joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Siku hizi mpaka vita watu wanastream live, naona hii vita inawapa sababu wanasiasa wetu, maana sasa hivi kila kitu utasikia dola imepanda sababu ya vita Middle East,kishapatikana kichaka kipya cha wanasiasa kujificha.
Propaganda nyingi huyu anasema mengi yamezuiwa na Iron Dome na yaliyopita yamepiga open space,huyu mwengine anasema amefanikiwa kwa asilimia tisini, ila ukitaka kujua ukweli wa vita yoyote subiri baada ya vita kuisha, ndipo ukweli unakuja kufahamika.
Ila US ni bonge la panda lina ng'ata na kupuliza,wakati anauwezo tolea mwanzo wa kuumuliza huu mgogoro, ila huku panapo endea huu mgogoro sizani kama utatulika kidiplomasia.
Ila yote kwa yote hawa jamaa wanasababisha maumivu ya kiuchumi huku dunia ya tatu.
Propaganda nyingi huyu anasema mengi yamezuiwa na Iron Dome na yaliyopita yamepiga open space,huyu mwengine anasema amefanikiwa kwa asilimia tisini, ila ukitaka kujua ukweli wa vita yoyote subiri baada ya vita kuisha, ndipo ukweli unakuja kufahamika.
Ila US ni bonge la panda lina ng'ata na kupuliza,wakati anauwezo tolea mwanzo wa kuumuliza huu mgogoro, ila huku panapo endea huu mgogoro sizani kama utatulika kidiplomasia.
Ila yote kwa yote hawa jamaa wanasababisha maumivu ya kiuchumi huku dunia ya tatu.