Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NOTICE TO AIR MISSIONSNotice to airmen(notam)
Walitangaza toka juzi muda huo viwanja vitakua vikifungwaJamaa wanaweweseka balaa!
Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.
Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================
Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.
A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”
Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.
Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Wewe ni MSENGE...Jamaa wanaweweseka balaa!
Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.
Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================
Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.
A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”
Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.
Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
umechemka bro. Haya mambo nayaelewa sana.NOTICE TO AIR MISSIONS
Tatizo liko wapi?Jamaa wanaweweseka balaa!
Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.
Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================
Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.
A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”
Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.
Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Uliyoeleza siyo sababu .Flights zimekuwa canceled ili kutoa wigo kwa jeshi la anga ndege yoyote itakayoonekana kwenye anga ni ndege ya adui ipigwe ubaya ubwela
Intelejensia hiyo, sasa walete hizo ndege zao tuoneJamaa wanaweweseka balaa!
Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.
Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================
Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.
A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”
Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.
Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Kwanini wafunge wakati wao hawaogopi kitu🤣🤣🤣🤣🤣Walitangaza toka juzi muda huo viwanja vitakua vikifungwa
Watu hawataki kufanya makosa wanataka kudungua zile za waisrael tuUliyoeleza siyo sababu .
Ndege za kiraia na ndege za kivita zote huonekana na rada.
Kwa hiyo mwendo wa ndege vita na ndege ya abiria hutambulika.
Watu wanafanya mambo kwa intelejensia sio mihemukoKwanini wafunge wakati wao hawaogopi kitu🤣🤣🤣🤣🤣
Myahudi hua anyamazi ila ukiona kanyamaza ujue kapigwa kwenye mshono na uwezo wa kurudisha hana rejea kilichotokea mwezi April.Ukiona myahudi kanyamaza kimya kuwa makini sana
Hamna mtu muoga wa kufa kama mvaa kobazi yeye anashambulia halafu anaenda kujificha Kwa kina mama Ili asife ila safari hii wamekutana na mtu katili netanyahu ni mbabe akawa anayamaliza magaidi ya kobazi pale pale yanapojificha kobazi waoga sana wa kufa🤣🤣🤣🤣🤣Myahudi hua anyamazi ila ukiona kanyamaza ujue kapigwa kwenye mshono na uwezo wa kurudisha hana rejea kilichotokea mwezi April.
Iran ina wakati mgumu kujilinda maana haifahamu adui ataibukia wapi.Jamaa wanaweweseka balaa!
Ndege zote kutoka viwanja vya ndege vya Iran zimefutwa kuanzia saa 3 usiku leo hadi saa 12 asubuhi kesho kwa saa za huko, kwa mujibu wa shirika la habari la Mehr la Iran, likinukuu msemaji wa Shirika la Usafiri wa Anga la Iran.
Taarifa kwa marubani, au NOTAM, iliyotumwa na mamlaka za Iran inathibitisha kufungwa huku, isipokuwa kwa "ndege za dharura, ndege za kubeba abiria bila mizigo, na ndege za serikali."
======================
Flights from all Iran’s airports have been canceled from 9 p.m. today until 6 a.m. tomorrow local time, Iran’s Mehr news agency says, citing a spokesperson for Iran’s Civil Aviation Organization.
A notice to pilots, or NOTAM, sent out by Iranian authorities confirms the closure, while carving out exceptions for “emergency flight, ferry flights and state aircraft.”
Another state-run outlet, IRNA, cites “operational restrictions” for the closure, which may relate to an expected Israeli counterattack following an Iranian missile assault last week.
Soma Pia: Shambulio kubwa la makombora ya Iran liliharibu kituo cha ndege za kivita za F-35 cha Nevatim nchini Israel
Intelejensia Gani wewe hao waoga wa kifo tunawajua wazee wa kuanzisha ugomvi halafu wanakimbilia kujificha nyuma ya kina mama na watoto Ili wasife Sasa safari hii wamekutana na mtu mbad netanyahu yeye anafumua hapo hapo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu wanafanya mambo kwa intelejensia sio mihemuko
Hiyo haindoi ukweli kua mwezi April yahudi kapigwa na juzi kapigwa tena na akapewa na onyo kali mpaka wafuasi mnaharishianaHamna mtu muoga wa kufa kama mvaa kobazi yeye anashambulia halafu anaenda kujificha Kwa kina mama Ili asife ila safari hii wamekutana na mtu katili netanyahu ni mbabe akawa anayamaliza magaidi ya kobazi pale pale yanapojificha kobazi waoga sana wa kufa🤣🤣🤣🤣🤣