Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Utashangaa hakuna atakayedhurika na hayo mabomu, ila wenzao akina Yahood wakiachia bunker buster 90 hata Ayatollah mfupa wake hautaonekana milele.
Screenshot_20241001-224903.jpg


#YANGA_BINGWA
#YNWA
 
WW3 hii hapa.

Irani ilisema itajibu na imejibu. Irani ni wanaume. Pamoja ma Marekani kupiga mkwara kwmaba Iran igakiona cha mtema kuni lakini jamaa bado wamejibu.

Na sasaa muwakilishi wa Iran UN kasema Israel imejibiwa kwa usahihi.

Dunia sehemu kubwa inategemea uongozi wa Marekani, Marekani sasa haina kiongozi madhubuti maana Biden ana mtindio wa Ubongo hivyo ofisi iko kwenye autopilot inajiendea tu. Hii ni hatari sana.

Tusubiri tuone.
Unawaza USA inaongozwa na mtu mmoja?. Akiumwa USA yote inaumwa siyo
 
Sir Keir Starmer Waziri Mkuu wa Uingereza amesema Nchi yake inasimama na Israel kuhakikisha inajilinda

Rais wa Marekani mh Joe Biden amesema Nchi yake itahakikisha Israel haidhuriki na Iran kwa namna yoyote ile

BBC news
 
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.

Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.

Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.

Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Huwa wanarusha lakini hayaleti madhara,huu ni ujinga
 
Iran sio Iraq kijana.
Hiyo Iran unayoisemea ndio nchi pekee mashariki ya kati ilopigana vita ya muda mrefu pasi na mapumziko.
Watu watapiga hapo usije na store za watoto na wanawake maana amkawii. Yake yalioyua Israel Leo lazima kuwa watoto watu wazima wamekufa ila utosikia watu wanalalamika kuwa watoto na wanawake wamekufa sababu wanajua vita ni kitu gani na ni matokeo ngani yanayotokea
 
Sijui wanawasi wasi gani kwani Netanyau alishawaambia yupo nao bega kwa bega..

And IDF imesema itaangalia jinsi ya kuwaadhibu viongozi wa Iran waliohusika na mashambulizi yasiyo na madhara.

Life in Israel back to Normal...


View: https://twitter.com/i/status/1841193080822620522

Mpalestina mmoja kafa baada ya kuanguikiwa na masalia ya rockets West Bank... so Iran kaua Anayemtetea
 
Back
Top Bottom