Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Achana nae huyo hajitambui.Sijui uko dunia gani. Marekani Hana makombola yenye masafa 2000 km?
Kipindi cha bill Clinton, kombola lilirushwa kutoka USA hadi Libya kwa Ghadaffi. Ulikuwa umbali gani huo.
Biblia sio kitabu cha kidini. Biblia ni Neno la Mungu lililoandikwa na Roho wa Mungu. Na Biblia inawahusu watu wote (pamoja na wewe)
YESU NI BWANA&MWOKOZI
mkuu, kila jambo duniani ni kwa Imani. Na Imani huja kwa kulisikia na KULIELEWA NENO LA MUNGU.Kwa hiyo uko kiimani zaidi ndugu.
Hata hivyo umejiuliza kama Kuna player yeyote kwenye kadhia hii; yaani Natenyahu au mayahudi, Palestina, Iran, Hezbollah, HAMAS, Lebanon, UN, NATO nk anaye kubaliana nawe kwenye maono yako?
Hizi za kwenu na kina matunduizi (watumishi) si tulikubaliana mpeleke kwenye majukwaa yenu ya dini huko?
hoja hupingwa kwa hoja nasema hivi israel alirusha makombora iran na hayakuleta madhara leta ushahidi israel hakurusha makombora iran.Una uhakika au ushabiki umekupofua?
Hiyo ni ripoti yako,kilichoripotiwa ni kifo cha mpalestina mmoja.Kwani si ripoti yenu ndio inayosema hakuna aliyedhurika.?
mabom yamedondoka mengi sana na kuidhuru Israel, though vyombo vya habari vinaficha ukweli huu. pia, hakuna raia wa Israela mekufa, kwasababu nyumba zao zote zina shelters (mahandaki chini) hivyo majengo ndio yameumia. hapo unaona wenzetu wanavyojali raia wao. walipoona rockets tu wakaagiza kwa njia ya mitandao ya simu n.k watu wakimbilie kwenye shelters na hakuna aliyekufa.Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.
Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.
Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.
Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.
Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
Na tumeanza tayari na "Mungu ibariki Israel" uzuri sie wa Malamba mawili vita ikihusisha Israel tu huwa tunatumia hisia kutoa conclusion kuliko factor zingine. Nunua popcorn ufuatilie tunaendea kutiririkaWataalamu wa Vita wa Kinondoni Mkwajuni, Kijiwe Samli na Malamba Mawili uwanja ni wenu
Talking a lot of trivial issues.A correct terminology is Military Objects, not Military Infrastructure. Now, you tell me smart ass, what has Iran achieved with this pre-meditated attack! Deterrence ?
If you think it's deterrence then you got to be really stupid. And I'm sorry to tell you Iran has achieved the opposite. Now she'll be under a deadly scourge of Western Sanctions and more military escalation against her allies Lebanon, West-Bank, Gaza and Iraq.
A good example of Military deterrence against an asymmetrical opponents will be like that of Hiroshima and Nagasaki. America achieved a full spectrum deterrence against the Soviet Union.
The Cuban Missile Crisis Fiasco, the Soviet Union and Cuba achieved full spectrum deterrence against the United States and NATO. The United States were forced to withdraw their Jupiter and Thor missiles out of Turkey.
Finally, what North Koreans do along the belt of East China Sea, against the United States, Japan and South-Korea is full spectrum deterrence. No body, not even a super bully America would to corner the communist regime of North Korean without first thinking carefully about the repercussions.
Iran's deterrence was completely lost when Gen Kassem Solemani was ruthlessly murdered by the Americans and Iran stood by doing nothing. They just downed a drone. What a sick joke.
Kobazi hiyo haiwezi kukuelewa ni nyepesi kuelewa alkasusu na bikira 72.North Korea na Iran wamewahi kukaa pamoja na kukubaliana na kushare nuclear technology pamoja na missile technology.
Tena ilifanyika kipindi ambacho Iran hawajafaniliwa sana kwenye swala la kuwa na missile.
