Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hapa muajemi kasimama kama mwanaume. Wacha zipigwe kweli kweli sasa ili mbabe ajulikane na dunia iwe sehemu salama sio kila siku ni vitisho tu.
 
Manati za muajemi zimeishia kumuua mpalestina
 
Yaani Israel bila Marekani ni sawa na kwenda kuangalia muvi chumbani kwa Didy

🇺🇸🇮🇱🇮🇷⚡️White House National Security Advisor Jake Sullivan: "There will be serious consequences for Iran as a result of this attack and we will work with Israel to make sure that happens."
 
Una ushahidi kuwa Russia na China wamehusika!?
Sikuhizi China na Russia wanaunda makombora yanaitwa Fateh!??
Doooh
ushahidi upo tele ni wewe tu kujisomea japo najua wewe ni pro Iran lazima ukatae na utakuja na habari zako za waarabu
 
ushahidi upo tele ni wewe tu kujisomea japo najua wewe ni pro Iran lazima ukatae na utakuja na habari zako za waarabu
Yametumika makombora ya Fateh.
Toka lini China na Russia waunde makombora ya Fateh!?
Nimesoma ripoti nyingi BBC,NBC, CNN,CGTN hakuna ushahidi wa Russia na China kuhusika.
 
Wakuu je Israel watajibu mapigo ya Iran?
Nawaza haya mapigo watajibu baada ya mda gani , je watapishana angani kama piga nikupige au watatulia kwanza halafu watajibu kwa kushtukiza!

Sidhani watatulia bila kujibu mapigo ila itachukua mda gani kujibu?
Ile serikali ya Netanyau imejaa wanasiasa wenye mrengo mkali wa kulia lazima watajibu, isitoshe hiki ndicho Netanyau alikuwa antamani kitokee yaani waingie kwenye mgogoro na Iran Ili kuitumbukiza na Marekani.
 
Iran kaamua kuwaokoa Hezbollah na ghadhabu ya YHWH
 
Ashambulie moja kwa moja Iran kama yeye ni mwanaume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…