Iran yasema ndio imeipelekea makombora Urusi.Vile vile imeshawapatia Hezbollah silaha yake kali ya EMP inayopiga mifumo ya kusambazia umeme.

Iran hana tech yoyote ya maana kushindana na Marekani na mataifa ya magharibi na ndiyo maana Rais wao alifumuliwa kama kuku bandani.

Hawa ni wa kuwahurumia tu maana ukiamua kuwafumua wananchi wao watapata shida sana kama vile waparestina wanavyozunguka na mabegi kila kona kila kukicha.

Kukuh
 
Huu uhalo umeutoa kwenye Quran au? No wonder unawashabikia Hamas, Hezbollah na Houthi.
Washabiki wa Hamas hawako huku kwetu peke yake mpaka Marekani wako tena wanakaribia mpaka ikulu.
Sababu wamejua kuwa wanapigania haki zao.Ingekuwa ni wajinga basi kila mtu angaekaa kimya
 
Unafaa ukaishi israel au nchi yoyote isiyo ya kiislamu
 
Kwa hilo Iran lazima ipewe mauwa yake.
Hata suala la Venezuela nako US ilishindwa kuiangamiza ile nchi kutokana na umwamba wa Iran.Waliweza kuwapelekea mafuta ya matumizi na vipuri kwa kuyapitisha kwenye njia zile zile mpaka foleni za mafuta zikafa
Ila Venezuela ana utajiri mkubwa wa mafuta na gesi.
Ile nchi kama isingekua interference ya USA ingekua mbali sana.
 

Sawa fuso, mtetezi wa wanaobariki ushoga
 
Unaropokaga kama kawaida yako.
Mauaji ya kustukiza ni jambo gumu kuzuia,na kiongozi wa Hamas alikua nyumba za wageni za jeshi sio kambi ya jeshi acha uongo.
Hiyo USA Donald Trump ameshambuliwa na ni rais mstaafu sembuse Iran?
Kwahiyo nao USA haina ulinzi mkubwa?
Prime minister mstaafu wa Japan Shinzo Abe alishambuliwa na risasi kifuani,kwahiyo nao Japan hawana ulinzi kamili!?
Hiyo Israel unayosemea wewe drone ilitoka Yemeni inapenya hadi Tel aviv na ikalipua jengo hakuna hata iron dome kushtuka.
Hiyo Iran unayoisemea wewe ndio inafadhili makundi ambayo yanaisumbua hiyo Israel.
Israel hadi sasa Galilaya hakuna raia anayeishi kwa mashambulizi ya Hizbollah ambayo inafadhiliwa na Iran.

Do not underestimate Iran kijana,Iran hapo middle east nzima yeye ndio mwenye missile power kubwa kuliko yeyote.
Na silaha zake zime prove kuwa zina ufanisi.Kama sio USA na UK kumkingia kifua huyo Israel,basi ballistic missile za Iran zingekua zishaifuta hiyo Israel.
 
Wakati unaropoka haya tambua hiyo Iran ilipigana vita ya miaka 8 hao west na USA wakimsaidia Iraq na Iran alishinda vita.
Hapo middle east taifa linaloogopwa ni Iran hata huto Netanyahu akimsikia Iran lazima atetemeke.
Hivyo punguza kuropoka,hauna akili kuliko Westerners ambao waliungana na USA kumuwekea vikwazo Iran vya kiuchumi na vya uundaji silaha.
Wanajua Iran ina uwezo mkubwa na akiupata itakua balaa kwao,ndio maana wanambana kwa vikwazo vya uundaji silaha na vikwazo vya kiuchumi.
 
Unatakiwa utambue Iran ni middle-upper income country.
Iran sio LDC kijana.
Na unatakiwa utambue Iran tangu 1979 imewekewa vikwazo vya kimataifa vya kiuchumi na uundaji silaha.
Sasa jiulize ni miaka 40+ Iran ipo katika vikwazo ila ni nchi yenye UCHUMI WA KATI WA JUU.
Je angekua hana vikwazo vya kiuchumi angekua wapi!??
Iran pasi na vikwazo vya kiuchumi ingekua ni taifa lenye uchumi mkubwa kuliko taifa lolote mashariki ya kati.
Hilo suala la ndege ni chanzo cha vikwazo vya kiuchumi.
 
Ukubwa upi huo wakati anashuhudia zaidi ya waparestina 40,000 wameuwa, yeye yupo nchini kwake akituma vi-drone tena kwa kijificha ficha.
Rais wake kabokolewa, kafanya nini zaidi ya mikwala mbuzi. Kipi kinamshinda kurusha walau Ballistic missile moja tu itue pale Islael?
 
Asante Mkuu Umenena Ukweli Mtupu
 
-Hizbollah ambaye anapigana na Israel Kaskazini mwa Israel anapigana kwa nguvu ya Iran.
Kama haujui hilo ndio ukae ujue.
Yemen Houthi wanaoshambulia Eilat Israel wanashambulia kwa nguvu ya Iran ukae ujue hilo.
Kuanzia silaha hadi askari wapo Iran anatoa kwenda Hizbollah na Houthi.

-Suala la Ibrahim Raesi kufa kwa ajali ya helikopta Netanyahu alikanusha na alisema hausiki.Sasa nataka wewe utuletee ushahidi na huo ushahidi kuwa Israel kahusika.
Rejelea mwezi May Israel alipolipua balozi ya Iran Syria,Iran ililipiza kwa kurusha makombora na drone 300 kwenda Israel.
Je huo ni udogo!?
Vita nyingi za kumkabili Israel hapo mashariki ya kati anaziendesha Iran.
Je hilo ni jambo dogo??
-Kafuatilie Red sea ulipuaji na utekaji wa meli unaofanywa na Yemeni ile ni nguvu ya Iran.
Leo hii red sea hapapitiki kwasababu yake Iran.
 
Nani gaidi? Anaepigania nchi yake au mvamizi na muuaji kwa wasio na hatia?
Waliofanya mauaji ya kikatili Oct 7. Raia zaidi ya 1200 ikiwemo na raia wenzetu wawili wa kitanzania vijana wadogo kabisa waliuawa kikatili na magaidi Hamas.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…