Iran yasema kama Israel hawatavamia, basi HAMAS wataachia mateka, wanaweweseka sana hawa

Iran yasema kama Israel hawatavamia, basi HAMAS wataachia mateka, wanaweweseka sana hawa

Mtoa mada sijui huwa anaota Hamasi awachie matekwa

Israel Gaza ataingia ili wachukue video wameingia afu wata toka mbio mbio ndio America anawambia vile watengeneze film ya rambo, lakini atapigika ile mbaya sababu Hamasi anamsubiri kwa hamu
 
Mtoa mada sijui huwa anaota Hamasi awachie matekwa

Israel Gaza ataingia ili wachukue video wameingia afu wata toka mbio mbio ndio America anawambia vile watengeneze film ya rambo, lakini atapigika ile mbaya sababu Hamasi anamsubiri kwa hamu
Hamas ndio takataka gani hiyo, si watoke waende wawapige Israel ili wakomboe ardhi zao wanazodai kuporwa sasa wanafanya nini kwenye mashimo wamegeuka nungunungu. Hamas bure kabisa.
 
Wanaachia mateka sawa vipi wale waliowauwa, watarudisha uhai wao. Kipigo kipo palepale Hamas wamefanya ugaidi Kama unaofanywa na Ukraine.
 
Hamas ndio takataka gani hiyo, si watoke waende wawapige Israel ili wakomboe ardhi zao wanazodai kuporwa sasa wanafanya nini kwenye mashimo wamegeuka nungunungu. Hamas bure kabisa.
We kweli unaonekana hufahamu vita we ujitoke kichwa kichwa adui yako ana kila aina ya silaha hivi we unadhani Hamasi wangekuwa na ndege, vifaru, navy kama za Israel unadhani Israel wangebaki.

Acha ujinga Israel ndio Fala ana kila aina ya silaha na hawezi kupigana ni vijana hawafiki hata 3000
 
Hao wangazija wanaandaliwa kifurushi Chao mda sio mrefu watapewa wanachokitaka.

Tayari meli kubwa2 zenye vifurushi kwa ajili yao vimeshawasili mashariki ya kati.

Muda sio mrefu ayatollah ataomba hifadhi Yemen, au Saudi Arabia
 
Aisee Israel hawatanii kudadadeki, wanapiga wanapiga so mchezo.

Sijui HAMAS waliwaza nn kuishambulia na kuua waisrael jamani.

Nadhani wapalestina watawaua HAMAS wote,la sivyo wao wenyewe ni HAMAS wote
 
Mtoa mada ngojea uone kama Rais wa America atatua Tela Aviv, hakuna ndege kutua Israel Hamasi kaisha sambaratisha viwanja vya Israel, sa super power gani huyo Itabidi wawe wanashuka Jordan afu waende Israel kwa gari 😂

Hamasi wanaume aisay, sa nakupa mnofu Israel wanajeshi wake hawana hamu ya kupigana vita kelele tu za kwenye tv na magazeti, Biden anaenda kujaribu kuwaboost moral 😂
 
Back
Top Bottom