North Korea iliisaidia sana Iran kuwa na uwezo wa kujenga engine zA missile hasa ballistic missile
Inatakiwa itupwe Ile ambayo dunia mzima ipate madhara ili wajue kushabikia vita utamu wake ndiyo huuNinawaza,, tu. Israel akiona anazidiwa, akaamua kutupia nuclear hapo Tehran,, Irani, kama USA alivyotupia Atomic kule Hiroshima Japan 1945 dunia itakuwaje ? Madhara ya hiyo nuclear kimazingira yatasambaa kiwango gani ?
mkuu, kila jambo duniani ni kwa Imani. Na Imani huja kwa kulisikia na KULIELEWA NENO LA MUNGU.
swala la Israeli kupigana vita halijaanza leo. waliingia Kanaani kwa njia ya vita wakitokea utumwani Misri. Israeli wamezungukwa na maadui pande zote tokea enzi hizo za Kale.
hakuna jambo Jipya duniani.
Kawahi bikira 72 Tena uzuri kawaishwa na Iran. Well doneKisayansi hii tunaiita WORK DONE = 0
Makombora zaidi ya 200 ambayo Iran imefyatua kuelekea Israel hakuna Muisrael hata moja aliyeuawa kwasababu kabla hayajafika huwa kuna vingora vinalia watu wanakimbilia kwenye nyumba maalum za kuwakinga.
Mtu pekee alieuawa ni Mpalestina moja kwa jina la "Sameh Al Asali," kaangukiwa na kombora akiwa anatembea mitaa ya Palestina
View attachment 3112669
Ni zamu ya Israel kujibu kwa ile staili yao ya kunyakua roho za viongozi haijalishi wawe angani kwenye helikopta, vhumbani, mahandakini, n.k .
Tutegemee kelele za vilio vya Free Iran na Cease Fire ??
Na Ile iliyomuua mtembea na miguu barabarani ni military pale? Acheni ushabiki maandazi. Wayahudi wengi hawajafa sababu walikua wamepata tahadhari na kuingia kwenye maandaki.fatilia vizuriKwa ujumla Iran imeonesha professionalism kwenye medan ya vita kwani haijaua raia kama Sheria za zinavyotaka.
Pili amelenga military sites TU na inaonekana zimepigwa vilivyo. Suala La wanajeshi wangapi wamekufa au kujeruhiwa sahau Huwa ni siri.
Kuna mambo yatakuwa wazi mfano ndege zilizoharibiwa, vifaru magari vita, viwanja vya ndege n.k.
Ukiona mtu analipiza kwa kujua raia hajui vita zaidi kuitumia mihemko. Wakihisi kwa kufanya hivyo raia watawageuka viongozi wao na hata kuwapindua.
Hivyo kama ni kuchapana basi Rais wasiuwawe ndio tuone mbabe.
Tumeshuhudia Ukraine Russia akipiga maeneo ya jeshi TU tofauti na Ukraine wanapiga maeneo ya raia na huo ni ugaidi.
Mkuu nafurahishwa Sana na analysis zako za silahaAnalysis yako iko vizuri. South Korea jana wameonyesha heavy ballistic missile yao Hyunmoo-5 yenye tani nane. Lengo la kuunda hiyo missile ni kuharibu nuclear silos na underground facilities za North Korea.
Si lazima kutumia fighter bombers kuharibu nuclear site. Kila site ina entrance inayotokea nje, ikipigwa entrance humo ndani wanatokaje mpaka wafanye ukarabati. Wala Israel haiwezi tumia F-16 ni fighter yenye uzito mdogo hata engine moja, heavy fighter bomber yenye injini mbili inayobeba mzigo mkubwa ni F-15. Labda F-16 isaidie escort.
Kabla hawajashambulia site wanashambulia air defense system hata Syria walifanya hivyo. Ila wanafanya haraka ghafla ghafla AD zinaondolewa muda huohuo shambulizi linakuja. Ni mission ngumu mno ila ndio mission ambayo Israel wanajipanga nayo miaka mingi, wanaunda silaha kwa ajili yake, wananunua kwa ajili hiyo na wanafanya drills juu yake. Sio suala ambalo wameshtukizwa hata intel yake wanayo muda.
Marekani tu ndio wanaweza tumia B-2 stealth bomber na dedicated bunker buster yake GBU-57A/B yenye tani 14.
Kobazi hiyo haiwezi kukuelewa ni nyepesi kuelewa alkasusu na bikira 72.