Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hahahaha porojo jeshi la Tik Tok na mashoga safari hii wanakutana na kiboko yao ukiwa watu wake na yeye anauwa watu wako..
Mashoga wana wapelekea moto kobazi. Waosha mikund#. Kobazi na ushoga si mwili na damu
 
Akuna kidume itashambulia iran awo jamaa ndio Yahudi OG historian itakuja kuwekwa wazi uko mbele awajawai shidwa. Awa mnawashabikia yahudi feke mizungu ya ulaya ndio mana wanapenda sana kufukuana mitalo kama wenzao w ulaya technology nyingi zimeanzia kwao lkn zimeibiwa na kuwekwa ati miliki USA.lkn aya mambo ni yawairani.
Kitabu gani kimesema wayahudi original ni muiran? 🤣🤣
 
Wakiristo wa jf hivi vita kati ya mayahudi na waislam..lkn Wakiristo wa jf naona mnafuraha nyinyi
Sana tu wakristo tumefurahi sio siri October 7 Israel alikuwa hana shida na mtu wanakula bata tu .Hanas,Hezbollah na Iran wakawavamia kuua na kuteka wayahudi wakila pilau wacha wavune walichopanda
.wayahudi wengi sii wakristo na hawataki lakini sisi wakristo tunaheshimiana mno sababu wote watoto wa Ibrahim tofauti zetu za imani hazijawahi kutugawa wakristo na wayahudi tuko kitu kimoja na huyo Mohamed wenu alitukuta tuko kitu kimoja akipokuja na utapeli wake alitukuta tukiamini kuwa nyumba moja mwaweza tofautiana kiimani lakini undugu haufi kutokana na tofauti za kiimani tofauti ba waislamu wao huamini kuwa kukiwa na tofauti za kiimani na undugu unakufa mfano mtu akiacha uislamu au hautaki

Wakristo hatujali kama wayahudi hawautaki ukristo na wao hawajali kama hatutaki dini ya kiyahudi tunaishi tu kwa upendo kama ndugu wa familia moja msiba wao wetu vita yao yetu ndio maana Israel ikivamiwa nchi za Kikristo lazima zisimame naye ni ndugu yetu hatutupani hata kama ukristo hataki
 
Ok huko ni israel vs iran humu ni wakristo wa kwa mtogole na waislamu wa mchambawim ok kazi kwenu nyie mlioshikwa akili na dini za wazungu na waarabu
 
Hahahaha porojo jeshi la Tik Tok na mashoga safari hii wanakutana na kiboko yao ukiwa watu wake na yeye anauwa watu wako..
Iran atakapoanza kupigwa kana ngoma msikimbikie UN.

GOD BLESS ISRAEL
 
Back
Top Bottom