Iran yasimamisha safari zote za ndege usiku wa leo

Iran yasimamisha safari zote za ndege usiku wa leo

Ni kawaida tu mbona?
Hata Israel ilipokuwa inasubiri shambulia la Iran ilikuwa inahaha!.
Kadharika hata Iran wakati inasubiri shambulio la Israel lazima ihahe.
 
Jamaa wanaweweseka balaa!

Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.

Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================

Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.

A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”

Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.

Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Walitangaza toka juzi muda huo viwanja vitakua vikifungwa
 
Jamaa wanaweweseka balaa!

Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.

Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================

Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.

A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”

Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.

Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Wewe ni MSENGE...
Kufunga anga ni kawaida..ili kujiweka kwenye hali ya tahadhari.
 
Shida nini mbona wanaweweseka tangu wiki iliyopita ..si wana nyuklia wanahangaika nini
 
Jamaa wanaweweseka balaa!

Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.

Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================

Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.

A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”

Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.

Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Tatizo liko wapi?
 
Flights zimekuwa canceled ili kutoa wigo kwa jeshi la anga ndege yoyote itakayoonekana kwenye anga ni ndege ya adui ipigwe ubaya ubwela
Uliyoeleza siyo sababu .
Ndege za kiraia na ndege za kivita zote huonekana na rada.

Kwa hiyo mwendo wa ndege vita na ndege ya abiria hutambulika.
 
Jamaa wanaweweseka balaa!

Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.

Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================

Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.

A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”

Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.

Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Intelejensia hiyo, sasa walete hizo ndege zao tuone
 
Uliyoeleza siyo sababu .
Ndege za kiraia na ndege za kivita zote huonekana na rada.

Kwa hiyo mwendo wa ndege vita na ndege ya abiria hutambulika.
Watu hawataki kufanya makosa wanataka kudungua zile za waisrael tu
 
Myahudi hua anyamazi ila ukiona kanyamaza ujue kapigwa kwenye mshono na uwezo wa kurudisha hana rejea kilichotokea mwezi April.
Hamna mtu muoga wa kufa kama mvaa kobazi yeye anashambulia halafu anaenda kujificha Kwa kina mama Ili asife ila safari hii wamekutana na mtu katili netanyahu ni mbabe akawa anayamaliza magaidi ya kobazi pale pale yanapojificha kobazi waoga sana wa kufa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamaa wanaweweseka balaa!

Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.

Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================

Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.

A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”

Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.

Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Iran ina wakati mgumu kujilinda maana haifahamu adui ataibukia wapi.
 
Watu wanafanya mambo kwa intelejensia sio mihemuko
Intelejensia Gani wewe hao waoga wa kifo tunawajua wazee wa kuanzisha ugomvi halafu wanakimbilia kujificha nyuma ya kina mama na watoto Ili wasife Sasa safari hii wamekutana na mtu mbad netanyahu yeye anafumua hapo hapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hamna mtu muoga wa kufa kama mvaa kobazi yeye anashambulia halafu anaenda kujificha Kwa kina mama Ili asife ila safari hii wamekutana na mtu katili netanyahu ni mbabe akawa anayamaliza magaidi ya kobazi pale pale yanapojificha kobazi waoga sana wa kufa🤣🤣🤣🤣🤣
Hiyo haindoi ukweli kua mwezi April yahudi kapigwa na juzi kapigwa tena na akapewa na onyo kali mpaka wafuasi mnaharishiana
 
Back
Top Bottom