Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia


Blinken ni zayuni , Jske Sullivan zayuni ,Yaani serikali ya Marekani always hawa washenzi wanapenyezwa ili kushape policy za Marekani zifanye kazi kuwa favour walowezi wa taifa feki la Israel .
It's the biggest hijack of the Government in world's history na Ndio hawa hawa ni lobbysit ,na wanafanya kazi kuloobby kwa vyama vyote iwe Republican au Democrats ,wote ni puppets WA hawa Zionists
Ulimwengu ungekuwa Mahaka salama kama hawa washenzi wasingee exist .
Maana kila event kubwa duniani iko shaped na ina involve hawa wapuuzi
 
Ya kwamba wanajeshi wangekaa kambini ili wayasubilie makombora yaje kiwauwa?
Kambini Israel huwa hamna crew? Mpaka sasa najaribu kutafuta madhara makubwa siyaoni ngoja tutarajie picha za satellites kwa hizi siku chache kama hata kesho hivi tuone.
 
Ndio wamiliki wa vyombo vya habari , mabenki na institutions za kifedha , viwanda vya silaha na biashara nyingine kubwa kubwa humo ,ndio wametawala politics , jaribuni kufuatilia ethnic backgrounds za US Government officials na politicians , wengi ni mazayuni
 
Wana mtaji wa kublackmail kila anayepinga plan zao , mtakummbuka hata uvamizi wa Marekani kule iRaq ilikuwa baada ya Netanyahu kwenda kwenye bunge la Marekani na kusema Saadam husein ni threat to global security na ni funder WA Alqaida na ana silaha za maangamizi , vitu ambavyo ilikuwa ni uongo na akina Bush (puppets WA mfumo unaotawaliwa na mazayuni ) walitamka maneno yale yale aliyotamka Netanyahu , as if ile script walipewa na Mazayuni waisome vile vile ,bila kupunguza neno .
 
Msichokijua wengi ni kwamba vita vipo kuwanufaisha Zionist bankers ,Industrialists na businessmen .
Haya majitu ndio maana Henry Ford aliyaita {international Jewry } ,kiufupi hayajali maisha ya yoyote wala chochote isipokuwa faida kwa mabenki yao kwa kulend pesa kwa serikali kwa riba kubwa wakati wa vita ,viwanda vya silaha na mitambo ya kijeshi kwa kuuzia serikali zinazopigana nk
Haya majitu ndio yalifund pande zote za vita wakati ule wa vita ya kwanza ya dunia na vita ya pili ya dunia , fuatilieni mabenki yaliyomkopesha pesa Hitler , yaliyoliyopata contracts za uzalishaji silaha na vitu vingine wakati huo ,ni hizo hizo dynasties za mazayuni
Si binadamu wa kawaida
 
Hapa anayetafutwa ni Iran na wameplan hivyo kwa muda mrefu ,ila sidhani pia kama watapata urahisi kama wanavyodhani ,hii vita haitakuwa nyepesi kiivyo
 
Yamerushwa makombora karibu 200, yamechapa nini kikubwa.
Mpaka Iran ifikie kuharibu Dimona, Tehran unakuwa uliwahi kuwa mji wenye majengo na watu wengi.

Israel hawataki nonsense ukija kwa kasi.
Mkuu hichi kitu ni rahisi sana kukiongea mdomoni tu lakini kiuhalisia vita kati yao itakuwa ngumu na yenye nadhara makubwa sana.
 
See how dunderhead you are.
Iran's aim was striking millitary infrastructures and not otherwise.
Iran intended to strikes on millitary.
A correct terminology is Military Objects, not Military Infrastructure. Now, you tell me smart ass, what has Iran achieved with this pre-meditated attack! Deterrence ?

If you think it's deterrence then you got to be really stupid. And I'm sorry to tell you Iran has achieved the opposite. Now she'll be under a deadly scourge of Western Sanctions and more military escalation against her allies Lebanon, West-Bank, Gaza and Iraq.

A good example of Military deterrence against an asymmetrical opponents will be like that of Hiroshima and Nagasaki. America achieved a full spectrum deterrence against the Soviet Union.

The Cuban Missile Crisis Fiasco, the Soviet Union and Cuba achieved full spectrum deterrence against the United States and NATO. The United States were forced to withdraw their Jupiter and Thor missiles out of Turkey.

Finally, what North Koreans do along the belt of East China Sea, against the United States, Japan and South-Korea is full spectrum deterrence. No body, not even a super bully America would to corner the communist regime of North Korean without first thinking carefully about the repercussions.

Iran's deterrence was completely lost when Gen Kassem Solemani was ruthlessly murdered by the Americans and Iran stood by doing nothing. They just downed a drone. What a sick joke.​
 
Kaka T14 armata nawenzio tunataka mifil8she salamu uko wajombozenu kuwa tunataka pigano ngumi ilinyoooka kama muhajemi alivonyoosha kila mtu kaona kwamacho yake israel anapigwa live sasa waambie Netanyahu alisema akiwa UN anaweza kushambulia popote na Israel aitowai kushindwa tumemsklia ata Iran wanaweza kushambulia,, sasa kapigwa live!! Tunampa pole.lkn pia afunge domo lake au kama kweli anayo jeuri tunataka tuone nayy atoe viuma mojakwamoja vikahit tehran ngumu ilionyooka ikibidi zaid ya ngumi ya Iran mojakwamoja kutoka Israel kombora adi Iran atutaki ugaidi kumvizia ayatollah kalala au kinu chanyuklia kinawaka lkn kimepigwa na drone ambazo jambo dogo kuzimiliki ndani y Iran tunataka ngumu imeenyokaa ata kuwapa nguvu mashabiki wao wachungaji wapate pakuemea mana sasa watawangalia vip waumin wao haaaa kama sasa awa kobaz wanatamba vile ngumi imenyooka tn ilkuwa live adi rahaaa . Atutaki mapichqpicha kitu kinyoooke asante aman awataki basi paganini sio mnatamba ohh sisi technology ndio wababa afu unawaibisha watu uku. Mm mwajuma wangu kakasilika tangu jana niliomuongopea kuwa Israel apigiki sasa nimeambiwa sipewi niniiii adi Israel ajibu!!!! Asituangushe taifa teule tupo nyuma yako!
 
