Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwahio Americant na shoga zake wanamuogopa iranNchi yako ishambuliwe mara mbili alafu ikae kimya acha ujinga ndo maana walijibu mapigo wale sio mazoba
Iran kama ni mwanaume angeendelea kumshambulia pakistan yeye ndo alianza mbona kaomba poo
Iran anaiogopa Pakistan sababu wanaume ila hawaogopi wale wengine sababu sio wanaume