Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli we Maamuma huna hata haya hizo manati zimeua wangapi hapo Israel?Hivi nyinyi wenzetu huko kwenye ulokole mnafundishwa ubishi tu hata kwenye uhalisia?
Yaani bila aibu unasema hadharani makombora ya Iran yamedakwa na Iron dome?
Watu wamekuwa wakifuatilia live kwenye runinga wanajionea vyuma vinavyoshuka ardhini na ku hit target vingine kusababisha milipuka mikubwa wewe bado unasubiri kuhadithiwa na mchungaji wako?
Dunia ya leo sio ya propaganda tena kama tulivyotoka gizani na kudanganywa nguvu za mchongo alizokuwa nazo Israel kumbe ni mweupe hadi ategemee mabwana zake wamsaidie.
Amka wewe kumekucha sasahivi hakuna kudanganywa tena ni wakati wa kujionea live kila kitu.
Kwani wewe makambi ya kijeshi walioshambuliwa umeyaonaje?.Ya kwamba unategemea Aljazeera waende kwenye vituo vya kijeshi vya Israel vilivyo shambuliwa warekodi madhara?
sasa makombola yote ndo yaue watu sita, you are stupid just wait and see israel responseHivi nyinyi wenzetu huko kwenye ulokole mnafundishwa ubishi tu hata kwenye uhalisia?
Yaani bila aibu unasema hadharani makombora ya Iran yamedakwa na Iron dome?
Watu wamekuwa wakifuatilia live kwenye runinga wanajionea vyuma vinavyoshuka ardhini na ku hit target vingine kusababisha milipuka mikubwa wewe bado unasubiri kuhadithiwa na mchungaji wako?
Dunia ya leo sio ya propaganda tena kama tulivyotoka gizani na kudanganywa nguvu za mchongo alizokuwa nazo Israel kumbe ni mweupe hadi ategemee mabwana zake wamsaidie.
Amka wewe kumekucha sasahivi hakuna kudanganywa tena ni wakati wa kujionea live kila kitu.
yesi ukiona mwanga mkali ni tayari limeshaenda iloSo is that fragments
Ni kama firecrackers zile wanazofyatua washabiki kwenye viwanja vya soka. Iran na Ayatollah wao aliyezeeka wanaamua kufyatua hivyo viripuzi visivyokuwa na mwelekeo ili kuwaridhisha raia wao na kuondoa aibu kumbe hakuna kiru pale. Vilikuwa 180 tu na almost 98% vyote vimedakwa angani na IDF pamoja na US kwa usaidizi wa Meli za kivita za Marekani 2 zilzokuwa baharini Mediterranian zikingojea na kuwa tayari kuingilia kati. Huyo midevy Ayatollah asubilie response safari hii hakuna kujizuia atapata full response aulizie Makombora ya Tom Hawks yanavyofanya kazi yatakaporushwa kutoka Meli za kivita za Marekani . Yale yako guidedn na yanapinpoint targts zake 99%. Aulizie Ali Bashir yalichofanyia pale Port Sudani yalipovurumishwa toka baharini alipokuwa akituhumiwa kumuhifadhi Osama. We just wait and see. US ni baba yao hapa duniani. No question !Hivyo vi manati Ma ayatollah wanavirusha vinadakwa kama matango
Huyu ni Mungu wa Israeli anaweka Agano na watu wake. Yehova YWHW
JESUS IS LORD&SAVIOR
See how dunderhead you are.So please tell me, the number of Israel's casualties and fatalities, then compare them with those inflicted in Lebanon and Gaza.
One got to be really stupid to disclose to the enemy his intended military targets and objectives prior to the attack, as Iran did today.
An element of surprise is contingent and critical to a success of any military operation. Any reasonable person would understand this, but unfortunately I don't think you're reasonable, owing to the fact that you a straight dude who uses a weird name.
nyie wavaa makabazi sijui mnaakili ganiHistory itakuja kuwekwa wazi uko mbele Iranian ni ndio mabaki ya wale mawayudi asilia ndio awa Iranian ndio ata waislam wanaishi nao kwamashaka mana ayatollah wao siku ya Xmas mjue anasheelekea na ofisi yake inapambwa na miti kama uku kwetu na vile vitaaa taa. Pia wanavisheria vyao ktk dini zinautoutiana na uislam w kisuni ndiomana awaelewani. suni wanawaona awa Shia kama sio waislam ila wanazuga tu ili kuyadhibiti maeneo matakatiifu ambayo wao iran wanayatumia kwafaida y kipesa zsid. Pia mjue seem iliposhia kama Yemen au apo Lebanon awa jamaa wanpokea amri kutoka Iran mojakwamoja mkipigana na izo seem ujue muiran atawasaidia na awatoshindwa weka kumbukumbu. apo gaza kinachowachelesha kumtoa muisrael ukweli ni usuni tu w hamas wangekuwa wale ni Shia wanachukua amri kutoka Iran haaa ile vita ingekuwa tamu na chungu kwa muisrael. sasa amas ni suni zaid mwenye amri zaid kwao ni Qatar sio ayatollah. Kwaiyo Iran chinichini anataka uhongozi apo gaza uwe w kishia kabla kukombolewa iyo ardh kutoka kwa Israel anawaidia hamas kias ili tuu vita viendelee lkn Iran anaajenda yake nyengine kimya kimya ya kusimika uhongozi w kishia apo gaza ili kuodhi serikali ya kikombozi ambayo itatawala ardhi ya Palestine mpya kwaiyo Hamas anapewa msaada lkn sio mkubwa kama wenzao Yemen na hezbollah Je ni faida gani atapata Iran irani anataka maeneo matakatifu yote apo middle est ndiomana kaweka watuwake apo Yemen akiamua kuichukua saud Arabia basi anapitia Yemen pia Iraq anajua atapiga ela miaka na miaka zinakuja tu ukitaka kwenda kuhiji maeneo matakatifu yoyote yawe y kislamu cristian utaenda vizuli tu kama sasa.lkn ayatollah anamgao wake kupitia ww. Unaenda kuhiji tena kwa aman tu.