Utosikia USA au Israel wamerusha tukombora uko Iran kwanza mjue USA pamoja na kusifiwa kote atujawai ona akirusha komboro la kwenda km2000+ vita vyake zote anajisogeza adi karibu ndio anakubutua mwamba pekee ni Iran aitaji ndege kukufata aje kukubutua yeye viuma vinakufata ulipo tena anakwambia nakubutua so nyie tim Israel mtasubili kuona irani anajibiwa zaid tutaona vipicha picha seem zimepigwa kutoka setilate imagine lkn ujui kweli apo ni Iran au Ukraine lkn media zao zitapiga ngoma kila saa kuwa Israel kashambulia Iran mchezo utaishia ivyo. Ngumu ilionyooka tutaziona kutoka Iran tu. Uyo Iran ndio yahudi Og awajawai shindwa awa mnawashabikia ni wazingu tu wa ulaya tabia zao pia mnaona kama jamaa zao w ulaya wanapenda kufukuana mitaro yahudi og apendi uho upumbavu
Sijui uko dunia gani. Marekani Hana makombola yenye masafa 2000 km?
Kipindi cha bill Clinton, kombola lilirushwa kutoka USA hadi Libya kwa Ghadaffi. Ulikuwa umbali gani huo.
 
Hakuna Air defense yoyote ya kuzuia Hypersonic missiles😂! Zikitumwa lazma zifike tu ndio maana umeona zimeshuka kama vimondo.
Ngoma ya jana Israel hawezi kurudisha ni ya kutisha.

Ili asionekane mnyonge ameamua kucheza na propaganda ili kuwapumbaza baadhi ya watu; Eti hayajaleta athari! Hakuna raia aliyekufa. Wakati kwa wenye kufahamu wanajua ni kosa kwa sheria za kivita zilizowekwa kushambulia makazi ya raia inatafsiriwa ni uhalifu.

Hii propaganda ndiyo nguvu pekee anayoitumia kwa sasa hivi kuanzia kwenye vyombo vya habari mpaka mitandao ya kijamii wanatumia nguvu kubwa kuwa hayajaleta madhara.

Kwa madai yao wao wenyewe: Hamas alivyopiga makazi ya kiraia na kuua raia wao walikuja juu na kusema hawa watu siyo binadamu mara ni magaidi na blaa blaa kibao.

Iran ingeamua kupiga makazi ya kiraia wangekuja na sheria kibao kuwa ni uhalifu wa kivita kama walivyofanya kwa Hamas.

Israel anachokifanya ni ku twist mashambulio ya jana ili asionekane mnyonge.
 
Analysis yako iko vizuri. South Korea jana wameonyesha heavy ballistic missile yao Hyunmoo-5 yenye tani nane. Lengo la kuunda hiyo missile ni kuharibu nuclear silos na underground facilities za North Korea.

Si lazima kutumia fighter bombers kuharibu nuclear site. Kila site ina entrance inayotokea nje, ikipigwa entrance humo ndani wanatokaje mpaka wafanye ukarabati. Wala Israel haiwezi tumia F-16 ni fighter yenye uzito mdogo hata engine moja, heavy fighter bomber yenye injini mbili inayobeba mzigo mkubwa ni F-15. Labda F-16 isaidie escort.

Kabla hawajashambulia site wanashambulia air defense system hata Syria walifanya hivyo. Ila wanafanya haraka ghafla ghafla AD zinaondolewa muda huohuo shambulizi linakuja. Ni mission ngumu mno ila ndio mission ambayo Israel wanajipanga nayo miaka mingi, wanaunda silaha kwa ajili yake, wananunua kwa ajili hiyo na wanafanya drills juu yake. Sio suala ambalo wameshtukizwa hata intel yake wanayo muda.

Marekani tu ndio wanaweza tumia B-2 stealth bomber na dedicated bunker buster yake GBU-57A/B yenye tani 14.
Ngoja tusubiri japo sidhani kama itawezekana, endapo ikitokea nuclear facilities za Israel zitapigwa pia .
 
Iran kuipiga Israel hakuna tofauti na kuipiga NATO na US Moja kwa moja maana US kitambo sana anamtega Iran ajiingize kwenye mfumo ili amchape sana kwa kukwepa lawama za walimwengu kuwa US ndo mchokozi, na sasa iran kaingia mwenyewe kwenye mtego kuwachokoza. Ngoja tuone Mwisho Iran itakuaje maana ni miaka mingi sana Us ilikua inatafuta njia ya kumchapa Iran bila kupata lawama na sasa njia imepatikana
 
Mbona ilikuwa ni incident ya less than one hour na baada ya hapo Iran iliishiwa pumuzi na kuufyata baada ya hivyo vitoy vyake vyote almost kudunguliwa angani? Hawana guided Missiles kama za IDF au USA na subilia Jibu lao . Utajua kuwa Mzungu na Myahudi ziyo hao zero brains wavaa makubazi na wafuga ndevu with empty heads.
Mkuu punguza ushabiki. Hata Israel au USA hapendi hii vita na nakuhakikishia retaliation ya Israel itakuwa minimal.
 
Back
Top Bottom