Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Watu watapiga hapo usije na store za watoto na wanawake maana amkawii. Yake yalioyua Israel Leo lazima kuwa watoto watu wazima wamekufa ila utosikia watu wanalalamika kuwa watoto na wanawake wamekufa sababu wanajua vita ni kitu gani na ni matokeo ngani yanayotokea
Narudia kukwambia Iran sio Iraq.
Huwezi ishambulia kiwepsi hivyo.
Pia Iran kiutafiti wa CIA inaonesha kila mkoa kuna tunnel ya ballistic missiles.
Iran sio Iraq.
 
Kuna kitu nashindwa kuelewa, kama silaha zinarushwa tu ndani ya Israel bila kurenga vituo vya kijeshi, kwanini nao Israel isirushe makombora hovyo huko Lebanon, Gaza n.k?
 
Narudia kukwambia Iran sio Iraq.
Huwezi ishambulia kiwepsi hivyo.
Pia Iran kiutafiti wa CIA inaonesha kila mkoa kuna tunnel ya ballistic missiles.
Iran sio Iraq.
Pole kwa utafiti. Hata sadam kabla ya vita Domo lilikua hivyo hivyo Kama kwa Iran Leo.
 
400 bombs, no kill, no luck, no skill. The mullahs of Iran are a sick joke.

Moral of a Lesson: never rely on the so called Muslim ummah, it is full of hedonistic hypocrites.​
Na umelibeba hilo km walivyokulisha?!!!! Katikati ya mji kama pale?!!! Haya si mapenzi' Bali mahaba!!!!🤣🤣🤣🤣🤣

Kuhusu hilo tusi; yametukanwa zaidi ya hayo na wigo ndo kwanza unazidi kupanuka. Pole
 
Katika watu ninao waombea waishi kwenye balaa ni wakenya siwapendi kinoma hao jamaa vurugu zisiishe kwao
 
Mimi siyajui hayo maana najinywea sebuleni kwangu na mke wangu labda wewe tabia yako ndugu zako wanakulalamikia umeona unitupie mimi tabia zako chafu
Ukimaliza hayo matapu tapu tafuta kopo la kuchambia ukanye ulale!
 
Hizi zimehit bro safari hii jordan akufunga airspace yake ngoma zimepita na iron dome zimefeli,kuna airbase na gas platform za israel zimeenda,kikubwa tuombe iran asipige kwenye makazi ya raia
Apige tu maana naye watu watapiga Kama alivyopiga yeye. Hao wayahudi hata upige usikii wakisema wanawake na watoto.
 
Cha kushangaza sana kila wakati Israel ikipigwa wanajidai eti zero casualties.

Israel kama mwanaume kweli apigane na Iran mwenyewe aache kumuita USA na Western countries wamsaidie.. amezoea kuua watoto ngoja leo walale mashimoni pambafu zao
 
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
View attachment 3112518
View attachment 3112519
View attachment 3112520
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.

Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.

Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.

Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Yote makombora ya Iran yamelipuliwa kabla ya kugusa ardhi
 
Back
Top Bottom