Huyo anajitutumua tu hakuna kitu pale. Aligana Vita miaka 8 na Iraq ya Sadam Hussein na wala hakuweza kufua dafu, sembuse kwa IDF na baba lao US . Atapata kichapo anachokitafuta na wataanza na hivyo vituo vyake vya kusafisha mafuta hapo pwani na mji mkuu wake wa Tehran. Vitatumwa vidude visivyokosea shabaha tokea angani na baharini na hana ubavu wa kuzuia kam wa IDF na US. Hizo ant-air defece system za kizamani za Urus za S-200 hazitamsaidia kitu.Hatimae baba yao kajitokeza baada ya kuona watoto wanakula kichapo kila mara. Ngoja tuone kama yeye atafua dafu.
Kabisa. !WW III
Here we go!!!
Wote walishalaaniwa na Mtumenyie wavaa makabazi sijui mnaakili gani
Hebu sahihisha hapo kwenye Super powers. Hakuna Super Powers any more hapa duniani kwa sasa, kuna SUPER POWER mmoja tu. Kama unajua maana ya Superpower na sifa za kuwa super power nadhani utaelewa. Alibakia mmoja tu baada ya USSR kubomoka. Nielewe ninachomaanisha kama unajua maana yake.Kabisa. !
Watu wanacharurana wanadhani hii ni kama Simba na Yanga 😳🙄🙏
Hii ngoma wataingia waliokuwemo na wasiokuwamo !
Ukraine vs Russia
Israel vs Iran
The Super Powers are gonna split and take sides !!😱🙌
Hata hivyo ulishafail siku nyingi kwa wananchi wake. Ni kelele za chura. Pona yao ni kwamba Trump hajaingia Ofisini, sasa hivi ma B52 yangekuwa ngani na tayari yameisha wanyea vitu pale Tehran na kwnigineko Irani. Pia Navy destroyers za US tokea baharani zingekuwa zimeisha achia Tom Hawks na kunya moto pwani yote ya Irani na hivyo vimtimbwi vyao vyo mbao vingekuwa vinawaka moto sasa hv. Hata hivyo mzee Biden ameaonyesha atajibu.Self destruction process. Utawala wa Iran unataka kujimaliza.
Acha kujifurahisha na haizo propaganda zako hizo. Sisi tuko onground 24 hours pale kwenye Taifa Teule la Mungu na hakuna tukio kama hilo.Dk30 zilizopita wapalestina wawili wameingia tel aviv,chapa risasi watu 23 dead
Kwa kilichotokea leo sidhani kama kutakuwa na Iran 2026 lazima avamiwe na apigwe kweli kweli, leo hatuna Sadam wala mwarabu anayenyanyua mdomo kwa Israel, ukweli sipendi anayopiga watoto lakini mbabe sana sana sana na ana uwezo wa silaha na idadi ya wanajeshi kama urusi sijui dunia ingekuwajeÉ
Mwenye ICBM nyingi zenye kubeba vichwa vya Nyuklia ni RUSSIA 🇷🇺 na ya pili ni USA 🇺🇸 😳🙄 !Hebu sahihisha hapo kwenye Super powers. Hakuna Super Powers any more hapa duniani kwa sasa, kuna SUPER POWER mmoja tu. Kama unajua maana ya Superpower na sifa za kuwa super power nadhani utaelewa. Alibakia mmoja tu baada ya USSR kubomoka. Nielewe ninachomaanisha kama unajua maana yake.
Hana huo ubavu wala hiyo science . Wao wanachojua ni kufuga ndevu zikarefuka na kuzipaka ina.Tusubiri Israel akirusha yake Iran atayapangua?
Me nipo nazoa mawili matatu mbona kwenye kahawa leo wataniona mtu wa system 😃Wataalamu wa Vita wa Kinondoni Mkwajuni, Kijiwe Samli na Malamba Mawili uwanja ni wenu
Suala siyo idadi ya Vichwa, cha muhimu ni ukubwa( destructive force capacity) na uwezo wa delivery system ya hizo ICBM to the intended targets. USA is far better on both .Mwenye ICBM nyingi zenye kubeba vichwa vya Nyuklia ni RUSSIA 🇷🇺 na ya pili ni USA 🇺🇸 😳🙄 !