Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran naye ni mwendawazimu kama wao na Israel wanajua hilo!

Yaani viongozi wa Iran ni Netanyahu mara 2 yake na ndiyo maana US anaenda kwa step.
Unataka taja hovyo USA kila swala la Iran. Lakini ukweli ni kwamba Iran hamuwezi USA hata kidogo. Domo tu ndiyo anachoweza USA kubwa Sana kwa iran
 
Huwezi kurusha bunker buster kwenye nchi yenye air defenses, bunker buster ni free falling bomb, inabebwa na bomber kama F35, B52 n.k, Tel Aviv inaweza kujibu kwa missiles za masafa.

Kumbuka Iran walishakamata drone ambayo ni stealth rq 170 sentinel ambayo ilitumika kumtrack Osama Pakistan...

Usitegemee bomber kuingia Iran ...
Tusubirie tuone Israel watakushangaza na mtazamo wako
 
Unategemea kwamba Netanyahu atakuwa hai ?

Unaifahamu nafasi ya Ayatollah Iran ?
Anaondoka Ayatollah misikitini jiandaeni kutungua vilio

Wanawake wa Iran walitaka kumpindua Ayatollah kupinga kuvaa hijabu baada ya.ya msichana mahsa kuuawa na askari wa dini kwa kugoma kuvaa hijabu na kujirusha mitandaoni bila hijabu

Mziki uliofuata wairani walianza kuchoma picha za Ayatollah mitaani na kushambulua askari wa dini wasimamia Sharia law mitaani na kuchoma magari yao nchi nzima ukiongozwa na vijana na wanawake

Ayatollah kwa kuogopa kupinduliwa aliondoa askari wote wa dini mitaani Iran sasa hivi hawako mitaani askari wa dini wasimamia sharia Kuvaa hijabu sasa hivi ni hiari uamuzi wa mtu mtu tu

Sasa kaparamia Israel lazima aondoke sio hiari kijeshi atavurumishwa na ndani upinzani utamvurumisha
 
Huwezi kurusha bunker buster kwenye nchi yenye air defenses, bunker buster ni free falling bomb, inabebwa na bomber kama F35, B52 n.k, Tel Aviv inaweza kujibu kwa missiles za masafa.

Kumbuka Iran walishakamata drone ambayo ni stealth rq 170 sentinel ambayo ilitumika kumtrack Osama Pakistan...

Usitegemee bomber kuingia Iran ...
Licha ya kumuelekeza hivyo unadhani atakuelewa?
 
Anaondoka Ayatollah misikitini jiandaeni kutungua vilio

Wanawake wa Iran wakitaka kumpindua kupinga kuvaa hijabu baada ya.ya msichana mahsa kuuawa na askari wa dini kwa kugoma kuvaa hijabu na kujirusha mitandaoni bila hijabu

Mziki uliofuata wairani walianza kuchoma picha za Ayatollah mitaani na kushambulua askari wa dini wasimamia Sharia law mitaani na kuchoma magari yao nchi nzima ukiongozwa na vijana na wanawake

Ayatollah kwa kuogopa kupinduliwa aliondoa askari wote wa dini mitaani Iran sasa hivi hawako mitaani askari wa dini wasimamia sharia Kuvaa hijabu sasa hivi ni hiari uamuzi wa mtu mtu tu

Sasa kaparamia Israel lazima aondoke sio hiari kijeshi atavurumishwa na ndani upinzani utamvurumisha
Hivi ni ujinga au utoto ?
 
Pole walinazi wape salam shoga nasrallah, shoga haniya, shoga ibrahim rais na yule shoga wenu yahya sinwar
Myahudi hanaga kazi mbovu ukijipendekeza kwake anakuwahisha kwa ibilisi akakupididy
Nasrallah washauwa kule Hezbollah
 
Kisayansi hii tunaiita WORK DONE = 0

Makombora zaidi ya 200 ambayo Iran imefyatua kuelekea Israel hakuna Muisrael hata moja aliyuawa,

Mtu pekee alieuawa ni Mpalestina moja kwa jina la "Sameh Al Asali," baada ya moja ya kombora kulipukia eneo la Palestina

Ni zamu ya Israel kujibu na wao kawaida yao huwa wanalenga zaidi viongozi.

Tutegemee kelele za vilio vya Free Iran na Cease Fire ??

Usishangae kusikia vimerushwa vi drone vya watoto lakini
 
Israel haihitaji msaada wa Marekani kuipiga Iran. Inachangia kama support tu. Ni sawa na rafiki yako tajiri awe na harusi ya binti yake umchangie kwa upendo ila haimaanishi usipochanga harusi inadoda au bila michango harusi haifani.

China haifanyi maamuzi kwa akili za kukurupuka.
Wewe ni Mchina wa Dumila 🤣.
 
Kwa udhaifu wa iron dome sitegemei Israel kufanya chochote labda atengeneze tena mfumo mpya wa Air defence vinginevyo Iran inaweza kuifuta Israel ndani ya masaa 48, maana makombora yote asilimia 90 yamehit Target kwenye Airbase na oil facilities
 
Narudia kukwambia Iran sio Iraq.
Huwezi ishambulia kiwepsi hivyo.
Pia Iran kiutafiti wa CIA inaonesha kila mkoa kuna tunnel ya ballistic missiles.
Iran sio Iraq.
Iran ipi unaongea hii ambayo Israel wameua raisi wao na makamanda kibao wa Iran ndani ya Iran na nje?

Ayatollah anaondoka na kikemba chake safari hii
.safari ndio mwusho wa utawala wa ma Ayatollah Iran na vilemba vyao na madevu yao
 
Hudhani inaweza kuwa ni kwa hisani ya mbeleko ya beberu?
Hata kama,lakn teknolojia ilio tumika ni ya myaud,mbona hata Iran anasaidiwa sana kwahyo Israeli nae akipata saport sio mbaya kikubwa lengo litimie, hakuna gaidi kuachwa
 
Back
Top Bottom