kiushabiki kiukweli nahofia sijui hata dunia wapi inaelekea!Aisee. Moto umewaka. Viongozi wa jeshi Israel wamejichimbia kwenye hand handaki wanapima madhara yaliyotokea.
Hapa waisraeli wanaingia vitan kazi zinashikwa kwa muda na wageni. Kumekucha
Atajibu iwe ndani na nje ya iran we kaa kwa kutuliaKwa makombora aliyopiga Iran ni tishio hilo!
Air defence system za Israel hazijafanya kazi kabisa!
Akijibu kazi anayo kwa kweli.
“Bwana atawapigania ninyi, nanyi mtanyamaza kimya.