GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Leo bei ya mafuta imeshuka haswa petrol asubuhi nimenunua lita moja 3024
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwan msaada ni wa kijeshi peke yake?Usiongope mkuu,uongo haukufai.
China haijawahi kumsaidia Iran kijeshi wala North Korea haijawahi.
Iliyowahi ni Russia tena kiteknolojia basi.
Sema msaada gani China amempatia Iran kuhusu mapigano!?kwan msaada ni wa kijeshi peke yake?
Ooh mkuu shalom salam ya wapi tena hiyo!??Salamu za watu hizo kaka.
Yangu ni shalom.
أتمنى لكم كل التوفيق
Yule ng'ombe (Netanyaho) pamoja na taarabu za juzi kumbe bado anapenda ugali🤣🤣🤣Iran Unleashes 200-Missile Blitz on Israel | PM Netanyahu and Ministers Hide in Shelters | Watch
In a stunning escalation of hostilities, Iran has launched a relentless barrage of 200 missiles targeting Israeli military sites and urban centers. As the skies over Israel erupt in explosions, Prime Minister Benjamin Netanyahu and his cabinet ministers have been forced to seek refuge in underground shelters to evade the onslaught. This live coverage captures the chaos and fear gripping the region, with real-time footage of the missile strikes and the urgent response from Israeli defense systems. Stay tuned for the latest updates on this developing situation, as tensions between Iran and Israel reach unprecedente
juzi kuongea mipasho yote ile na bado alitoka nduki kutafuta handaki lilipo ajibanze kuokoa mtume roho yake.Dunia ya sasa kila mtu anaweza piga kokote ni maamuzi tu kuchukulia powa au UBAYA UBWELA uchukue nafasi
kwani nguvu ya kijeshi haiendani na nguvu ya au msaada wa uchumi?Sema msaada gani China amempatia Iran kuhusu mapigano!?
Labda ukisema kuhusu uchumi sawa China kamsaidia sana Iran.
kwan msaada mnaosema inaopewa israel na US ni wa kijeshi pekee au kijeshi na kiuchumi?Sema msaada gani China amempatia Iran kuhusu mapigano!?
Labda ukisema kuhusu uchumi sawa China kamsaidia sana Iran.
Msaada wa kiuchumi wakati wa vita ama kabla ya vita!?kwani nguvu ya kijeshi haiendani na nguvu ya au msaada wa uchumi?
Israel anapewa msaada wa kiuchumi kwa kupewa fedha za bajeti bungeni kila mwaka na msaada wa bajeti ya jeshi lao kila mwaka na akishambuliwa USA na UK wanatoa msaada wa vifaa na intelijensia.kwan msaada mnaosema inaopewa israel na US ni wa kijeshi pekee au kijeshi na kiuchumi?
Nipe tu pole aisee.Ooh mkuu shalom salam ya wapi tena hiyo!??
حمرلله علا كل حال ارباب
Mkuu mbona unatutisha🙄🙄🙄😳😳.Nipe tu pole aisee.
Zike 200 Ballistic Missile zimepandisha pressure yangu aisee.
Kuna moja limetua 200m kabisa yaani, ngoja nifanye jampo chapu nisije kuwa banda la kuku.